Wagalatia 6 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wagalatia 6:1-18

Chukulianeni Mizigo

16:1 1Kor 2:15; Rum 14:1; 15:1; Ebr 12:13; Yak 5:19; 1Kor 2:15; 3:1; 4:21; 2The 3:15; 1Kor 7:5Ndugu zangu, ikiwa mtu ameghafilika akatenda dhambi, basi ninyi mlio wa rohoni, mrejesheni upya mtu huyo kwa roho ya upole. Lakini jihadharini, ili ninyi wenyewe msije mkajaribiwa. 26:2 Rum 15:1; 1Kor 9:21; Rum 15:1; Gal 5:13; 1The 5:14; Yn 13:14, 15, 34; 15:12; Yak 2:8Chukulianeni mizigo ninyi kwa ninyi, nanyi kwa njia hii mtatimiza sheria ya Kristo. 36:3 Rum 12:3; 1Kor 8:2; Rum 12:3; 1Kor 8:2; Gal 2:6; 2Kor 3:5; 12:11Kama mtu yeyote akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe. 46:4 1Kor 11:28; 2Kor 13:5; Lk 18:11Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo aweze kujisifu, bila kujilinganisha na mtu mwingine. 56:5 Rum 2:6; 1Kor 3:8Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe. 66:6 1Kor 9:11, 14; Rum 15:27; 1Kor 9:11, 14Basi, yeye afundishwaye katika neno na amshirikishe mwalimu wake mema yote.

76:7 1Kor 6:9; 2Kor 9:6; 1Kor 15:33; Ay 13:9; Lk 16:25; Rum 2:6Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna. 86:8 Hos 8:7; Rum 6:23; Yn 3:18; Ay 4:8; Mit 11:18; 22:8; Hos 8:7; 10:12; Rum 8:13; Yak 3:18Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. 96:9 1Kor 15:58; Za 126:5; 2Kor 4:1; Ay 42:12; Ebr 12:3; Ufu 2:10Hivyo, tusichoke katika kutenda mema, kwa kuwa tutavuna kwa wakati wake tusipokata tamaa. 10Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema, hasa wale wa jamaa ya waaminio.

Si Kutahiriwa Bali Kuwa Kiumbe Kipya

11Angalieni herufi kubwa nitumiazo ninapowaandikia kwa mkono wangu mwenyewe!

12Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili wanataka wawalazimishe kutahiriwa. Sababu pekee ya kufanya hivyo ni kuepuka kuteswa kwa ajili ya msalaba wa Kristo. 13Hata wale waliotahiriwa wenyewe hawaitii sheria, lakini wanataka ninyi mtahiriwe ili wapate kujivuna kwa habari ya miili yenu. 14Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu. 15Kwa maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu! 16Amani na rehema viwe na wote wanaofuata kanuni hii, na juu ya Israeli wa Mungu.

17Hatimaye, tangu sasa mtu yeyote asinitaabishe, kwa maana nachukua katika mwili wangu chapa zake Yesu.

18Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

加拉太書 6:1-18

互相扶持

1弟兄姊妹,如果有人不慎犯了罪,你們順從聖靈的人就應該溫柔地挽回他,同時也要小心,免得自己也受誘惑。 2你們要分擔彼此的重擔,這樣就成全了基督的律法。 3如果一個一無是處的人自以為了不起,他是自欺。 4人人都應該省察自己的行為,即使覺得有可誇之處,自己知道就好了,不必在別人面前炫耀。 5因為人人都應該為自己的行為負責。

6在真道上受教的人應該把一切美好的東西分享給教導他的人。

7不要自欺,上帝是輕慢不得的。人種什麼收什麼。 8順從罪惡的本性撒種的,必從罪惡的本性收取敗壞的惡果;順從聖靈撒種的,必從聖靈收取永生。 9我們行善不可灰心氣餒,因為到時候必有收穫。 10我們要把握機會為眾人做善事,對待信徒更要如此。

最後的勸勉和祝福

11你們看,我親手寫給你們的字是多麼大啊6·11 保羅可能有眼疾,故由別人代筆寫信。他親手寫的部分字體較大。12那些勉強你們接受割禮的人只不過是做表面工夫,想討好別人,避免為基督的十字架受迫害。 13那些接受割禮的人自己也不能遵行律法。他們要你們接受割禮,無非是想藉著你們的肉體誇耀。 14至於我自己,我絕不誇耀別的,只誇耀我們主耶穌基督的十字架。因為對我來說,世上的一切都已經被釘在十字架上;對這世界來說,我已經被釘在十字架上。 15受不受割禮根本無關緊要,做一個新造的人才至關重要。

16願上帝的平安和憐憫歸給那些願意按這原則生活的人,也歸給上帝的以色列子民6·16 也歸給上帝的以色列子民」或譯「即上帝的以色列子民」。17但願從今以後,再也沒有人來攪擾我了,因為我身上已經烙上了耶穌的印記。

18弟兄姊妹,願我們主耶穌基督的恩典與你們同在。阿們!