Walawi 23 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 23:1-44

Sikukuu Zilizoamriwa

1Bwana akamwambia Mose, 223:2 Hes 29:39; Eze 44:24; Kol 2:16; Isa 6:3; Mt 6:9; Yn 12:28; Kut 32:5; Hes 10:2-3; 2Nya 30:5“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Hizi ndizo sikukuu zangu zilizoamriwa, sikukuu zilizoamriwa za Bwana, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu.

Sabato

323:3 Kut 20:9-10; Ebr 4:9-10; Kum 5:13; Hes 28:26; Lk 13:14; Neh 13:22; Isa 56:2; 58:13“ ‘Kuna siku sita mnazoweza kufanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, siku ya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote. Popote mnapoishi, ni Sabato kwa Bwana.

Pasaka Na Mikate Isiyotiwa Chachu

(Hesabu 28:16-25)

423:4 Nah 1:15; Kut 23:14“ ‘Hizi ni sikukuu za Bwana zilizoamriwa, makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilizoamriwa: 523:5 Kut 12:6-11; Hes 28:16-17; Kum 16:1-8; Yos 5:10Pasaka ya Bwana huanza jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. 623:6 Kut 12:17-19Siku ya kumi na tano ya mwezi huo wa kwanza, Sikukuu ya Bwana ya Mikate Isiyotiwa Chachu huanza; kwa siku saba, mtakula mikate isiyotiwa chachu. 7Katika siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida. 8Kwa siku saba mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku hiyo ya saba mtafanya kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida.’ ”

Malimbuko

9Bwana akamwambia Mose, 1023:10 Hes 15:2; Law 19:9; Kut 22:29; 34:22; Rum 11:16; Kum 16:9; Yos 3:15; Mit 3:9; 1Kor 15:20; Yak 1:18“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi nitakayowapa na kuvuna mazao ya nchi hiyo, leteni kwa kuhani mganda wa nafaka ya kwanza mtakayovuna. 1123:11 Kut 29:24; 28:38; Law 9:21; 10:14Naye atauinua huo mganda mbele za Bwana ili ukubaliwe kwa niaba yenu; kuhani ataupunga siku inayofuata Sabato. 1223:12 Law 12:6; Kut 12:5Siku hiyo mtakapoinua huo mganda, lazima mtoe kwa Bwana dhabihu ya kuteketezwa kwa moto ya mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiye na dosari, 1323:13 Law 2:14-16; 6:20; 10:9; 24:5; Hes 15:6; 28:9; Mwa 35:14pamoja na sadaka yake ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa23:13 Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili. za unga laini uliochanganywa na mafuta, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kupendeza, na sadaka yake ya kinywaji ya robo ya hini23:13 Robo ya hini ni sawa na lita moja. ya divai. 1423:14 Yos 5:11; Rut 2:14; 1Sam 17:17; 25:18; 2Sam 17:28; Kut 34:26; Law 3:17; Hes 10:8; 15:21; Yer 2:3Kamwe msile mkate wowote, au nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya, mpaka siku ile mtakayomletea Mungu wenu sadaka hii. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

Sikukuu Ya Majuma

(Hesabu 28:26-31)

15“ ‘Tangu siku ile iliyofuata Sabato, siku mliyotoa sadaka ya mganda wa kuinuliwa, hesabuni majuma saba kamili. 1623:16 Mdo 20:16; 2:1; Hes 28:26Mtahesabu siku hamsini mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, ndipo mtatoa sadaka ya nafaka mpya kwa Bwana. 1723:17 Kut 34:22; 23:16; Hes 15:17-19Kutoka popote mnapoishi, mtaleta mikate miwili ya unga laini, sehemu mbili za kumi za efa, uliookwa kwa chachu, kuwa sadaka ya kuinuliwa ya malimbuko kwa Bwana. 1823:18 Kut 29:41; 30:9; 37:16; Yer 19:13; 44:18Toeni pamoja na hiyo mikate wana-kondoo saba, kila mmoja wa mwaka mmoja asiye na dosari, na fahali mchanga, na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Bwana, pamoja na sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji, sadaka iliyotolewa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. 1923:19 Hes 28:30; Law 4:23Kisha toeni dhabihu ya mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na wana-kondoo wawili, kila mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya amani. 2023:20 Kut 29:24Kuhani atawainua hao wana-kondoo wawili mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa, pamoja na mkate wa malimbuko. Ni sadaka takatifu kwa Bwana kwa ajili ya kuhani. 2123:21 Kut 32:5Siku iyo hiyo mtatangaza kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

