Walawi 24 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 24:1-23

Mafuta Na Mikate Mbele Za Bwana

1Bwana akamwambia Mose, 224:2 Kut 27:20; 39:37; Hes 8:2-4“Waagize Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili taa ziwe zinawaka daima. 324:3 Kut 12:14Nje ya pazia la Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, Aroni ataziwasha taa mbele za Bwana kuanzia jioni hadi asubuhi bila kuzima. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo. 424:4 Kut 25:31; 31:8Taa zilizo juu ya kinara cha dhahabu safi mbele za Bwana lazima zihudumiwe daima.

524:5 Kut 25:30; Ebr 9:2; Law 23:13; Kut 40:24“Chukua unga laini, uoke mikate kumi na miwili, ukitumia sehemu mbili za kumi za efa24:5 Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili. za unga kwa kila mkate. 624:6 Kut 25:23-30; Hes 4:7; 1Fal 7:48; Ebr 9:2; 1Nya 9:32Iweke katika mistari miwili, kila mstari mikate sita, uiweke mbele za Bwana juu ya meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi. 724:7 Law 2:1-2Kando ya kila mstari, weka uvumba safi kama sehemu ya kumbukumbu ili kuwakilisha mikate kuwa sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto. 824:8 Kut 25:30; 1Nya 9:32; 2Nya 2:2-4; Mt 12:5Mikate hii itawekwa mbele za Bwana kila wakati, Sabato baada ya Sabato, kwa niaba ya Waisraeli, kuwa Agano la kudumu. 924:9 Law 6:16-17; 8:31; Mt 12:4; Mk 2:26; Lk 6:4; 1Sam 9:21; Kut 29:33Hii ni mali ya Aroni na wanawe, watakaoila katika mahali patakatifu, kwa sababu ni sehemu takatifu sana ya fungu lao la kawaida la sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto.”

Mwenye Kukufuru Apigwa Mawe

10Basi mwana wa mama Mwisraeli na baba Mmisri alikwenda miongoni mwa Waisraeli, nayo mapigano yakatokea ndani ya kambi kati yake na Mwisraeli. 1124:11 Kut 3:15; 18:22; 20:7; 31:2; 2Fal 6:33; Ay 1:11; Hes 1:4; 7:2; 10:15; 13:2; 17:2; Yos 7:18; 1Fal 7:18Huyu mwana wa mwanamke Mwisraeli akalikufuru Jina la Bwana kwa kulaani; kwa hiyo wakamleta kwa Mose. (Jina la mama yake aliitwa Shelomithi binti wa Dibri, wa kabila la Dani.) 1224:12 Kut 18:16; Hes 15:34Nao wakamweka mahabusu mpaka mapenzi ya Bwana yawe wazi kwao.

13Ndipo Bwana akamwambia Mose: 1424:14 Law 20:2; Kum 13:9; 17:5-7; Mdo 7:58“Mchukue huyo aliyekufuru nje ya kambi. Wale wote waliomsikia akikufuru wataweka mikono juu ya kichwa chake, kisha kusanyiko lote litampiga mawe. 1524:15 Kut 22:28; Law 5:1; Hes 9:13Waambie Waisraeli: ‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani Mungu wake, atakuwa na hatia kwa uovu wake; 1624:16 Kut 22:28; 21:21; 1Fal 21:10-13; Mt 26:66; Mk 14:64; Yn 10:33; Mdo 7:58; Za 74:10, 18yeyote atakayekufuru Jina la Bwana ni lazima auawe. Kusanyiko lote litampiga kwa mawe. Iwe ni mgeni au mzawa, atakapolikufuru Jina la Bwana, ni lazima auawe.

