Wagalatia 6 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wagalatia 6:1-18

Chukulianeni Mizigo

16:1 1Kor 2:15; Rum 14:1; 15:1; Ebr 12:13; Yak 5:19; 1Kor 2:15; 3:1; 4:21; 2The 3:15; 1Kor 7:5Ndugu zangu, ikiwa mtu ameghafilika akatenda dhambi, basi ninyi mlio wa rohoni, mrejesheni upya mtu huyo kwa roho ya upole. Lakini jihadharini, ili ninyi wenyewe msije mkajaribiwa. 26:2 Rum 15:1; 1Kor 9:21; Rum 15:1; Gal 5:13; 1The 5:14; Yn 13:14, 15, 34; 15:12; Yak 2:8Chukulianeni mizigo ninyi kwa ninyi, nanyi kwa njia hii mtatimiza sheria ya Kristo. 36:3 Rum 12:3; 1Kor 8:2; Rum 12:3; 1Kor 8:2; Gal 2:6; 2Kor 3:5; 12:11Kama mtu yeyote akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe. 46:4 1Kor 11:28; 2Kor 13:5; Lk 18:11Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo aweze kujisifu, bila kujilinganisha na mtu mwingine. 56:5 Rum 2:6; 1Kor 3:8Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe. 66:6 1Kor 9:11, 14; Rum 15:27; 1Kor 9:11, 14Basi, yeye afundishwaye katika neno na amshirikishe mwalimu wake mema yote.

76:7 1Kor 6:9; 2Kor 9:6; 1Kor 15:33; Ay 13:9; Lk 16:25; Rum 2:6Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna. 86:8 Hos 8:7; Rum 6:23; Yn 3:18; Ay 4:8; Mit 11:18; 22:8; Hos 8:7; 10:12; Rum 8:13; Yak 3:18Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. 96:9 1Kor 15:58; Za 126:5; 2Kor 4:1; Ay 42:12; Ebr 12:3; Ufu 2:10Hivyo, tusichoke katika kutenda mema, kwa kuwa tutavuna kwa wakati wake tusipokata tamaa. 10Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema, hasa wale wa jamaa ya waaminio.

Si Kutahiriwa Bali Kuwa Kiumbe Kipya

11Angalieni herufi kubwa nitumiazo ninapowaandikia kwa mkono wangu mwenyewe!

12Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili wanataka wawalazimishe kutahiriwa. Sababu pekee ya kufanya hivyo ni kuepuka kuteswa kwa ajili ya msalaba wa Kristo. 13Hata wale waliotahiriwa wenyewe hawaitii sheria, lakini wanataka ninyi mtahiriwe ili wapate kujivuna kwa habari ya miili yenu. 14Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu. 15Kwa maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu! 16Amani na rehema viwe na wote wanaofuata kanuni hii, na juu ya Israeli wa Mungu.

17Hatimaye, tangu sasa mtu yeyote asinitaabishe, kwa maana nachukua katika mwili wangu chapa zake Yesu.

18Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

加拉太书 6:1-18

互相扶持

1弟兄姊妹,如果有人不慎犯了罪,你们顺从圣灵的人就应该温柔地挽回他,同时也要小心,免得自己也受诱惑。 2你们要分担彼此的重担,这样就成全了基督的律法。 3如果一个一无是处的人自以为了不起,他是自欺。 4人人都应该省察自己的行为,即使觉得有可夸之处,自己知道就好了,不必在别人面前炫耀。 5因为人人都应该为自己的行为负责。

6在真道上受教的人应该把一切美好的东西分享给教导他的人。

7不要自欺,上帝是轻慢不得的。人种什么收什么。 8顺从罪恶的本性撒种的,必从罪恶的本性收取败坏的恶果;顺从圣灵撒种的,必从圣灵收取永生。 9我们行善不可灰心气馁,因为到时候必有收获。 10我们要把握机会为众人做善事,对待信徒更要如此。

最后的劝勉和祝福

11你们看,我亲手写给你们的字是多么大啊6:11 保罗可能有眼疾,故由别人代笔写信。他亲手写的部分字体较大。12那些勉强你们接受割礼的人只不过是做表面工夫,想讨好别人,避免为基督的十字架受迫害。 13那些接受割礼的人自己也不能遵行律法。他们要你们接受割礼,无非是想借着你们的肉体夸耀。 14至于我自己,我绝不夸耀别的,只夸耀我们主耶稣基督的十字架。因为对我来说,世上的一切都已经被钉在十字架上;对这世界来说,我已经被钉在十字架上。 15受不受割礼根本无关紧要,做一个新造的人才至关重要。

16愿上帝的平安和怜悯归给那些愿意按这原则生活的人,也归给上帝的以色列子民6:16 也归给上帝的以色列子民”或译“即上帝的以色列子民”。17但愿从今以后,再也没有人来搅扰我了,因为我身上已经烙上了耶稣的印记。

18弟兄姊妹,愿我们主耶稣基督的恩典与你们同在。阿们!