2223:22 Law 19:9-10; Kum 24:19-21; Rut 2:2, 15; Kut 23:11; Kum 15:1-18; Ay 20:19; Za 112:9; Mit 14:31; Isa 58:7-8; Yak 2:1“ ‘Mnapovuna mavuno ya ardhi yenu, msivune hadi mpakani mwa shamba lenu, au kukusanya masazo ya mavuno yenu. Hayo utayaacha kwa ajili ya maskini na mgeni. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

Sikukuu Ya Tarumbeta

(Hesabu 29:1-6)

23Bwana akamwambia Mose, 2423:24 Ezr 3:1; Hes 10:9-10; 29:1; 31:6; 2Fal 11:14; 2Nya 13:12; Za 98:6“Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na siku ya mapumziko, kusanyiko takatifu la ukumbusho litakaloadhimishwa kwa kupiga tarumbeta. 25Msifanye kazi zenu zozote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa Bwana iliyoteketezwa kwa moto.’ ”

Siku Ya Upatanisho

(Hesabu 29:7-11)

26Bwana akamwambia Mose, 2723:27 Law 16:29; Kut 30:10; Hes 29:7; Isa 58:3-5; Dan 10:3, 12“Siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni Siku ya Upatanisho. Mtafanya kusanyiko takatifu, mfunge, nanyi mtoe sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. 28Msifanye kazi siku hiyo, kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ambapo upatanisho unafanyika kwa ajili yenu mbele za Bwana Mungu wenu. 2923:29 Mwa 17:14; Law 7:20; Hes 5:2Mtu yeyote ambaye hatafunga siku hiyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. 3023:30 Law 20:3Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo nitamwangamiza kutoka miongoni mwa watu wake. 3123:31 Law 3:17Hamtafanya kazi kamwe. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo popote mnapoishi. 3223:32 Law 16:31; Neh 13:19Ni Sabato ya mapumziko kwenu ninyi, na lazima mfunge. Tangu jioni ya siku ya tisa ya mwezi hadi jioni inayofuata, mtaishika Sabato yenu.”

Sikukuu Ya Vibanda

(Hesabu 29:12-40)

33Bwana akamwambia Mose, 3423:34 1Fal 8:2; Hag 2:1; Kut 23:16; Yn 7:2, 37; Kut 34:22; Ezr 3:4; Neh 8:14; Zek 14:16“Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, Sikukuu ya Bwana ya vibanda itaanza, nayo itaadhimishwa kwa siku saba. 35Siku ya kwanza ni kusanyiko takatifu, msifanye kazi zenu za kawaida. 3623:36 1Fal 8:2; 2Nya 7:9; Neh 8:18; Yn 7:37; Law 1:9Kwa siku saba toeni sadaka kwa Bwana za kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku ya nane fanyeni kusanyiko takatifu, na mtoe sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. Ni kusanyiko la mwisho, msifanye kazi zenu za kawaida.

37(“ ‘Hizi ni sikukuu za Bwana zilizoamriwa, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu kwa kuleta sadaka kwa Bwana za kuteketeza kwa moto: sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka, dhabihu na sadaka za vinywaji zitahitajika kila siku. 3823:38 Kut 20:10; 2Nya 2:4; Eze 45:17; Law 7:16Sadaka hizi ni nyongeza ya zile mnazozitoa katika Sabato za Bwana, na pia ni nyongeza ya matoleo yenu ya chochote mlichoweka nadhiri, na sadaka zenu zote za hiari mnazozitoa kwa Bwana.)

