Wakolosai 4 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wakolosai 4:1-18

14:1 Law 25:43, 53Ninyi mabwana, watendeeni watumwa wenu yaliyo haki na yanayostahili, mkitambua ya kwamba ninyi pia mnaye Bwana mbinguni.

Maagizo Zaidi

24:2 Lk 18:1; 1The 5:17; Efe 6:18; Flp 4:6Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru. 34:3 Mdo 14:27; Efe 6:19-20; Rum 15:30; 1Kor 16:9Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa. 44:4 Efe 6:20Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri kama ipasavyo kunena. 54:5 Efe 5:15; Mk 4:11; Efe 5:16Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati. 64:6 Efe 4:29; Mk 9:50; 1Pet 3:15Maneno yenu yawe yamejaa neema siku zote, yanayofaa, ili mjue jinsi iwapasavyo na inavyofaa kumjibu kila mtu.

Salamu Za Mwisho

74:7 Mdo 20:4; Efe 6:21-22Tikiko atawaambia habari zangu zote. Yeye ni ndugu mpendwa, mtendakazi mwaminifu na mtumishi mwenzangu katika Bwana. 84:8 Efe 6:22; 6:21Nimemtuma kwenu kwa madhumuni haya ili mpate kufahamu hali yetu, na pia awatie moyo. 94:9 Flp 1:10; Flm 10; Kol 4:12Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpendwa na mwaminifu, ambaye ni mmoja wenu. Watawaambia mambo yote yanayotendeka hapa kwetu.

104:10 Mdo 19:21; 4:36Aristarko aliye mfungwa pamoja nami anawasalimu, vivyo hivyo Marko, binamu yake Barnaba. (Mmeshapata maagizo yanayomhusu; akija kwenu, mpokeeni.) 114:11 Flp 2:25Yesu, yeye aitwaye Yusto, pia anawasalimu. Hawa peke yao ndio Wayahudi miongoni mwa watendakazi wenzangu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, nao wamekuwa faraja kwangu. 124:12 Kol 1:7; Flp 1:23; Rum 15:30; 1Kor 2:6Epafra, ambaye ni mmoja wenu na mtumishi wa Kristo Yesu, anawasalimu. Yeye siku zote anawaombea kwa bidii kwamba msimame imara katika mapenzi yote ya Mungu, mkiwa wakamilifu na thabiti. 134:13 Kol 2:1Ninashuhudia kumhusu kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, na kwa ajili ya ndugu wa Laodikia na wale wa Hierapoli. 144:14 2Tim 4:11; Flp 1:24; 2Tim 4:10Rafiki yetu mpenzi Luka yule tabibu, pamoja na Dema, wanawasalimu. 154:15 Rum 16:5Wasalimuni ndugu wote wa Laodikia, na pia Nimfa, pamoja na kanisa linalokutana katika nyumba yake.

164:16 2The 3:14Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kanisa la Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia.

174:17 Flp 1:2; 2Tim 4:5Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa unakamilisha ile huduma uliyopokea katika Bwana.”

184:18 1Kor 16:21; Ebr 13:3Mimi, Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kumbukeni minyororo yangu. Neema iwe nanyi. Amen.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

歌罗西书 4:1-18

1你们做主人的,对待奴仆要公平合理,别忘了你们也有一位天上的主。

勉励祷告

2你们要以感恩和警醒的心恒切祷告。 3要为我们祷告,求上帝为我们打开传道的门,好传扬基督的奥秘——我就是为此而被囚禁的。 4也要求上帝使我能尽自己的本分把这奥秘讲清楚。

5你们要把握时机,运用智慧和非信徒交往。 6谈吐要温和、风趣4:6 风趣”希腊文是“用盐调和”。,知道该怎样回答每个人。

结语

7有关我一切的事情,推基古会告诉你们。他是我亲爱的弟兄,是和我一同事奉主的忠仆。 8我特意派他去见你们,好让你们知道我们的近况,并鼓励你们。 9这次和他同行的还有另一位忠心的弟兄——亲爱的阿尼西谋,他是你们那里的人。他们会把这里的详细情形告诉你们。

问候

10和我一同坐牢的亚里达古问候你们,巴拿巴的表弟马可也问候你们。关于马可,我嘱咐过你们,如果他去你们那里,你们要接待他。 11耶数,又名犹士都,问候你们。受过割礼的犹太基督徒中,只有这三人和我一同为上帝的国工作,他们是我的安慰。 12来自你们那里、做基督耶稣奴仆的以巴弗弟兄问候你们。他常常恳切地为你们祷告,好使你们信心坚定,生命成熟,深知上帝一切的旨意。 13他为了你们以及老底嘉希拉波立的弟兄姊妹而不辞劳苦,这是我可以作证的。 14此外,亲爱的路加医生和底马也问候你们。 15请代我问候在老底嘉的弟兄姊妹,也问候宁法姊妹和在她家里聚会的人。 16你们当众宣读这封信后,也要交给老底嘉教会宣读,你们也要宣读老底嘉教会转给你们的信。 17请告诉亚基布务要完成主交给他的工作。 18保罗亲笔问候你们。请你们不要忘记狱中的我。

愿上帝的恩典常与你们同在!