Waebrania 2 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waebrania 2:1-18

Wokovu Mkuu

12:1 Rum 11:22Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha. 22:2 Ebr 1:1; Kum 33:2; Mdo 7:53; Gal 3:19; Ebr 10:28Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki, 32:3 Ebr 10:29; 12:25; 1:2; Lk 1:2je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia. 42:4 Mk 16:20; Yn 4:48; 1Kor 12:4; Efe 1:5Pia Mungu aliushuhudia kwa ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali, na karama za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake.

Yesu Alifananishwa Na Ndugu Zake

52:5 Ebr 6:5; 2Pet 3:13Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika. 62:6 Ebr 4:4; Ay 7:17; Za 144:3; 8:4-6Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema:

“Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,

binadamu ni nani hata unamjali?

7Umemfanya chini kidogo kuliko malaika;

ukamvika taji ya utukufu na heshima,

82:8 Za 8:4-6; Mt 22:44; 28:18; 1Kor 15:27; Efe 1:22; Ebr 1:13; 1Kor 15:2nawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.”

Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake. 92:9 Ebr 2:7; Mdo 3:13; Flp 2:7-9; 2Kor 5:15; Mdo 2:33; Yn 3:16; 12:32; Rum 5:18; 8:32; 2Kor 5:15; 1Tim 2:6; 1Yn 2:2; Ufu 5:9Lakini twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu alistahimili mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.

102:10 Rum 11:36; Lk 24:26; Ebr 5:8, 9; 7:28; Lk 24:46; Mdo 3:15; 5:31; Ebr 12:2; Lk 13:32; Ebr 5:9Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu, ilifaa kwamba Mungu, ambaye ni kwa ajili yake na kupitia kwake kila kitu kimekuwepo, amkamilishe mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso. 112:11 Ebr 10:10; Mdo 17:26; Mt 28:10; Yn 20:17; Rum 8:29; Efe 5:26; Ebr 13:12Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake. 122:12 Za 22:22, 25; 68:26Yeye husema,

“Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu;

mbele ya kusanyiko nitaimba sifa zako.”

132:13 Isa 8:17, 18; Yn 10:29; Za 18:2; Isa 12:2; Yn 20:17; 17:6, 9, 11, 12Tena,

“Nitaweka tumaini langu kwake.”

Tena anasema,

“Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”

142:14 Yn 1:14; Rum 8:3Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi, 152:15 2Tim 1:7; Lk 1:74; Rum 8:15na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti. 162:16 Isa 41:8, 9; Lk 3:8Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Abrahamu. 172:17 Ebr 2:14; 5:1; 5:2; 3:1; 4:14, 15; Flp 2:7; Rum 3:25; Za 22:22Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu. 182:18 Ebr 4:15, 16; 5:2; 7:2; 4:15Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.

Knijga O Kristu

Hebrejima 2:1-18

Upozorenja

1Zato moramo paziti da se čvrsto držimo istine koje smo čuli, da nas od nje ne odvuku. 2Poruka koju je Bog poslao po anđelima uvijek se pokazala istinitom te je svaki prijestup i neposluh pravedno kažnjen. 3Zašto onda mislimo da možemo proći bez kazne ako zanemarimo veliko spasenje što nam ga je navijestio sam Gospodin, što su nam ga potvrdili ljudi koji su ga čuli govoriti 4i što ga je Bog također posvjedočio čineći čudotvorne znake i različita čuda te dijeleći darove Svetoga Duha po svojoj volji?

Čovjek Isus

5Osim toga, Bog nije anđelima podložio budući svijet o kojemu govorimo. 6Jer u Svetome pismu piše:

“Što je običan čovjek

da misliš na njega?

Što je sin čovječji

da ga pohodiš?

7Nakratko si ga učinio malo manjim od anđela,

ali si ga okrunio slavom i čašću.

8Sve si podložio njegovoj vlasti.”2:6-8 Psalam 8:4-6.

Kad mu je sve podložio, ništa mu nije ostavio nepodloženim. Ali sada još ne vidimo da je sve podloženo njegovoj vlasti. 9Ipak, vidimo Isusa koji je “nakratko bio manjim od anđela” ali je sad “okrunjen slavom i čašću” jer je Božjom milošću pretrpio smrt radi svih.

10I dolikovalo je da Bog—koji je sve stvorio i za koga je sve stvoreno—privede mnogu svoju djecu k slavi te da patnjama učini savršenim vođu njihova spasenja, Isusa. 11Tako sada Isus i oni koje on posvećuje imaju istoga Oca. Zato ih se Isus ne srami nazivati braćom. 12Jer Bogu je rekao:

“Naviještat ću tvoje ime svojoj braći i sestrama,

i kad se okupe na bogoštovlje,

pjevat ću ti hvalospjeve.”2:12 Psalam 22:23.

13i još:

Poput svoje braće, i on je rekao:

“Uzdat ću se u Boga”

i još:

“Evo, ja i djeca koju mi je Bog dao.”

14Budući da smo mi, Božja djeca, ljudska bića od krvi i mesa, Isus je također postao poput nas rodivši se u ljudskome tijelu. Jer samo kao čovjek mogao je umrijeti i smrću slomiti vlast đavla, koji je imao moć nad smrću. 15Samo je tako mogao osloboditi one koji su živjeli robujući strahu od smrti.

16Svi znamo da Isus nije došao pomoći anđelima, nego Abrahamovim potomcima. 17Zato je Isus u svemu morao postati poput nas, braćo i sestre, da bi mogao biti naš milosrdni i vjerni Veliki svećenik pred Bogom te da bi mogao prinijeti žrtvu koja će oprati ljudske grijehe. 18On, koji je i sam mnogo trpio i bio kušan, može nam pomoći u kušnjama.