Waebrania 8 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waebrania 8:1-13

Kuhani Mkuu Wa Agano Jipya

18:1 Ebr 2:17; Mk 16:19; Ebr 4:14; Efe 1:20; Kol 3:1Basi jambo tunalotaka kulisema ni hili: Tunaye Kuhani Mkuu ambaye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Aliye Mkuu mbinguni, 28:2 Ebr 9:11, 24; 9:8, 12, 24yeye ahudumuye katika patakatifu, hema la kweli lililowekwa na Bwana, wala si na mwanadamu.

38:3 Ebr 2:17; 5:1; 9:9, 14; Efe 5:2Kila kuhani mkuu huwekwa ili atoe sadaka na dhabihu. Vivyo hivyo, ilikuwa jambo muhimu kwa huyu Kuhani naye awe na kitu cha kutoa. 48:4 Ebr 5:1; 9:9Kama angekuwa duniani, hangekuwa kuhani, kwa sababu tayari wapo watu watoao sadaka kama ilivyoelekezwa na sheria. 58:5 Ebr 9:23; 10:1; 11:7; 12:25; Kol 2:17; Kut 25:40Wanahudumu katika patakatifu palipo mfano na kivuli cha mambo ya mbinguni. Hii ndiyo sababu Mose alionywa alipokaribia kujenga hema, akiambiwa: “Hakikisha kuwa unavitengeneza vitu vyote kwa mfano ulioonyeshwa kule mlimani.” 68:6 Ebr 8:8, 13; Lk 22:20; Gal 3:20; 2Kor 3:6, 8, 9Lakini huduma aliyopewa Yesu ni bora zaidi kuliko yao, kama vile agano ambalo yeye ni mpatanishi wake lilivyo bora zaidi kuliko lile la zamani, nalo limewekwa misingi wa ahadi zilizo bora zaidi.

78:7 Ebr 7:11, 18; 10:1Kwa maana kama hapakuwa na kasoro katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine. 88:8 Yer 31:31, 32, 33, 34; Ebr 10:16, 17Lakini Mungu aliona kosa kwa watu, naye akasema:

“Siku zinakuja, asema Bwana,

nitakapofanya agano jipya

na nyumba ya Israeli

na nyumba ya Yuda.

98:9 Kut 19:5-6; 20:1-17Agano langu halitakuwa kama lile

nililofanya na baba zao

nilipowashika mkono

kuwaongoza watoke nchi ya Misri,

kwa sababu hawakuendelea kuwa waaminifu katika agano langu,

nami nikawaacha,

asema Bwana.

108:10 Rum 11:27; 2Kor 3:3; Ebr 10:16; Eze 11:20; Zek 8:8Hili ndilo agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli

baada ya siku zile, asema Bwana.

Nitaziweka sheria zangu katika nia zao

na kuziandika mioyoni mwao.

Nitakuwa Mungu wao,

nao watakuwa watu wangu.

118:11 Isa 54:13; Yn 6:45Mtu hatamfundisha tena jirani yake,

wala mtu kumfundisha ndugu yake akisema, ‘Mjue Bwana,’

kwa sababu wote watanijua mimi,

tangu aliye mdogo kabisa kwao, hadi aliye mkuu sana.

128:12 Ebr 10:17; Yer 31:31-34Kwa sababu nitasamehe uovu wao,

wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”

138:13 Ebr 8:6, 8; Lk 22:20; 2Kor 5:17; Rum 10:4Kwa kuliita agano hili “jipya,” Mungu amefanya lile agano la kwanza kuwa kuukuu; nacho kitu kinachoanza kuchakaa na kuwa kikuukuu kiko karibu kutoweka.

Nueva Versión Internacional

Hebreos 8:1-13

El sumo sacerdote de un nuevo pacto

1Ahora bien, el punto principal de lo que venimos diciendo es este: tenemos un sumo sacerdote que se sentó a la derecha del trono de la Majestad en el cielo 2y que sirve en el santuario, es decir, en el verdadero santuario levantado por el Señor y no por ningún ser humano.

3A todo sumo sacerdote se le nombra para presentar ofrendas y sacrificios, por lo cual fue necesario que Jesús también tuviera algo que ofrecer. 4Si él estuviera en la tierra, no sería sacerdote, pues aquí ya hay sacerdotes que presentan las ofrendas en conformidad con la Ley. 5Estos sacerdotes sirven en un santuario que es copia y sombra del que está en el cielo, tal como se le advirtió a Moisés cuando estaba a punto de construir el santuario: «Asegúrate de hacerlo todo según el modelo que se te ha mostrado en el monte».8:5 Éx 25:40. 6Pero el servicio sacerdotal que Jesús ha recibido es superior al de ellos, así como el pacto del cual es mediador es superior al antiguo, puesto que se basa en mejores promesas.

7Porque si ese primer pacto hubiera sido perfecto, no habría necesidad de proveer un segundo pacto. 8Pero Dios, reprochándoles sus defectos, dijo:

«Vienen días», afirma el Señor,

«en que haré un nuevo pacto

con Israel y con Judá.

9No será un pacto

como el que hice con sus antepasados

el día en que los tomé de la mano

y los saqué de Egipto,

ya que ellos no permanecieron fieles a mi pacto,

y yo los abandoné»,

dice el Señor.

10«Este es el pacto que después de aquel tiempo

haré con el pueblo de Israel», afirma el Señor.

«Pondré mis leyes en su mente

y las escribiré en su corazón.

Yo seré su Dios

y ellos serán mi pueblo.

11Ya no tendrá nadie que enseñar a su prójimo;

tampoco dirá nadie a su hermano: “¡Conoce al Señor!”,

porque todos, desde el más pequeño hasta el más grande, me conocerán.

12Yo perdonaré sus iniquidades

y nunca más me acordaré de sus pecados».8:12 Jer 31:31-34.

13Al llamar «nuevo» a ese pacto, ha declarado obsoleto al anterior; y lo que se vuelve obsoleto y envejece ya está por desaparecer.