Walawi 1 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 1:1-17

Sadaka Ya Kuteketezwa

11:1 Kut 3:4; 19:3; 25:22; 40:2; Hes 7:89; 12:4-5Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia, 21:2 Law 22:18-21; 7:16, 38; 23:38; 27:9; Hes 15:3“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.

31:3 Kum 15:21; 12:5-6, 11; Mwa 8:20; Law 6:25; 17:9; 22:19-20, 27; Ezr 8:35; Mal 1:8; Kut 12:5; Ebr 9:14; 1Pet 1:19; Hes 6:16; Isa 58:5“ ‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana. 41:4 Kut 29:10, 15, 36; Law 4:29; 6:25; Eze 45:15; Mwa 32:20, 30; 2Nya 29:23-24; Kut 29:26; 32:30; Isa 56:7; Rum 12:1; Hes 15:25; Flp 4:18; Ebr 10:11Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake. 51:5 Kut 29:11, 20; Law 3:2, 8; 8:2; 10:6; 21:1; Hes 15:8; Kum 13:8; Za 50:9; 69:31; Ebr 12:24; 1Pet 1:2Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania. 61:6 Law 7:8; Kut 29:17Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande. 71:7 Mwa 22:9; Law 3:5; 6:12Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto. 81:8 Kut 29:13; Law 8:20; 9:13Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. 91:9 Kut 29:17, 18; Law 2:2; 3:5; 17:6; 6:22; 9:14; 23:8, 25, 36; Hes 28:6, 19; 18:17; 28:11-13; Mwa 8:21; Efe 2:5Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

101:10 Mwa 22:7; Kut 12:5; Law 3:12; 4:23, 28; 5:6; Hes 15:11“ ‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari. 111:11 Kut 29:11, 20Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu. 12Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. 131:13 Kut 29:17; Law 6:22; Kum 12:27Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

141:14 Mwa 15:9; Lk 2:24; Law 5:7; Lk 2:24“ ‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa. 151:15 Law 5:8-9Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu. 161:16 Law 4:12; 6:10; Hes 4:13Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu. 171:17 Mwa 15:10; Law 5:8Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

New Russian Translation

Левит 1:1-17

Жертва всесожжения

1Господь позвал Моисея и говорил с ним из шатра собрания. Он сказал:

2– Обратись к израильтянам и скажи им: «Если кто-то из вас приносит Господу в жертву скот, пусть это будет животное из крупного или мелкого скота.

3Если приношение – это всесожжение из крупного скота, пусть жертвующий принесет в жертву самца без изъяна. Пусть он поставит жертву у входа в шатер собрания, чтобы она была угодна1:3 Или: «она сделала его угодным». Господу. 4Пусть он положит руки на голову жертвы всесожжения, и она будет принята от его лица, чтобы совершить для него отпущение грехов. 5Пусть он заколет молодого быка перед Господом, а сыновья Аарона, священники, принесут кровь и окропят со всех сторон жертвенник, который находится у входа в шатер собрания. 6Пусть жертвующий снимет шкуру с туши жертвы всесожжения и разрежет на куски. 7Сыновья священника Аарона разведут на жертвеннике огонь и разложат в огне дрова. 8Затем священники, сыновья Аарона, разложат куски, вместе с головой и жиром, на жертвеннике на горящих дровах. 9Пусть он вымоет внутренности и ноги жертвы, а священник сожжет их на жертвеннике. Это будет всесожжение, огненная жертва, благоухание, приятное Господу.

10Если приношение – это всесожжение из мелкого скота, из овец или из коз, пусть он принесет в жертву самца без изъяна. 11Пусть он заколет его с северной стороны жертвенника перед Господом, а священники, сыновья Аарона, окропят кровью самца жертвенник со всех сторон. 12Пусть он разрежет тушу на куски, а священник разложит их, вместе с головой и жиром, на горящих дровах жертвенника. 13Пусть он вымоет внутренности и ноги жертвы, а священник принесет их и сожжет на жертвеннике. Это будет всесожжение, огненная жертва, благоухание, приятное Господу.

14Если приношение Господу – это всесожжение из птиц, пусть он принесет в жертву горлицу или молодого голубя. 15Пусть священник принесет птицу к жертвеннику, свернет ей голову и сожжет ее на жертвеннике; кровь пусть будет выцежена к стороне жертвенника. 16Пусть он вынет зоб и перья и бросит их к восточной стороне жертвенника, туда, где пепел. 17Взяв птицу за крылья, пусть он вскроет ее, но не до конца, а потом сожжет на горящих дровах жертвенника. Это будет всесожжение, огненная жертва, благоухание, приятное Господу».