Walawi 11 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 11:1-47

Vyakula Najisi Na Visivyo Najisi

(Kumbukumbu 14:3-21)

1Bwana akawaambia Mose na Aroni, 211:2 Mdo 10:12-14; Kum 14:4; Eze 4:4; Mt 15:11; Rum 14:2; 1Kor 8:8; Kol 2:16; Ebr 9:10“Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: 3Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.

4“ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu. 5Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 611:6 1Tim 4:4-5Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 711:7 Isa 65:4; 66:3, 17Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu. 811:8 Isa 52:11; Law 5:2; Ebr 9:10; Mt 15:11, 20; Mdo 10:14-15; 15:29; Rum 14:14-17; 1Kor 8:8Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.

9“ ‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba. 1011:10 Law 7:18; Kum 14:3Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu. 1111:11 Law 5:2Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo. 12Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.

1311:13 Kum 14:12; Rum 14:1-23“ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu, 1411:14 Mwa 1:11mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi, 1511:15 Mwa 8:7aina zote za kunguru, 16mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga, 17bundi, mnandi, bundi mkubwa, 1811:18 Isa 13:21; 14:23; 34:11-14; Sef 2:14mumbi, mwari, nderi, 1911:19 Zek 5:9; Mwa 1:11; Isa 2:20korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

2011:20 Mdo 10:14; 11:22; Mt 3:4; Mk 1:6“ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu. 21Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi. 22Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi. 23Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.

Wanyama Ambao Ni Najisi

2411:24 Law 5:2; 13:3; 14:46; 15:5; 22:6; Hes 19:7, 19; Amu 6:5; Yer 46:23; Nah 3:17“ ‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2511:25 Kut 19:10; Law 13:6, 34; 14:8; 15:5; 16:26; Hes 8:7; 19:7-8; 31:24Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

26“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi. 27Miongoni mwa wanyama wote watembeao kwa miguu minne, wale watembeao kwa vitanga vyao ni najisi kwenu; yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2811:28 Ebr 9:10; 11:29; Isa 66:17; Ebr 9:10; Isa 66:17Yeyote atakayebeba mizoga yao ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu.

29“ ‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa, 3011:30 Za 58:8; Isa 2:20guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga. 31Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 3211:32 Law 15:12; Hes 19:18; 31:20Ikiwa mmoja wao atakufa na kuangukia juu ya kitu fulani, chombo hicho, hata kikiwa cha matumizi gani, kitakuwa najisi, kiwe kimetengenezwa kwa mti, nguo, ngozi au gunia. Kiweke ndani ya maji; kitakuwa najisi mpaka jioni, kisha kitakuwa safi tena. 3311:33 Law 6:28; 15:12Ikiwa mmoja wa wanyama aliyekufa ataangukia ndani ya chungu, kila kilichomo katika chungu hicho kitakuwa najisi, nawe ni lazima uvunje chungu hicho. 34Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi. 35Chochote ambacho mzoga wa mmojawapo utaangukia kitakuwa najisi. Jiko au chungu cha kupikia ni lazima kivunjwe. Ni najisi, nawe ni lazima uvihesabu kuwa najisi. 36Lakini chemchemi au kisima, mahali pa kuchota maji, patakuwa safi, lakini yeyote atakayegusa moja ya mizoga hii ni najisi. 37Kama mzoga ukianguka juu ya mbegu zozote ambazo ni za kupanda, zinabaki safi. 38Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.

3911:39 Law 17:15; 22:4, 8; Kum 14:21; Eze 4:14; 44:31; Hes 19:11“ ‘Kama mnyama ambaye mnaruhusiwa kumla akifa, yeyote atakayeugusa mzoga wake atakuwa najisi mpaka jioni. 4011:40 Law 14:8; 17:15; 22:8; Eze 44:31; Ebr 9:10Yeyote atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayebeba mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

41“ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe. 42Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo. 4311:43 Law 20:5; 22:5Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo. 4411:44 Kut 6:2, 7; 19:10; 20:2; 22:31; 31:13; Isa 43:3; 51:15; Eze 20:5; Law 19:2; 20:7; Hes 15:40; Yos 3:5; 7:13; 24:19; 1Nya 15:12; 2Nya 29:5; 35:6; Kum 14:2; 1Sam 2:2; Ay 6:10; Za 99:3; Efe 1:4; 1The 4:7; 1Pet 1:15-16Mimi ndimi Bwana Mungu wenu; jitakaseni mwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa kiumbe chochote kile kiendacho juu ya ardhi. 4511:45 Law 25:38, 55; Mwa 17:7; Kut 6:7; 19:6; 1Pet 1:16; Rum 14:17; 1Kor 6:11Mimi ndimi Bwana niliyewapandisha mtoke Misri ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo kuweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.

46“ ‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi. 4711:47 Law 10:10; Yer 15:19; Eze 22:26; 44:23Ni lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’ ”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Levítico 11:1-47

Leyes sobre animales puros e impuros11:1-47 La identificación de algunos animales, aves e insectos de este capítulo no ha podido establecerse con precisión.

11:1-23Dt 14:3-20

1El Señor les ordenó a Moisés y a Aarón 2que les dijeran a los israelitas: «De todas las bestias que hay en tierra firme, estos son los animales que vosotros podréis comer: 3los rumiantes que tienen la pezuña partida en dos. 4Hay, sin embargo, rumiantes que no tienen la pezuña partida. De esos animales no podréis comer los siguientes:

»El camello, porque es rumiante, pero no tiene la pezuña partida; este animal será impuro para vosotros.

