Waebrania 4 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waebrania 4:1-16

Pumziko Aliloahidi Mungu

14:1 Ebr 12:15Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa. 24:2 1The 2:13Kwa maana sisi pia tumesikia Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia; lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na maana kwao, kwa sababu wale waliousikia hawakuuchanganya na imani. 34:3 Za 95:11; Kum 1:34, 35; Ebr 3:11Sasa sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, kama vile Mungu alivyosema,

“Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu,

‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”

Lakini kazi yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa ulimwengu. 44:4 Mwa 2:2, 3; Kut 20:11Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.” 54:5 Za 95:11; Ebr 3:3Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

64:6 Ebr 5:1; 3:18Kwa hiyo inabaki kuwa wazi kwa wengine kuingia, nao wale wa kwanza waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa sababu ya kutokutii. 74:7 Za 95:7, 8; Ebr 3:7Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita Leo, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa:

“Leo, kama mkiisikia sauti yake,

msiifanye mioyo yenu migumu.”

84:8 Yos 22:4; Ebr 1:1Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa raha, Mungu hangesema tena baadaye kuhusu siku nyingine. 9Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu; 104:10 Law 23:3; Ufu 14:13; Ebr 5:4kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake. 114:11 Ebr 5:6; 3:18Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.

124:12 Mk 4:14; 5:1; 11:28; Yn 10:35; Mdo 12:24; 1The 2:13; Isa 55:11; Yer 23:29; Ufu 1:16; 1Kor 14:24, 25Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina nguvu. Lina makali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili, hivyo linachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta yaliyo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo. 134:13 Za 33:13-15; Mit 5:21; Yer 16:17; 23:24; Dan 2:22Wala hakuna kiumbe chochote kilichofichika machoni pa Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi machoni pake yeye ambaye kwake ni lazima tutatoa hesabu.

Yesu Kristo Kuhani Mkuu Kuliko Wote

144:14 Ebr 2:17; 6:20; 8:1; 9:2; Mt 4:3; Ebr 3:1Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa uthabiti na ule ukiri wa imani yetu. 154:15 Ebr 2:17, 18; 2Kor 5:21; Isa 53:3; Lk 22:28; 1Pet 2:22; 1Yn 3:5; Ebr 7:26Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi. 164:16 Ebr 7:19; Efe 2:18; 3:12; Ebr 10:19Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

希伯来书 4:1-16

信的人得享安息

1因此,上帝既然仍旧应许让人进入祂的安息,我们就该战战兢兢,免得有人失去这福分。 2因为我们和他们一样听到了福音,只是他们听了道后没有凭信心领受,结果没有得到益处。 3正如上帝曾说:

“我在愤怒中起誓说,

‘他们绝不可进入我的安息。’”

但我们这些已经信的人能够进入祂的安息。其实造物之工自创世以来就已经完成了, 4因为圣经论到第七日时说:“第七日,上帝歇了一切的工。” 5又说:“他们绝不可进入我的安息。” 6既然最终会有人进入安息,而那些从前听过福音的人因为不信没能进去, 7上帝就另定了一个日子,称之为“今日”。正如多年后,祂借着大卫说:

“你们今日若听见祂的声音,

不可心里顽固。”

8如果当初约书亚已经让他们得到了安息,上帝就不必另定一个日子了。 9这样说来,必定另有一个安息日为上帝的子民存留,使他们可以真正安歇。 10因为人进入上帝的安息,就是歇了自己的工作,好像上帝歇了祂的工作一样。 11因此,我们要竭力进入那安息,免得重蹈他们的覆辙,因不顺服而倒毙。

12上帝的话有生命、有功效,锋利无比,胜过一切两刃的利剑,甚至能够剌入并分开魂与灵、关节与骨髓,辨明人一切的思想和动机。 13受造物在上帝面前都无法隐藏,因为万物都是赤裸裸地暴露在上帝眼前,我们必须向祂交账。

大祭司耶稣

14我们既然有一位已经升上高天的尊贵大祭司——上帝的儿子耶稣,就应当持守我们所认定的信仰。 15因为我们这位大祭司并非不能体恤我们的软弱,祂与我们一样曾经面对各样的试探,却从来没有犯罪。 16所以,让我们坦然无惧地到祂赐恩的宝座前,好领受怜悯和恩典,作随时的帮助。