Waefeso 2 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waefeso 2:1-22

Tumefanywa Kuwa Hai Ndani Ya Kristo

12:1 Kol 2:13; Yn 5:24; Kol 2:13; Efe 2:5; 4:18Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu, 22:2 Tit 3:3; Yn 12:31; Efe 5:6ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. 32:3 Gal 5:16-24; Kol 3:6; Tit 3:3; 1Pet 4:3; Gal 5:16; Za 51:5; Rum 5:12, 14Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukitimiza tamaa za asili yetu ya dhambi na kufuata tamaa zake na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine yeyote. 42:4 Yn 3:16; Rum 10:12; Efe 1:7; 2:7Lakini Mungu kwa upendo wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema, 52:5 Efe 2:1; 2:8; Za 103:12; Yn 5:24; Mdo 15:11hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa neema. 62:6 Efe 1:3, 20; Rum 8:10; Flp 3:20Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu, 72:7 Tit 3:4; Efe 1:7; Rum 2:4ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. 82:8 Rum 4:2; 2Tim 1:9; Tit 3:5Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, wala si kwa matendo yenu mema. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu, 92:9 Kum 9:5; 1Kor 1:29si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu. 102:10 Efe 4:24; Tit 2:14; Isa 29:23; 43:7; 60:21; Tit 2:14Kwa maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate kutenda matendo mema, ambayo Mungu alitangulia kuyaandaa tupate kuishi katika hayo.

Wamoja Katika Kristo

112:11 Kol 2:11; Efe 5:8; 2:2Kwa hiyo kumbukeni kwamba ninyi ambao hapo awali mlikuwa watu wa Mataifa kwa kuzaliwa na kuitwa “wasiotahiriwa” na wale wanaojiita “waliotahiriwa” (yaani tohara ifanyikayo katika mwili kwa mikono ya wanadamu), 122:12 Gal 3:17; 1The 4:13kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa mbali na Kristo, mkiwa mmetengwa kutoka jumuiya ya Israeli, na mkiwa wageni katika yale maagano ya ahadi, nanyi mkiwa hamna tumaini wala Mungu duniani. 132:13 Mdo 2:39; Kol 1:20Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanza mlikuwa mbali na Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya damu ya Kristo.

142:14 1Kor 12:13; Isa 9:5; Gal 3:28; Kol 2:14Kwa maana yeye mwenyewe ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi tuliokuwa wawili, yaani, Wayahudi na watu wa Mataifa, tuwe wamoja kwa kuvunja kizuizi na kubomoa ule ukuta wa uadui uliokuwa kati yetu, 152:15 Kol 1:21-22; 2:14; Gal 3:28kwa kuibatilisha ile sheria pamoja na amri zake na maagizo yake alipoutoa mwili wake, ili apate kufanya ndani yake mtu mmoja mpya badala ya hao wawili, hivyo akifanya amani, 162:16 Kol 1:20, 22; Rum 6:6; 8:3; Kol 2:14naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao. 172:17 Za 148:14; Isa 57:19Alikuja na kuhubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na pia akahubiri amani kwao waliokuwa karibu. 182:18 Efe 3:12; Kol 1:12; 1Kor 12:13Kwa maana kwa kupitia kwake, sisi sote tunaweza kumkaribia Baba katika Roho mmoja.

192:19 Flp 3:20; Gal 6:10Hivyo basi, ninyi sasa si wageni tena wala wapitaji, bali mmekuwa wenyeji pamoja na watakatifu na pia jamaa wa nyumbani mwake Mungu. 202:20 Mt 16:18; 1Kor 3:10; 1Pet 2:4-8Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni. 212:21 1Kor 3:16-17Ndani yake jengo lote limeshikamanishwa pamoja na kusimamishwa ili kuwa Hekalu takatifu katika Bwana. 22Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu anaishi ndani yake kwa njia ya Roho wake.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以弗所书 2:1-22

靠恩典、凭信心

1你们从前死在过犯和罪恶之中。 2那时,你们随从今世的风俗,顺服在空中掌权的魔鬼,就是如今在一切叛逆上帝之人心中运行的邪灵。 3我们以前也在他们当中随从罪恶的本性2:3 罪恶的本性”希腊文是“肉体”。,放纵肉体和心中的私欲,与其他人一样本是惹上帝发怒的人。

4然而上帝有丰富的怜悯,祂深爱我们, 5尽管我们死在过犯之中,祂仍然使我们和基督一同活了过来。你们得救是因为上帝的恩典。 6在基督耶稣里,上帝使我们与基督一同复活,一同坐在天上, 7好借着祂在基督耶稣里向我们所施的恩慈,向后世显明祂无可比拟的丰富恩典。 8你们得救是靠恩典,凭信心。这不是出于你们自己,而是上帝的礼物; 9也不是由于你们的行为,以免有人自夸。 10我们是上帝的杰作,是在基督耶稣里创造的,为要叫我们做祂预先安排给我们的美善之事。

在基督里合而为一

11因此,你们要记住,从前按照肉体来说你们是外族人,那些肉体上受过人手所行割礼的以色列人称你们为“没有受过割礼的”。 12那时,你们与基督无关,又不是以色列人,在上帝应许的诸约上是局外人,你们活在世上没有盼望,没有上帝。 13但你们这些从前远离上帝的人,如今在基督耶稣里,靠着祂所流的血已经被带到上帝面前。 14因为基督耶稣亲自给我们带来了和平,以自己的身体拆毁了以色列人和外族人之间充满敌意的隔墙,使双方合而为一, 15并废除了以诫命和规条为内容的律法制度。祂这样做是为了在自己里面把双方造成一个新人,成就和平, 16并借着十字架消灭彼此间的敌意,使双方借着一个身体与上帝和好。 17祂来传扬这平安的福音给你们这些离上帝很远的外族人,也给我们这些离上帝很近的以色列人。 18我们双方都是靠着祂在同一位圣灵的引导下来到父上帝面前。

19从此,你们不再是外人或过客,你们与众圣徒一样是天国的子民,是上帝家里的人了。 20你们已被建立在众使徒和先知们的基础上,基督耶稣自己是房角石。 21整座建筑的各部分都靠祂巧妙地连接在一起,逐渐成为主的圣殿。 22你们也靠着祂被建造在一起,成为上帝借着圣灵居住的地方。