Waebrania 4 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waebrania 4:1-16

Pumziko Aliloahidi Mungu

14:1 Ebr 12:15Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa. 24:2 1The 2:13Kwa maana sisi pia tumesikia Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia; lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na maana kwao, kwa sababu wale waliousikia hawakuuchanganya na imani. 34:3 Za 95:11; Kum 1:34, 35; Ebr 3:11Sasa sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, kama vile Mungu alivyosema,

“Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu,

‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”

Lakini kazi yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa ulimwengu. 44:4 Mwa 2:2, 3; Kut 20:11Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.” 54:5 Za 95:11; Ebr 3:3Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

64:6 Ebr 5:1; 3:18Kwa hiyo inabaki kuwa wazi kwa wengine kuingia, nao wale wa kwanza waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa sababu ya kutokutii. 74:7 Za 95:7, 8; Ebr 3:7Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita Leo, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa:

“Leo, kama mkiisikia sauti yake,

msiifanye mioyo yenu migumu.”

84:8 Yos 22:4; Ebr 1:1Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa raha, Mungu hangesema tena baadaye kuhusu siku nyingine. 9Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu; 104:10 Law 23:3; Ufu 14:13; Ebr 5:4kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake. 114:11 Ebr 5:6; 3:18Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.

124:12 Mk 4:14; 5:1; 11:28; Yn 10:35; Mdo 12:24; 1The 2:13; Isa 55:11; Yer 23:29; Ufu 1:16; 1Kor 14:24, 25Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina nguvu. Lina makali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili, hivyo linachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta yaliyo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo. 134:13 Za 33:13-15; Mit 5:21; Yer 16:17; 23:24; Dan 2:22Wala hakuna kiumbe chochote kilichofichika machoni pa Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi machoni pake yeye ambaye kwake ni lazima tutatoa hesabu.

Yesu Kristo Kuhani Mkuu Kuliko Wote

144:14 Ebr 2:17; 6:20; 8:1; 9:2; Mt 4:3; Ebr 3:1Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa uthabiti na ule ukiri wa imani yetu. 154:15 Ebr 2:17, 18; 2Kor 5:21; Isa 53:3; Lk 22:28; 1Pet 2:22; 1Yn 3:5; Ebr 7:26Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi. 164:16 Ebr 7:19; Efe 2:18; 3:12; Ebr 10:19Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.

New International Reader’s Version

Hebrews 4:1-16

God’s People Enter His Sabbath Rest

1God’s promise of enjoying his rest still stands. So be careful that none of you fails to receive it. 2The good news was announced to our people of long ago. It has also been preached to us. The message they heard didn’t have any value for them. That’s because they didn’t share the faith of those who obeyed. 3Now we who have believed enjoy that rest. God said,

“When I was angry, I made a promise.

I said, ‘They will never enjoy the rest I planned for them.’ ” (Psalm 95:11)

Ever since God created the world, his works have been finished. 4Somewhere he spoke about the seventh day. He said, “On the seventh day God rested from all his works.” (Genesis 2:2) 5In the part of Scripture I talked about earlier God spoke. He said, “They will never enjoy the rest I planned for them.” (Psalm 95:11)

6It is still true that some people will enjoy this rest. But those who had the good news announced to them earlier didn’t go in. That’s because they didn’t obey. 7So God again chose a certain day. He named it Today. He did this when he spoke through David a long time later. Here is what was written in the Scripture already given.

“Listen to his voice today.

If you hear it, don’t be stubborn.” (Psalm 95:7,8)

8Suppose Joshua had given them rest. If he had, God would not have spoken later about another day. 9So there is still a Sabbath rest for God’s people. 10God rested from his work. Those who enjoy God’s rest also rest from their works. 11So let us make every effort to enjoy that rest. Then no one will die by disobeying as they did.

12The word of God is alive and active. It is sharper than any sword that has two edges. It cuts deep enough to separate soul from spirit. It can separate bones from joints. It judges the thoughts and purposes of the heart. 13Nothing God created is hidden from him. His eyes see everything. He will hold us responsible for everything we do.

Jesus Is the Great High Priest

14We have a great high priest. He has gone up into heaven. He is Jesus the Son of God. So let us hold firmly to what we say we believe. 15We have a high priest who can feel it when we are weak and hurting. We have a high priest who has been tempted in every way, just as we are. But he did not sin. 16So let us boldly approach God’s throne of grace. Then we will receive mercy. We will find grace to help us when we need it.