Walawi 3 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 3:1-17

Sadaka Ya Amani

13:1 Kut 32:6; 12:5; Law 7:11-34; 17:5“ ‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ngʼombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za Bwana. 23:2 Kut 29:15, 20; 40:2; 24:6; Hes 8:10; 18:17; Law 1:5; 17:6; Isa 53:4; Ebr 9:28; 1Pet 2:24; 3:18Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu. 33:3 Kut 29:13; 12:9; 3:4; 29:13; Law 4:9Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yote ya mnyama yafunikayo sehemu za ndani, ama yanayoungana na hizo sehemu za ndani, 4figo zote pamoja na mafuta yote yanayozizunguka karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo. 53:5 Law 1:7-9; 7:29-34; Kut 29:13, 38-42; Hes 28:3-10; 1Sam 2:15-16Kisha wana wa Aroni wataiteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa iliyoko juu ya kuni zinazowaka, kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

63:6 Law 22:21; Hes 15:3, 8; 2Kor 5:21; Tit 2:11-12; Ebr 7:26-27“ ‘Kama akitoa kondoo au mbuzi kutoka kundi kama sadaka ya amani kwa Bwana, atamtoa dume au jike asiye na dosari. 73:7 Law 17:3, 8-9; Hes 15:5; 28:5-8; 1Fal 8:62Kama akimtoa mwana-kondoo, atamleta mbele za Bwana. 83:8 Law 1:5Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake, naye atamchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote. 93:9 Isa 34:6; Yer 46:10; Eze 39:19; Sef 1:7Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta dhabihu iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yake, mafuta yote ya mkia uliokatwa karibu na uti wa mgongo, mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani au yale yanayounganika nazo, 10figo mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayatoa pamoja na figo. 113:11 Law 21:6, 17; 9:18; Hes 28:2; Eze 44:7Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.

123:12 Law 1:10; 4:3“ ‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Bwana. 133:13 Kut 24:6; Law 1:5Ataweka mkono wake juu ya kichwa chake na kumchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote. 14Kutokana na ile sadaka anayotoa, atatoa sadaka hii kwa Bwana kwa moto: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo, 153:15 Law 7:4; 3:16; 7:31; 1:9; Mwa 4:4; 1Sam 2:16; Law 7:23; 2Nya 7:7figo zote mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo. 16Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama ni ya Bwana.

173:17 Kut 12:14, 20; 27:21; Mwa 9:12; Law 7:25-26; 17:10-16; Kum 12:16; Mdo 15:20“ ‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi vijavyo, popote muishipo: Msile mafuta yoyote ya mnyama wala damu.’ ”

Thai New Contemporary Bible

เลวีนิติ 3:1-17

เครื่องสันติบูชา

1“ ‘ถ้าผู้ใดจะถวายเครื่องสันติบูชา และเขาถวายสัตว์จากฝูงวัวไม่ว่าตัวผู้หรือตัวเมีย เขาจะต้องนำสัตว์ที่ไม่มีตำหนิมาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า 2ให้เขาวางมือบนหัวของสัตว์ที่จะถวาย แล้วฆ่ามันที่ทางเข้าเต็นท์นัดพบ เหล่าปุโรหิตซึ่งเป็นบุตรชายของอาโรนจะพรมเลือดวัวนั้นรอบแท่นบูชา 3เขาจะนำส่วนหนึ่งจากเครื่องสันติบูชามาเผาด้วยไฟถวายแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าคือไขมันที่หุ้มหรือติดกับเครื่องใน 4ไตทั้งสองลูกกับไขมันที่ติดอยู่ใกล้บั้นเอว และพังผืดหุ้มตับซึ่งเอาออกมาพร้อมไต 5จากนั้นบรรดาบุตรของอาโรนจะเผาสิ่งเหล่านี้บนเครื่องเผาบูชาซึ่งอยู่บนฟืนที่ติดไฟบนแท่นบูชา เป็นเครื่องบูชาด้วยไฟ เป็นกลิ่นหอมที่องค์พระผู้เป็นเจ้าพอพระทัย

6“ ‘หากเขาจะถวายแกะหรือแพะเป็นเครื่องสันติบูชาแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าใช้ได้ทั้งตัวผู้และตัวเมียซึ่งไม่มีตำหนิ 7หากใช้ลูกแกะ จงนำมาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า 8ให้เขาวางมือบนหัวของมันและฆ่ามันหน้าเต็นท์นัดพบ และบรรดาบุตรของอาโรนจะพรมเลือดของมันรอบแท่นบูชา 9เขาจะนำส่วนหนึ่งจากเครื่องสันติบูชามาเผาด้วยไฟถวายแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าคือไขมัน ไขมันส่วนหางซึ่งตัดชิดกระดูกสันหลัง ไขมันทั้งหมดที่หุ้มหรือติดเครื่องใน 10ไตทั้งสองลูกกับไขมันบนไตใกล้บั้นเอว และพังผืดหุ้มตับซึ่งนำออกมาพร้อมกับไต 11ปุโรหิตจะเผาสิ่งเหล่านี้บนแท่นบูชา เป็นเครื่องบูชาด้วยไฟถวายแด่องค์พระผู้เป็นเจ้า

12“ ‘หากเขานำแพะมาถวาย ให้นำมาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า 13ให้เขาวางมือบนหัวแพะและฆ่ามันที่ด้านหน้าเต็นท์นัดพบ จากนั้นบุตรของอาโรนจะพรมเลือดแพะรอบแท่นบูชา 14เขาจะนำส่วนหนึ่งจากเครื่องถวายนำมาถวายบูชาด้วยไฟแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าคือไขมันทั้งหมดที่หุ้มหรือติดกับเครื่องใน 15ไตทั้งสองลูกกับไขมันบนไตใกล้บั้นเอว และพังผืดของตับซึ่งเอาออกมาพร้อมไต 16ปุโรหิตจะเผาสิ่งเหล่านี้บนแท่นบูชา เป็นเครื่องบูชาด้วยไฟ เป็นกลิ่นหอมที่พอพระทัย ไขมันทั้งหมดเป็นขององค์พระผู้เป็นเจ้า

17“ ‘อย่ากินไขมันหรือเลือดเลย นี่เป็นข้อปฏิบัติถาวรสืบไปทุกชั่วอายุไม่ว่าเจ้าจะอาศัยอยู่ที่ใด’ ”