Walawi 12 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 12:1-8

Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto

1Bwana akamwambia Mose, 212:2 Law 15:19; 18:19; Isa 64:6; Eze 18:6; 22:10; 36:17“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi. 312:3 Kut 22:30; Mwa 17:10-12; Lk 1:59; 2:21; 2:2; Yn 7:22-23Mvulana atatahiriwa siku ya nane. 4Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia. 5Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.

612:6 Lk 2:22; Kut 29:38; Law 5:7; 23:12; Hes 6:12-14; 7:15; Ufu 5:6-8; 7:14“ ‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 712:7 Ebr 9:9-28; 10:1-12Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake.

“ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike. 812:8 Mwa 15:9; Law 4:26; 14:22; 5:7; Lk 2:22-24; Law 4:26; 2Kor 8:9Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’ ”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

利未记 12:1-8

产妇洁净的条例

1耶和华对摩西说: 2“你把以下条例告诉以色列人。

“如果有妇人生了男婴,她就要不洁净七天,像在经期内不洁净一样。 3第八天,婴儿要接受割礼。 4妇人因产后流血,要等三十三天才能洁净。其间,不可接触任何圣物,也不可进入圣所。 5如果妇人生的是女婴,她就要不洁净十四天,像在经期内不洁净一样。她因产后流血,要等六十六天才能洁净。 6不论她生男生女,洁净期满后,都要预备一只一岁的羊羔作燔祭、一只雏鸽或斑鸠作赎罪祭,带到会幕门口交给祭司。 7祭司要在耶和华面前献祭,为她赎罪,她就洁净了。这是有关产妇的条例。 8她若负担不起一只羊羔,可以带两只斑鸠或雏鸽来,一只作燔祭,一只作赎罪祭。祭司为她赎罪后,她就洁净了。”