Wagalatia 1 – NEN & PEV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wagalatia 1:1-24

Salamu

11:1 Mdo 9:15; 20:24; 1Kor 1:1Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu; 21:2 Flp 4:21; Mdo 16:6; 1Kor 16:1na ndugu wote walio pamoja nami:

Kwa makanisa ya Galatia:

31:3 Rum 1:7; 1Kor 1:3; 2Kor 1:2; Efe 1:2; Flp 1:2; Kol 1:2; 1The 1:1Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo, 41:4 Rum 4:25; 1Kor 15:3; Flp 4:20aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. 51:5 Rum 11:36Utukufu una yeye milele na milele. Amen.

Hakuna Injili Nyingine

61:6 Gal 5:8; 2Kor 11:4Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine, 71:7 Mdo 15:24; Gal 5:10ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo. 81:8 2Kor 11:4; Rum 9:3Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele! 91:9 Rum 16:17; Kum 4:2; 12:32; Mit 30:6; Ufu 22:18Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!

101:10 1The 2:4; 1Sam 24:7; Mt 28:14; 1Yn 3:9; 1The 2:4Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.

Paulo Ameitwa Na Mungu

111:11 1Kor 15:1Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu. 121:12 1Kor 15:1, 3; Gal 1:1; Efe 3:3Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.

131:13 Mdo 26:4, 5; 8:3Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza. 141:14 Mt 15:2Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu. 151:15 Isa 49:1, 5; Mdo 9:15Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake, 161:16 Gal 2:9; Mt 16:17alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote, 171:17 Mdo 9:2, 19-22wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.

181:18 Mdo 9:22, 23; 9:26, 27Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa1:18 Yaani Petro. na nilikaa naye siku kumi na tano. 191:19 Mt 13:55Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana. 201:20 Rum 9:1; 1:9Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo. 211:21 Mdo 6:9; 9:30Baadaye nilikwenda sehemu za Syria1:21 Syria hapa ina maana ya Shamu. na Kilikia. 221:22 1The 2:14; Rum 16:3Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo. 231:23 Mdo 6:7; 8:3Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.” 241:24 Mt 9:8Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

La Parola è Vita

Galati 1:1-24

1Questa lettera è scritta dallʼapostolo Paolo e da tutti gli altri cristiani che sono con lui, ed è indirizzata alle chiese della Galazia.

2Non sono apostolo, perché mi abbia incaricato qualcuno di questa terra, e nemmeno per autorità umana. Ma questo incarico mi è stato dato da Gesù Cristo stesso e da Dio Padre, che lo ha resuscitato dai morti. 3Dio Padre e il Signore nostro, Gesù Cristo, vi diano pace e grazia. 4Gesù Cristo è morto per i nostri peccati, proprio come aveva programmato Dio, nostro Padre, e ci ha strappati da questo mondo corrotto in cui viviamo. 5Sia gloria a Dio per sempre. Amen.

6Mi meraviglio di voi! Dio vi ha chiamato a ricevere la grazia, la vita eterna che vi dà per mezzo di Cristo, e voi così presto vi allontanate da lui per seguire unʼaltra «via per il cielo», che però non porta affatto in cielo! 7Infatti, non cʼè altra via allʼinfuori di quella che vi ho indicato; esistono invece certi individui che vi confondono le idee e cercano di cambiare la verità del messaggio di salvezza di Cristo.

8Che Dio maledica chiunque, me compreso, predichi un modo per essere salvati diverso da quello di cui vi ho parlato; anche se fosse un angelo sceso dal cielo a predicarvi un Vangelo diverso, sia maledetto per sempre! 9Sì, lʼho detto e Io ripeto: chiunque predica un vangelo diverso da quello che avete accettato sia maledetto da Dio!

10Vedete bene che in questo momento non cerco di entrare nelle vostre grazie, usando la gentilezza e la adulazione; il mio scopo, invece, è soltanto quello di piacere a Dio. Se ancora cercassi di piacere agli uomini, non sarei servo di Cristo.

11Cari fratelli, in tutta serietà, vi dichiaro che la via per il cielo che io annuncio non si basa su qualche semplice convinzione o utopia umana, 12perché il mio messaggio non lʼho ricevuto, né imparato da altri uomini: è Gesù Cristo stesso che me lʼha rivelato!

13Voi ben sapete come agivo tempo fa, quando seguivo la religione ebraica: perseguitavo senza pietà i cristiani, decimandoli e facendo del mio meglio per eliminarli tutti. 14In tutto il paese, fra i connazionali della mia età, ero uno dei più religiosi, addirittura un fanatico, quando si trattava di seguire le antiche tradizioni della mia religione. 15Ma fu allora che accadde qualcosa! Ancor prima che io nascessi, Dio mi aveva destinato a questo incarico, perciò mi chiamò, per mezzo della sua grazia, 16per farmi conoscere suo Figlio, perché potessi parlare di lui fra i pagani.

Quando mi capitò tutto questo, non lo dissi a nessuno; 17non andai neppure a Gerusalemme a parlare con quelli che erano stati apostoli prima di me. No, me ne andai subito nei deserti dellʼArabia e poi tornai di nuovo a Damasco. 18Fu soltanto tre anni dopo che andai a Gerusalemme per conoscere Pietro, con cui rimasi quindici giorni. 19Oltre a Pietro, lʼunico altro apostolo che incontrai a quel tempo fu Giacomo, il fratello del Signore. 20Ascoltate bene ciò che vi dico, perché vi parlo davanti a Dio: questo è esattamente ciò che è accaduto, non sto dicendo bugie. 21Dopo questa visita, mi recai in Siria e in Cilicia, 22ma i cristiani della Giudea non sapevano ancora chi fossi realmente. 23Tutto ciò che sapevano era quello che si diceva in giro, e cioè: «Il nostro peggior nemico adesso predica proprio quella fede che allora cercava di distruggere». 24Così, per causa mia, glorificavano il Signore.