Walawi 1 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 1:1-17

Sadaka Ya Kuteketezwa

11:1 Kut 3:4; 19:3; 25:22; 40:2; Hes 7:89; 12:4-5Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia, 21:2 Law 22:18-21; 7:16, 38; 23:38; 27:9; Hes 15:3“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.

31:3 Kum 15:21; 12:5-6, 11; Mwa 8:20; Law 6:25; 17:9; 22:19-20, 27; Ezr 8:35; Mal 1:8; Kut 12:5; Ebr 9:14; 1Pet 1:19; Hes 6:16; Isa 58:5“ ‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana. 41:4 Kut 29:10, 15, 36; Law 4:29; 6:25; Eze 45:15; Mwa 32:20, 30; 2Nya 29:23-24; Kut 29:26; 32:30; Isa 56:7; Rum 12:1; Hes 15:25; Flp 4:18; Ebr 10:11Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake. 51:5 Kut 29:11, 20; Law 3:2, 8; 8:2; 10:6; 21:1; Hes 15:8; Kum 13:8; Za 50:9; 69:31; Ebr 12:24; 1Pet 1:2Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania. 61:6 Law 7:8; Kut 29:17Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande. 71:7 Mwa 22:9; Law 3:5; 6:12Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto. 81:8 Kut 29:13; Law 8:20; 9:13Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. 91:9 Kut 29:17, 18; Law 2:2; 3:5; 17:6; 6:22; 9:14; 23:8, 25, 36; Hes 28:6, 19; 18:17; 28:11-13; Mwa 8:21; Efe 2:5Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

101:10 Mwa 22:7; Kut 12:5; Law 3:12; 4:23, 28; 5:6; Hes 15:11“ ‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari. 111:11 Kut 29:11, 20Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu. 12Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. 131:13 Kut 29:17; Law 6:22; Kum 12:27Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

141:14 Mwa 15:9; Lk 2:24; Law 5:7; Lk 2:24“ ‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa. 151:15 Law 5:8-9Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu. 161:16 Law 4:12; 6:10; Hes 4:13Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu. 171:17 Mwa 15:10; Law 5:8Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

New Serbian Translation

3. Мојсијева 1:1-17

Жртва свеспалница

1Господ позва Мојсија и рече му из Шатора од састанка: 2„Говори синовима Израиљевим и реци им: ’Кад ко од вас приноси жртву Господу, нека је принесе од стоке, крупне или ситне.

3Ако приноси жртву свеспалницу од крупне стоке, нека принесе мушко без мане. Нека га доведе на улаз од Шатора од састанка, да би га Господ прихватио. 4Затим нека положи руке на главу жртве свеспалнице, да би била прихваћена као откуп за његов грех, 5и нека закоље јунца пред Господом. Онда нека синови Аронови, свештеници, принесу крв и њоме запљусну све стране жртвеника, који је код улаза у Шатор од састанка. 6Нека се затим жртва свеспалница одере и исече на делове. 7Потом нека синови Аронови наложе ватру на жртвенику, а на ватру наслажу дрва. 8Затим нека синови Аронови, свештеници, поређају делове, главу и сало, на дрва што су на огњу на жртвенику. 9Дроб и ноге нека се оперу, а свештеник нека све то спали на жртвенику. То је свеспалница, жртва која се пали на угодан мирис Господу.

10Ако приноси жртву од ситне стоке, нека принесе јагње или јаре као жртву свеспалницу. Нека принесе мушко без мане. 11Нека га закоље пред Господом, са северне стране жртвеника. А синови Аронови, свештеници, нека његовом крвљу запљусну жртвеник са свих страна. 12Нека затим исеку жртву на делове, с главом и лојем, а свештеник нека поређа делове на дрва која су на огњу на жртвенику. 13Дроб и ноге нека оперу у води, а свештеник нека све то принесе и спали на жртвенику. То је свеспалница, жртва која се пали на угодан мирис Господу.

14Ако приноси Господу жртву свеспалницу од птица, нека принесе на жртву грлицу или голубића. 15Нека га свештеник донесе на жртвеник, и откине му главу. Потом нека га спали на жртвенику, а крв нека исцеди низ жртвеник са стране. 16Гушу с њеном садржином1,16 Или: Гушу с перјем. Не зна се тачно значење јеврејске речи. нека уклони и баци их источно од жртвеника, где се одлаже пепео. 17Онда нека га распори дуж крила, али тако да их не раскине. Тада нека га свештеник спали на жртвенику, на дрвима што су на ватри. То је свеспалница, жртва која се пали на угодан мирис Господу.