Walawi 11 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 11:1-47

Vyakula Najisi Na Visivyo Najisi

(Kumbukumbu 14:3-21)

1Bwana akawaambia Mose na Aroni, 211:2 Mdo 10:12-14; Kum 14:4; Eze 4:4; Mt 15:11; Rum 14:2; 1Kor 8:8; Kol 2:16; Ebr 9:10“Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: 3Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.

4“ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu. 5Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 611:6 1Tim 4:4-5Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 711:7 Isa 65:4; 66:3, 17Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu. 811:8 Isa 52:11; Law 5:2; Ebr 9:10; Mt 15:11, 20; Mdo 10:14-15; 15:29; Rum 14:14-17; 1Kor 8:8Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.

9“ ‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba. 1011:10 Law 7:18; Kum 14:3Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu. 1111:11 Law 5:2Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo. 12Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.

1311:13 Kum 14:12; Rum 14:1-23“ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu, 1411:14 Mwa 1:11mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi, 1511:15 Mwa 8:7aina zote za kunguru, 16mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga, 17bundi, mnandi, bundi mkubwa, 1811:18 Isa 13:21; 14:23; 34:11-14; Sef 2:14mumbi, mwari, nderi, 1911:19 Zek 5:9; Mwa 1:11; Isa 2:20korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

2011:20 Mdo 10:14; 11:22; Mt 3:4; Mk 1:6“ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu. 21Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi. 22Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi. 23Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.

Wanyama Ambao Ni Najisi

2411:24 Law 5:2; 13:3; 14:46; 15:5; 22:6; Hes 19:7, 19; Amu 6:5; Yer 46:23; Nah 3:17“ ‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2511:25 Kut 19:10; Law 13:6, 34; 14:8; 15:5; 16:26; Hes 8:7; 19:7-8; 31:24Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

26“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi. 27Miongoni mwa wanyama wote watembeao kwa miguu minne, wale watembeao kwa vitanga vyao ni najisi kwenu; yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2811:28 Ebr 9:10; 11:29; Isa 66:17; Ebr 9:10; Isa 66:17Yeyote atakayebeba mizoga yao ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu.

29“ ‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa, 3011:30 Za 58:8; Isa 2:20guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga. 31Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 3211:32 Law 15:12; Hes 19:18; 31:20Ikiwa mmoja wao atakufa na kuangukia juu ya kitu fulani, chombo hicho, hata kikiwa cha matumizi gani, kitakuwa najisi, kiwe kimetengenezwa kwa mti, nguo, ngozi au gunia. Kiweke ndani ya maji; kitakuwa najisi mpaka jioni, kisha kitakuwa safi tena. 3311:33 Law 6:28; 15:12Ikiwa mmoja wa wanyama aliyekufa ataangukia ndani ya chungu, kila kilichomo katika chungu hicho kitakuwa najisi, nawe ni lazima uvunje chungu hicho. 34Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi. 35Chochote ambacho mzoga wa mmojawapo utaangukia kitakuwa najisi. Jiko au chungu cha kupikia ni lazima kivunjwe. Ni najisi, nawe ni lazima uvihesabu kuwa najisi. 36Lakini chemchemi au kisima, mahali pa kuchota maji, patakuwa safi, lakini yeyote atakayegusa moja ya mizoga hii ni najisi. 37Kama mzoga ukianguka juu ya mbegu zozote ambazo ni za kupanda, zinabaki safi. 38Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.

3911:39 Law 17:15; 22:4, 8; Kum 14:21; Eze 4:14; 44:31; Hes 19:11“ ‘Kama mnyama ambaye mnaruhusiwa kumla akifa, yeyote atakayeugusa mzoga wake atakuwa najisi mpaka jioni. 4011:40 Law 14:8; 17:15; 22:8; Eze 44:31; Ebr 9:10Yeyote atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayebeba mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

41“ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe. 42Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo. 4311:43 Law 20:5; 22:5Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo. 4411:44 Kut 6:2, 7; 19:10; 20:2; 22:31; 31:13; Isa 43:3; 51:15; Eze 20:5; Law 19:2; 20:7; Hes 15:40; Yos 3:5; 7:13; 24:19; 1Nya 15:12; 2Nya 29:5; 35:6; Kum 14:2; 1Sam 2:2; Ay 6:10; Za 99:3; Efe 1:4; 1The 4:7; 1Pet 1:15-16Mimi ndimi Bwana Mungu wenu; jitakaseni mwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa kiumbe chochote kile kiendacho juu ya ardhi. 4511:45 Law 25:38, 55; Mwa 17:7; Kut 6:7; 19:6; 1Pet 1:16; Rum 14:17; 1Kor 6:11Mimi ndimi Bwana niliyewapandisha mtoke Misri ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo kuweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.

46“ ‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi. 4711:47 Law 10:10; Yer 15:19; Eze 22:26; 44:23Ni lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’ ”

New Russian Translation

Левит 11:1-47

Чистая и нечистая пища

(Втор. 14:3-21)

1Господь сказал Моисею и Аарону:

2– Скажите израильтянам: «Вот животные, живущие на земле, которых вы можете есть. 3Вы можете есть всякое животное, у которого раздвоенное копыто имеет глубокий разрез и которое жует жвачку.