1724:17 Mwa 9:6; Kut 21:12; Kum 27:24; Hes 35:31; Mt 26:52; Ufu 13:10“ ‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe. 18Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai. 19Ikiwa mtu yeyote atamjeruhi jirani yake, chochote alichomtenda naye atatendewa: 2024:20 Kut 21:24; Mt 5:38; Law 19:34; Kum 10:17-19iwapo amemvunja mfupa atavunjwa mfupa, jicho kwa jicho, jino kwa jino. Kama alivyomjeruhi mwenzake, vivyo hivyo ndivyo atakavyojeruhiwa. 2124:21 Kut 21:33Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe. 2224:22 Kut 12:49; 22:21; Eze 47:22; Hes 9:14; 15:16Mtakuwa na sheria iyo hiyo kwa mgeni na kwa mzawa. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

2324:23 Kum 13:9; 17:7Kisha Mose akasema na Waisraeli, nao wakamchukua yule aliyekufuru nje ya kambi na kumpiga mawe. Waisraeli wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.

Korean Living Bible

레위기 24:1-23

등불 관리와 차림빵

1여호와께서 모세에게 말씀하셨다.

2“너는 이스라엘 백성에게 순수한 감람기름을 가져오게 하여 등불을 계속 켜도록 하라.

3-4아론은 저녁부터 아침까지 성막의 휘장 바깥에 놓인 순금 등대에 기름을 계속 보충하고 나 여호와 앞에서 항상 그 등을 손질하여 등불이 꺼지지 않도록 보살펴야 한다. 이것은 너희가 대대로 지켜야 할 규정이다.

5-8“안식일마다 대제사장은 순금을 입힌 상에 빵 열두 개를 한 줄에 여섯 개씩 두 줄로 차려 놓도록 하라. 이 빵은 한 개에 24:5-8 히 ‘에바 2/10’4.4리터의 고운 밀가루로 구워 만든 것이어야 한다. 그리고 그 두 줄의 빵 위에 각각 순수한 향을 얹어 놓도록 하라. 이것은 이스라엘 백성과 맺은 나의 영원한 계약을 기억나게 하는 기념물로 나 여호와에게 화제로 드리는 예물이다.

9너는 이 빵을 아론과 그의 자손에게 주어 거룩한 곳에서 먹게 하라. 이것은 나 여호와에게 바친 제물 중에서 제사장이 먹도록 되어 있는 아주 거룩한 음식이다.”

여호와를 모독하는 자의 형벌

10-11어머니는 이스라엘 사람이며 아버지 는 이집트 사람인 어떤 청년이 어느 날 야영지 안에서 한 이스라엘 사람과 싸우다가 하나님을 저주했기 때문에 재판을 받으려고 모세 앞에 끌려왔는데 그의 어머니 이름은 단 지파 사람 디브리의 딸인 슬로밋이었다.

12백성들이 그를 가두어 놓고 어떻게 해야 할지 여호와의 지시를 기다리고 있을 때

13여호와께서 모세에게 말씀하셨다.

14“그를 야영지 밖으로 끌어내어 그가 저주하는 말을 들은 모든 사람들이 그의 머리에 손을 얹게 한 후에 온 군중이 그를 돌로 쳐서 죽이도록 하라.

15-16그런 다음 너는 이스라엘 백성에게 자기 하나님을 저주하는 자는 누구든지 그 죄의 대가를 받을 것이라고 일러 주어라. 이스라엘 사람이든 이스라엘에 사는 외국인이든 나 여호와의 이름을 모독하는 자가 있으면 누구든지 온 군중이 그를 돌로 쳐죽여라.

17“사람을 죽인 자는 반드시 죽여야 하며

18남의 짐승을 죽인 자는 산 짐승으로 배상해야 한다.

19“만일 누가 다른 사람에게 상처를 입혔으면 그가 행한 대로 갚아 주어라.

20골절은 골절로, 눈은 눈으로, 이는 이로, 그가 남에게 상처를 입힌 그대로 갚아 주어야 한다.

21내가 다시 말하지만 남의 짐승을 죽인 자는 산 짐승으로 물어 주고 사람을 죽인 자는 반드시 처형하라.

22너는 이 법을 이스라엘 사람이나 그들 가운데 사는 외국인에게 똑같이 적용시켜라. 나는 너희 하나님 여호와이다.”

23모세가 이것을 이스라엘 백성에게 말하자 그들은 하나님을 저주한 그 사람을 야영지 밖으로 끌어내어 여호와께서 모세에게 명령하신 대로 그를 돌로 쳐죽였다.