Wakolosai 4 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wakolosai 4:1-18

14:1 Law 25:43, 53Ninyi mabwana, watendeeni watumwa wenu yaliyo haki na yanayostahili, mkitambua ya kwamba ninyi pia mnaye Bwana mbinguni.

Maagizo Zaidi

24:2 Lk 18:1; 1The 5:17; Efe 6:18; Flp 4:6Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru. 34:3 Mdo 14:27; Efe 6:19-20; Rum 15:30; 1Kor 16:9Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa. 44:4 Efe 6:20Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri kama ipasavyo kunena. 54:5 Efe 5:15; Mk 4:11; Efe 5:16Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati. 64:6 Efe 4:29; Mk 9:50; 1Pet 3:15Maneno yenu yawe yamejaa neema siku zote, yanayofaa, ili mjue jinsi iwapasavyo na inavyofaa kumjibu kila mtu.

Salamu Za Mwisho

74:7 Mdo 20:4; Efe 6:21-22Tikiko atawaambia habari zangu zote. Yeye ni ndugu mpendwa, mtendakazi mwaminifu na mtumishi mwenzangu katika Bwana. 84:8 Efe 6:22; 6:21Nimemtuma kwenu kwa madhumuni haya ili mpate kufahamu hali yetu, na pia awatie moyo. 94:9 Flp 1:10; Flm 10; Kol 4:12Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpendwa na mwaminifu, ambaye ni mmoja wenu. Watawaambia mambo yote yanayotendeka hapa kwetu.

104:10 Mdo 19:21; 4:36Aristarko aliye mfungwa pamoja nami anawasalimu, vivyo hivyo Marko, binamu yake Barnaba. (Mmeshapata maagizo yanayomhusu; akija kwenu, mpokeeni.) 114:11 Flp 2:25Yesu, yeye aitwaye Yusto, pia anawasalimu. Hawa peke yao ndio Wayahudi miongoni mwa watendakazi wenzangu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, nao wamekuwa faraja kwangu. 124:12 Kol 1:7; Flp 1:23; Rum 15:30; 1Kor 2:6Epafra, ambaye ni mmoja wenu na mtumishi wa Kristo Yesu, anawasalimu. Yeye siku zote anawaombea kwa bidii kwamba msimame imara katika mapenzi yote ya Mungu, mkiwa wakamilifu na thabiti. 134:13 Kol 2:1Ninashuhudia kumhusu kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, na kwa ajili ya ndugu wa Laodikia na wale wa Hierapoli. 144:14 2Tim 4:11; Flp 1:24; 2Tim 4:10Rafiki yetu mpenzi Luka yule tabibu, pamoja na Dema, wanawasalimu. 154:15 Rum 16:5Wasalimuni ndugu wote wa Laodikia, na pia Nimfa, pamoja na kanisa linalokutana katika nyumba yake.

164:16 2The 3:14Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kanisa la Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia.

174:17 Flp 1:2; 2Tim 4:5Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa unakamilisha ile huduma uliyopokea katika Bwana.”

184:18 1Kor 16:21; Ebr 13:3Mimi, Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kumbukeni minyororo yangu. Neema iwe nanyi. Amen.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

歌羅西書 4:1-18

1你們作主人的,對待奴僕要公平合理,別忘了你們也有一位天上的主。

勉勵禱告

2你們要以感恩和警醒的心恆切禱告。 3要為我們禱告,求上帝為我們打開傳道的門,好傳揚基督的奧祕——我就是為此而被囚禁的。 4也要求上帝使我能盡自己的本分把這奧祕講清楚。

5你們要把握時機,運用智慧和非信徒交往。 6談吐要溫和、風趣4·6 風趣」希臘文是「用鹽調和」。,知道該怎樣回答每個人。

結語

7有關我一切的事情,推基古會告訴你們。他是我親愛的弟兄,是和我一同事奉主的忠僕。 8我特意派他去見你們,好讓你們知道我們的近況,並鼓勵你們。 9這次和他同行的還有另一位忠心的弟兄——親愛的阿尼西謀,他是你們那裡的人。他們會把這裡的詳細情形告訴你們。

問候

10和我一同坐牢的亞里達古問候你們,巴拿巴的表弟馬可也問候你們。關於馬可,我囑咐過你們,如果他去你們那裡,你們要接待他。 11耶數,又名猶士都,問候你們。受過割禮的猶太基督徒中,只有這三人和我一同為上帝的國工作,他們是我的安慰。 12來自你們那裡、作基督耶穌奴僕的以巴弗弟兄問候你們。他常常懇切地為你們禱告,好使你們信心堅定,生命成熟,深知上帝一切的旨意。 13他為了你們以及老底嘉希拉波立的弟兄姊妹而不辭勞苦,這是我可以作證的。 14此外,親愛的路加醫生和底馬也問候你們。 15請代我問候在老底嘉的弟兄姊妹,也問候寧法姊妹和在她家裡聚會的人。 16你們當眾宣讀這封信後,也要交給老底嘉教會宣讀,你們也要宣讀老底嘉教會轉給你們的信。 17請告訴亞基布務要完成主交給他的工作。 18保羅親筆問候你們。請你們不要忘記獄中的我。

願上帝的恩典常與你們同在!