3923:39 Isa 62:9; Kut 23:16; Kum 16:13; Mt 21:8“ ‘Basi kuanzia siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, baada ya kuvuna mazao yote ya nchi, mtaadhimisha sikukuu kwa Bwana kwa siku saba; siku ya kwanza ni mapumziko, pia siku ya nane ni mapumziko. 4023:40 Za 9:2; 66:6; 105:43; 118:27; 137:2; Neh 8:10, 14-17; Isa 44:4; Kum 12:7; 14:26; 28:47; Yoe 2:26Siku ya kwanza mtachukua matunda mazuri ya miti, matawi ya mitende, matawi yenye majani mengi, na matawi ya mirebi, nanyi mtashangilia mbele za Bwana Mungu wenu kwa siku saba. 41Mtaadhimisha siku hii kuwa sikukuu kwa Bwana kwa siku saba kila mwaka. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo; iadhimisheni mwezi wa saba. 4223:42 Kut 23:16; Neh 8:14-16Mtaishi katika vibanda kwa siku saba: Wazawa wote wa Waisraeli wataishi katika vibanda, 4323:43 Kum 31:13; Za 78:5ili wazao wenu wajue kuwa niliwafanya Waisraeli waishi kwenye vibanda nilipowatoa Misri. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

44Kwa hiyo Mose akawatangazia Waisraeli sikukuu zilizoamriwa na Bwana.

Korean Living Bible

레위기 23:1-44

여호와의 명절

1여호와께서 이스라엘 백성에게 이렇게 전하라고 모세에게 말씀하셨

2다. “너희가 거룩한 모임을 갖고 나 여호와를 경배할 명절은 다음과 같다:

36일 동안은 일하는 날이며 7일째 되는 날은 쉬어야 할 거룩한 안식일이다. 그러므로 너희는 아무 일도 하지 말고 모여서 나 여호와에게 예배드려야 한다. 이 날은 너희가 어느 곳에 있든지 모여서 거룩한 날로 지켜야 할 나 여호와의 안식일이다.”

유월절

4“너희가 매년 정한 때에 공포하여 거룩한 모임을 갖고 지켜야 할 나 여호와의 명절은 이렇다:

51월 14일 저녁은 나 여호와의 유월절로 지켜라.

6그리고 그 다음날인 15일부터는 무교절이 시작되므로 너희는 7일 동안 누룩 넣지 않은 빵을 먹어야 한다.

7이 명절의 첫날에는 너희가 일손을 놓고 거룩한 모임을 가질 것이며

87일 동안 너희는 나 여호와에게 불로 태워 바치는 화제를 드리고 명절 끝날인 7일째 되는 날에도 일손을 놓고 거룩한 모임을 가져야 한다.”

초실절

9-10“너희는 내가 줄 땅에 들어가서 첫 곡 식을 거둘 때에 우선 제일 처음 거둔 곡식단 하나를 제사장에게 갖다 주어야 하며

11제사장은 안식일 다음날에 그 곡식단을 흔들어 나 여호와에게 특별한 예물로 바쳐야 한다.

12너희는 그 날에 일 년 된 흠 없는 숫양을 나 여호와에게 불로 태워 바치는 번제로 드리고

13또 그 번제와 함께 곡식으로 드리는 소제로 감람기름을 섞은 고운 밀가루 23:13 히 ‘에바 2/10’4.4리터를 불에 태워 나 여호와를 기쁘게 하는 향기가 되게 하라. 그리고 너희는 술로 드리는 전제로 포도주 23:13 히 ‘힌 1/4’약 리터를 함께 바쳐라.

14너희가 이런 예물을 나에게 가져오기 전에는 새 곡식으로 만든 빵이나 볶은 곡식은 물론, 그 새 곡식의 풋이삭까지도 먹어서는 안 된다. 이것은 너희가 어디에 살든지 대대로 지켜야 할 규정이다.”

칠칠절

15“너희는 첫 곡식단을 가져온 안식일 다음날부터 계산하여 7주가 지난 50일째에

16나중에 추수한 다른 곡식으로 나 여호와에게 새 소제를 드려야 한다.

17너희는 고운 밀가루 4.4리터에 누룩을 넣고 구워서 만든 빵 두 개를 가져와 나중에 추수한 곡식의 첫열매로 나 여호와 앞에 흔들어 바쳐라.

18그리고 너희는 이 빵과 함께 일 년 된 흠 없는 어린 양 일곱 마리와 수송아지 한 마리와 숫양 두 마리를 소제 및 전제와 함께 나 여호와에게 번제로 드려라. 이 모든 제물은 불로 태워 나 여호와를 기쁘게 하는 향기가 되게 해야 한다.