4Есть животные, которые либо жуют жвачку, либо имеют раздвоенное копыто. Не ешьте из них: верблюда, потому что он жует жвачку, но у него копыто не раздвоено – он нечист для вас; 5дамана11:5 Даман – млекопитающие размером с кролика, внешне напоминающие грызунов. Живут, преимущественно, в горных районах., который жует жвачку, но у него нет раздвоенного копыта – он нечист для вас; 6кролика, который жует жвачку, но у него нет раздвоенного копыта – он нечист для вас. 7А свинья, хотя у нее копыто и раздвоено, и имеет глубокий разрез, не жует жвачку – она тоже нечиста для вас. 8Не ешьте их мясо и не прикасайтесь к их трупам: они нечисты для вас.

9Из существ, живущих в воде – в морях и реках, вы можете есть тех, у которых есть плавники и чешуя. 10Но теми существами из морей и рек, у которых нет плавников и чешуи, и пресмыкающимися, и другой водяной живностью гнушайтесь. 11Гнушаясь ими, не ешьте их мясо. Гнушайтесь их трупами. 12Вся водная живность, которая не имеет плавников и чешуи, пусть будет для вас мерзостью.

13Вот птицы, которыми вы должны гнушаться и которых не должны есть, потому что это мерзость: орел, бородач, скопа, 14коршун, любой вид сокола, 15любой вид ворона, 16сова, козодой, чайка, любой вид ястреба, 17домовой сыч, большой баклан, филин, 18белая сова, пустынная сова, стервятник, 19аист, любой вид цапли, удод и летучая мышь11:19 В ряде случаев невозможно точно установить, какие именно животные имеются в виду под тем или иным еврейским названием в стихах 13-19, 22 и 29-30..

20Все насекомые, которые могут и летать, и ползать, пусть будут для вас мерзостью. 21Из всех летающих и ползающих насекомых вы можете есть только тех, у которых ноги приспособлены к прыжкам. 22Из них вы можете есть любой вид саранчи, акрид, цикад и кузнечиков. 23Но остальными насекомыми, которые могут и летать, и ползать, гнушайтесь.

24Вы осквернитесь ими. Любой, кто прикоснется к их трупам, будет нечист до вечера. 25Любой, кто подберет такой труп, должен выстирать одежду и будет нечист до вечера.

26Любое животное, у которого копыто раздвоено, но не имеет глубокого разреза, или которое не жует жвачку, нечисто для вас. Всякий, кто прикоснется к ним, станет нечист. 27Те четвероногие животные, которые ходят на лапах, нечисты для вас. Любой, кто прикоснется к их трупам, будет нечист до вечера. 28Любой, кто подберет их труп, должен выстирать одежду и будет нечист до вечера. Эти животные нечисты для вас.

29Из ползающих по земле для вас нечисты: ласка, мышь, любой вид шипохвоста, 30геккон, варан, стенная ящерица, веретеница и хамелеон. 31Из всех ползающих эти животные нечисты для вас. Любой, кто прикоснется к их трупам, будет нечист до вечера. 32Если труп упадет на что-нибудь, та вещь, каким бы ни было ее назначение, станет нечиста, будь она из дерева, ткани, шкуры или мешковины. Ее нужно окунуть в воду. Она будет нечиста до вечера, а затем вновь станет чистой. 33Если труп упадет в глиняный горшок, все в нем станет нечистым, и горшок нужно разбить. 34Пища, на которую попала вода из такого горшка, нечиста, и любое питье станет в нем нечистым. 35Все, на что упадет труп, станет нечистым. Печь или горшок для стряпни11:35 Или: «очаг». нужно разбить. Они нечисты, обходитесь с ними как с нечистыми. 36Однако источник или хранилище для воды останутся чистыми, но все, что в них прикоснется к трупу, станет нечистым. 37Если труп упадет на семена, ждущие высадки, они останутся чистыми. 38Но если семена, на которые упал труп, были залиты водой, они станут нечисты для вас.

39Любой, кто прикоснулся к трупу животного, дозволенного вам в пищу, будет нечист до вечера. 40Любой, кто поест от трупа, должен выстирать одежду и будет нечист до вечера. Любой, кто подберет труп, должен выстирать одежду и будет нечист до вечера.

41Любое существо, которое пресмыкается по земле, мерзость. Его нельзя есть. 42Не ешьте пресмыкающихся, все равно ползают ли они на брюхе, передвигаются ли на четырех ногах или имеют много ног – это мерзость. 43Не оскверняйтесь ими, не делайтесь через них нечистыми. 44Я – Господь, ваш Бог; освящайтесь и будьте святы, потому что Я свят. Не оскверняйтесь никакой живностью, которая пресмыкается по земле. 45Я – Господь, Который вывел вас из Египта, чтобы быть вашим Богом. Будьте святы, потому что Я свят.

46Таков закон о зверях, птицах и всякой живности, которая кишит в воде и пресмыкается по земле. 47Отличайте нечистое от чистого, живность, которую можно есть, от той, которую есть нельзя».