Walawi 21 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 21:1-24

Sheria Kwa Ajili Ya Makuhani

121:1 Kut 28:1; Law 5:3; 13:3; Hes 5:2; 6:6; 19:11; 31:19; Eze 44:25Bwana akamwambia Mose, “Sema na makuhani, wana wa Aroni, uwaambie: ‘Kamwe kuhani asijitie unajisi kwa utaratibu wa kiibada kwa ajili ya mtu wake yeyote anayekufa, 2isipokuwa jamaa wake wa karibu, kama vile mama yake au baba yake, mwanawe au binti yake, ndugu yake, 321:3 Hes 6:6; 21:5; Law 13:40; 19:28; Yer 7:29; 16:6; Eze 5:1; 44:20au dada yake asiyeolewa ambaye anamtegemea kwa kuwa hana mume, kwa ajili ya hao aweza kujitia unajisi. 4Kamwe asijitie unajisi mwenyewe kutokana na wale watu ambao anahusiana nao kwa kuoana, na hivyo kujitia unajisi.

5“ ‘Kamwe makuhani wasinyoe nywele za vichwa vyao wala wasinyoe pembeni mwa ndevu zao, au kuweka chale kwenye miili yao. 621:6 Ezr 8:28; Law 18:21; 3:11; 22:25; 10:3; Kut 19:22; Law 20:7; Za 15:4; Mt 5:33-37; Yak 5:12Lazima wawe watakatifu kwa Mungu wao, na kamwe wasilinajisi jina la Mungu wao. Kwa sababu ndio wanaotoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Bwana, chakula cha Mungu wao, hivyo lazima wawe watakatifu.

721:7 Eze 44:22; 21:8; Law 3:11; Kut 31:13; 21:9; Mwa 38:24; Law 19:29; Kut 29:29; Hes 35:25; Kut 28:2“ ‘Kamwe wasioe wanawake waliojinajisi kwa ukahaba, au waliopewa talaka na waume wao, kwa sababu makuhani ni watakatifu kwa Mungu wao. 8Waoneni kuwa watakatifu, kwa sababu ndio wanaotoa chakula cha Mungu wenu. Kumbukeni kuwa ni watakatifu, kwa sababu Mimi Bwana ni mtakatifu, Mimi niwafanyaye ninyi kuwa watakatifu.

9“ ‘Ikiwa binti wa kuhani anajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamwaibisha baba yake; lazima achomwe kwa moto.

1021:10 Kut 29:7; Law 8:7-13; 16:4; 10:6“ ‘Kuhani mkuu, yule miongoni mwa ndugu zake ambaye amekwisha kutiwa mafuta kwa kumiminiwa juu ya kichwa chake, na ambaye amewekwa wakfu kuvaa mavazi ya ukuhani, kamwe asiache nywele zake bila kufunikwa, wala asirarue nguo zake. 1121:11 Hes 5:2; 6:6; 9:6; 19:11-14; 31:19; Law 19:28Kamwe asiingie mahali palipo maiti ndani. Kamwe asijitie unajisi, hata kwa ajili ya baba yake au mama yake, 1221:12 Kut 25:8; 28:41; Law 10:7wala asiondoke mahali patakatifu pa Mungu wake au kupanajisi, kwa sababu amewekwa wakfu kwa mafuta ya Mungu wake. Mimi ndimi Bwana.

1321:13 Eze 44:22“ ‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira. 14Kamwe asimwoe mjane, au mwanamke aliyepewa talaka, wala mwanamke aliyejinajisi kwa ukahaba, bali atamwoa tu bikira kutoka miongoni mwa watu wake, 1521:15 Rum 12:1; 1Kor 3:16; Efe 5:17; 1The 4:1-8na hivyo hatawatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake. Mimi ndimi Bwana, nimfanyaye mtakatifu.’ ”