5»El conejo, porque es rumiante, pero no tiene la pezuña partida; este animal será impuro para vosotros.

6»La liebre, porque es rumiante,11:5,6 rumiante … rumiante. Así percibían los hebreos al conejo y a la liebre. pero no tiene la pezuña partida; este animal será impuro para vosotros.

7»El cerdo, porque tiene la pezuña partida en dos, pero no es rumiante; este animal será impuro para vosotros.

8»No comeréis la carne ni tocaréis el cadáver de estos animales. Los consideraréis animales impuros.

9»De los animales que hay en las aguas, es decir, en los mares y en los ríos, podréis comer los que tengan aletas y escamas. 10En cambio, consideraréis inmundos todos los animales de los mares y de los ríos que no tengan aletas ni escamas, sean reptiles u otros animales acuáticos. 11No comeréis su carne, y rechazaréis su cadáver, porque vosotros los consideraréis animales inmundos. 12Todo animal acuático que no tenga aletas ni escamas será para vosotros un animal inmundo.

13»Rechazaréis las siguientes aves y no las comeréis, porque las consideraréis animales inmundos: el águila, el quebrantahuesos, el águila marina, 14toda clase de milanos y gavilanes, 15toda clase de cuervos, 16el avestruz, la lechuza, toda clase de gaviotas, 17el búho, el avetoro, el cisne, 18la lechuza nocturna, el pelícano, el buitre, 19la cigüeña, toda clase de garzas, la abubilla y el murciélago.

20»A todo insecto alado que camina a cuatro patas lo consideraréis un animal inmundo. 21Hay, sin embargo, algunos insectos alados que caminan a cuatro patas y que podréis comer: los que además de sus patas tienen zancas para saltar, 22y también toda clase de langostas, grillos y saltamontes. 23Pero a los demás insectos alados que caminan a cuatro patas los consideraréis animales inmundos.

Leyes sobre la impureza por tocar un animal impuro

24»Vosotros quedaréis impuros por lo siguiente:

»Todo el que toque el cadáver de esos animales quedará impuro hasta el anochecer.

25»Todo el que recoja alguno de esos cadáveres deberá lavarse la ropa, y quedará impuro hasta el anochecer.

26»Consideraréis impuro todo animal que no tenga la pezuña partida ni sea rumiante. Cualquiera que lo toque quedará impuro.

27»De los animales de cuatro patas, tendréis por impuro a todo el que se apoya sobre sus plantas. Cualquiera que toque su cadáver quedará impuro hasta el anochecer, 28y todo el que lo recoja deberá lavarse la ropa, y quedará impuro hasta el anochecer. A estos animales los consideraréis impuros.

29»Entre los animales que se arrastran, consideraréis impuros a la comadreja, al ratón, a toda clase de lagartos, 30a la salamanquesa, a la iguana, al camaleón y a la salamandra. 31Estos son los animales que consideraréis impuros entre los que se arrastran. Todo el que toque el cadáver de esos animales quedará impuro hasta el anochecer.

Otras leyes sobre el contacto con animales impuros

32»Cuando el cadáver de algún animal impuro toque algún objeto de madera, o ropa, o piel, o un saco o cualquier utensilio de uso cotidiano, tal objeto quedará impuro. Deberá lavarse con agua, y quedará impuro hasta el anochecer. Entonces volverá a ser puro.

33»Si el cadáver de alguno de estos animales cae dentro de una vasija de barro, todo lo que la vasija contenga quedará impuro, y habrá que romperla. 34Todo alimento sobre el que caiga agua de dicha vasija quedará impuro; lo mismo sucederá con todo líquido que haya en esa vasija. 35Cualquier cosa sobre la que caiga parte de estos cadáveres quedará impura, y habrá que destruir los hornos y los fogones con los que haya entrado en contacto. Los cadáveres son impuros, y así deberéis considerarlos. 36Solo las fuentes o las cisternas que recogen agua permanecerán puras; cualquier otra cosa que toque un cadáver quedará impura.

37»Si alguno de esos cadáveres cae sobre la semilla destinada a la siembra, la semilla permanecerá pura. 38Pero, si la semilla se remoja en agua y alguno de esos cadáveres cae sobre ella, deberéis considerarla impura.

39»Si muere algún animal de los que está permitido comer, quien toque su cadáver quedará impuro hasta el anochecer. 40Quien coma carne de ese cadáver se lavará la ropa y quedará impuro hasta el anochecer. Quien lo recoja se lavará la ropa y quedará impuro hasta el anochecer.

Resumen sobre los reptiles y la santidad

41»Vosotros no comeréis ninguno de los animales que se arrastran, porque son inmundos. 42No comeréis ningún animal que se arrastre sobre su vientre, o que se apoye sobre sus plantas, o que tenga más de cuatro patas. En resumen, no comeréis ningún animal que se arrastra, porque es inmundo; 43es decir, no os contaminéis por causa de su inmundicia, pues son animales inmundos. 44Yo soy el Señor vuestro Dios, así que santificaos y manteneos santos, porque yo soy santo. No os hagáis impuros por causa de los animales que se arrastran. 45Yo soy el Señor, que os sacó de la tierra de Egipto, para ser vuestro Dios. Sed, pues, santos, porque yo soy santo.

Conclusión

46»Esta es la ley acerca de los animales y de las aves, y de todo ser que se mueve dentro de las aguas o que se arrastra por el suelo, 47para que así podáis distinguir entre lo puro y lo impuro, y entre lo que se puede comer y lo que no se debe comer».