19또 너희는 속죄제로 숫염소 한 마리를 드리고 화목제로 일 년 된 어린 숫양 두 마리를 바쳐야 한다.

20제사장은 그 첫 이삭의 빵과 함께 그 두 마리의 어린 양을 내 앞에서 흔들어 요제로 삼아야 한다. 이것들은 나 여호와에게 바친 거룩한 음식이므로 제사장이 먹도록 하라.

21너희는 이 날을 거룩한 모임의 날로 선포하고 아무 일도 하지 말아라. 이것은 너희가 어느 곳에 살든지 대대로 지켜야 할 규정이다.

22“너희는 곡식을 추수할 때 구석구석 다 베지 말며 떨어진 이삭도 줍지 말고 그것을 가난한 자와 나그네를 위해서 내버려 두어라. 나는 너희 하나님 여호와이다.”

나팔절

23-24“너희는 7월 일을 쉬는 날로 정하고 나팔을 불어 기념하라. 이 날은 거룩한 모임을 갖는 날이므로

25너희는 모든 생업에서 일손을 놓고 나 여호와에게 화제를 드려야 한다.”

속죄일

26-27“7월 10일은 속죄일이다. 그러므로 너 희는 나 여호와 앞에 모여서 23:26-27 또는 ‘스스로 괴롭게 하고’금식하며 죄를 슬퍼하고 나에게 화제를 드려라.

28이 날은 특별히 너희 하나님 나 여호와 앞에서 죄를 속하는 속죄일이므로 너희는 어떤 일도 해서는 안 된다.

29이 날에 자기 죄를 슬퍼하고 회개하지 않는 자는 내 백성 가운데서 제거될 것이다.

30그리고 이 날에 무슨 일이든지 일을 하는 자는 내가 죽여 버리겠다.

31그러므로 너희는 아무 일도 하지 말아라. 이것은 너희가 어느 곳에 살든지 대대로 지켜야 할 규정이다.

32너희는 이 날을 특별히 쉬는 날로 정하고 그 전날 저녁부터 다음날 저녁까지 자신을 살피고 죄를 뉘우치는 마음으로 엄숙하게 보내야 한다.”

초막절

33-34“7월 15일부터 7일 동안은 너희가 나 여호와 앞에서 지켜야 할 초막절이다.

35너희는 이 명절의 첫날에 거룩한 모임을 갖고 아무 일도 하지 말아라.

36그리고 너희는 7일 동안 매일 나에게 제물을 바쳐야 하며 8일째 되는 날에도 거룩한 모임을 갖고 나 여호와에게 제물을 바쳐야 한다. 이 날도 축제일이므로 너희는 노동을 하지 말아라.

37“이상은 너희가 공포해야 할 나 여호와의 명절이다. 너희는 이 명절이 돌아올 때마다 거룩한 모임을 갖고 내가 지시한 모든 제물을 각각 지정된 그 날에 불로 태워 바쳐라.

38연례적으로 지키도록 되어 있는 이 명절에는 일 주일마다 돌아오는 안식일은 포함되지 않으며 또 이 명절의 절기 동안에 바치는 여러 가지 희생제물에도 일반 예물과 서약을 지키거나 자원하여 바치는 예물은 제외된다.

39“너희는 그 땅에서 추수가 끝나면 7월 15일부터 7일 동안 이 명절을 나 여호와 앞에서 지키고 특별히 이 명절의 첫날과 8일째 되는 날에 쉬는 것을 잊어서는 안 된다.

40그리고 너희는 그 명절의 첫날에 과일이 달린 나뭇가지와 종려나무 가지와 잎이 무성한 나뭇가지와 수양버들을 꺾어 초막을 짓고 너희 하나님 나 여호와 앞에서 7일 동안 즐거워하라.

417일간의 이 명절은 너희가 대대로 지켜야 할 규정이다.

42너희 모든 이스라엘 사람들은 7일 동안 이 초막에서 지내라.

43이것은 내가 너희를 이집트에서 인도해 내던 때에 너희를 초막에서 살게 하던 일을 너희 후손들에게 대대로 상기시켜 주기 위해서이다. 나는 너희 하나님 여호와이다.”

44그래서 모세는 여호와의 이 모든 명절을 이스라엘 백성에게 공포하였다.