16Bwana akamwambia Mose, 1721:17 Hes 16:5; Za 64:4“Mwambie Aroni: ‘Kwa vizazi vijavyo, hakuna mzao wako mwenye dosari atakayekaribia kutoa chakula cha Mungu wake. 1821:18 Law 22:19-25; 19:14; 2Sam 4:4; 9:3; 19:26Hakuna mtu mwenye dosari yoyote awezaye kukaribia: hakuna mtu aliye kipofu au kiwete, au aliyeharibika uso au asiye na viungo kamili, 19hakuna mtu mwenye mguu au mkono uliolemaa, 2021:20 Law 22:24; Kum 23:1; Isa 56:3au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa. 2121:21 Law 3:11; 22:19Hakuna mzao wa kuhani Aroni mwenye kilema chochote atakayekaribia kutoa sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. Kama ana kilema, kamwe asikaribie kutoa chakula cha Mungu wake. 2221:22 1Kor 9:13Anaweza kula chakula kitakatifu sana cha Mungu wake, pia hata chakula kitakatifu. 2321:23 Kut 25:8; Law 20:8; Hes 18:19Lakini kwa sababu ya kilema chake, kamwe asikaribie karibu na pazia wala kukaribia madhabahu, asije akanajisi mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi Bwana, niwafanyaye watakatifu.’ ”

24Basi Mose akamwambia Aroni jambo hili na wanawe, pamoja na Waisraeli wote.

Swedish Contemporary Bible

3 Moseboken 21:1-24

Guds krav på prästerskapet

1Herren sa till Mose: ”Säg till prästerna, Arons söner, att aldrig orena sig genom att röra vid en död bland sitt folk, 2utom om det är en nära släkting, en mor eller en far, en son eller dotter, en bror 3eller en ogift syster som han har haft särskilt ansvar för, eftersom hon inte haft någon man. I hennes fall får han orena sig. 4Som ledare för sitt folk får prästen nämligen inte orena sig och vanhelga sig.21:4 Grundtextens innebörd är osäker.

5Prästerna får inte raka av sig håret eller klippa kanten av skägget och inte heller rista märken på sin kropp. 6De ska vara heliga inför Gud och får inte vanhelga hans namn eftersom de bär fram eldoffer till Herren, sin Guds, mat. De ska vara heliga.

7En präst får inte gifta sig med en prostituerad, en vanärad och inte heller med en frånskild kvinna, för han är avskild för Gud. 8Du ska tänka på att han är helgad för att bära fram offer inför Gud. Du ska hålla honom helig, för jag, Herren, som helgar er är helig.

9En prästdotter som låter prostituera sig vanhelgar sig själv och sin far och ska brännas.

10Översteprästen som bland sina medbröder blivit smord med smörjelseolja på sitt huvud och bär de särskilda kläderna får inte låta sitt hår hänga löst eller riva sönder sina kläder. 11Han får inte komma i närheten av en död människa inte ens genom sin far eller mor får han orena sig. 12Han får inte lämna helgedomen och inte vanhelga sin Guds helgedom, för han är avskild genom sin Guds smörjelseolja. Jag är Herren.

13Han ska gifta sig med en orörd kvinna. 14Han får inte gifta sig med en änka, en frånskild, vanärad eller prostituerad kvinna. Hon måste vara en orörd kvinna från hans eget folk 15för att inte vanhelga sina barn bland folket. Jag är Herren som helgar honom.”

16Och Herren talade till Mose: 17”Säg till Aron att den av hans ättlingar i kommande generationer som har någon defekt inte får bära fram mat som offer inför Gud. 18Ingen som har en defekt får träda fram, ingen som är blind, lam eller vanställd till sin kropp21:18 Innebörden i de hebreiska benämningarna är osäker, men alla syftar på någon form av fysiska brister., 19har brutit sina händer eller fötter, 20är puckelryggig eller dvärg eller har något fel på sitt öga eller har utslag eller skabb på huden eller har skadade testiklar. 21Ingen av prästen Arons ättlingar som har en defekt får träda fram och bära fram eldoffer inför Herren, ingen med defekt får träda fram och offra sin Guds mat. 22Men han ska få äta Guds mat, både det högheliga och heliga. 23Han får däremot inte för sin defekt gå fram till förhänget och inte heller komma i närheten av altaret. Detta skulle vanhelga min helgedom, för jag är Herren som helgar dem.”

24Mose talade så till Aron och hans söner och till hela Israels folk.