Waamuzi 2 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 2:1-23

Malaika Wa Bwana Huko Bokimu

12:1 Mwa 16:7; Kum 11:30; Kut 20:2; Amu 6:8; Law 26:42-44; Kum 7:9Malaika wa Bwana akakwea kutoka Gilgali hadi Bokimu, naye akasema, “Niliwapandisha kutoka Misri na kuwaingiza katika nchi niliyoapa kuwapa baba zenu. Nikasema, ‘Kamwe sitalivunja Agano langu nanyi. 22:2 Kut 23:32; 34:12; Kum 7:2; Kut 23:24; 34:13; Kum 7:5; 2Nya 14:3; Yer 7:28Nanyi msifanye agano na watu wa nchi hii, bali mtazibomoa madhabahu yao.’ Lakini ninyi hamkunitii mimi. Kwa nini mmefanya jambo hili? 32:3 Yos 23:13; Hes 33:55; Kut 10:7; Za 106:36Sasa basi ninawaambia kuwa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi kwenu.”

42:4 Mwa 27:38; Hes 25:6; 2Fal 17:13Malaika wa Bwana alipomaliza kusema mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia kwa sauti kuu. 5Wakapaita mahali pale Bokimu. Nao wakamtolea Bwana sadaka.

Kifo Cha Yoshua

6Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao. 7Watu wakamtumikia Bwana siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo Bwana alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli.

8Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa akiwa na umri wa miaka 110. 92:9 Yos 19:50Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Heresi2:9 Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona Yos 19:50; 24:30. katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima Gaashi.

102:10 1Nya 28:9; Kut 5:2; Gal 4:8Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua Bwana, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli. 112:11 1Fal 15:26; Amu 3:12; 4:1; 6:1; 3:7; 8:33; 1Fal 16:31; 22:53; 2Fal 10:18; 17:16Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Bwana na kuwatumikia Mabaali. 122:12 Kum 32:12; Za 106:36; Kum 31:16; Amu 10:6; Hes 11:33; Kum 4:25; Za 78:5, 8; 106:40Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha Bwana, 132:13 1Sam 7:3; 1Fal 11:5, 33; 2Fal 23:13; Amu 3:7; 5:8; 6:25; 8:33; 10:6; 1Sam 31:10; Neh 9:26; Za 78:56; Yer 11:10kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi. 142:14 Kum 31:17; Neh 9:27; Za 106:41; 44; 10; 89:41; Eze 34:8; Kum 32:30; Amu 3:8; Kum 28:25Hivyo hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao. 152:15 Rum 1:13; Ay 19:21; 5:5; 20:22; Za 32:4; Mwa 35:3; 2Sam 22:7; 2Nya 15:4; Za 18:6Popote Israeli walipotoka kwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa kinyume nao ili kuwashinda, kama vile alivyokuwa amewaapia. Nao wakawa katika taabu kubwa.

162:16 Rum 1; 1; 1Sam 4:18; 7:6, 15; 2Sam 7:11; 1Nya 17:10; Mdo 13:20; 1Sam 11:3; Za 106:43Ndipo Bwana akawainua waamuzi, ambao waliwaokoa katika mikono ya hao watu waliowashambulia. 172:17 Kut 34:15; Hes 15:39; Za 4:2; Neh 9:26; Za 106:36; Kum 9:12Lakini hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa kuifuata miungu mingine na kuiabudu. Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za Bwana. 182:18 1Sam 7:3; 2Fal 13:5; Isa 19:20; 43:3, 11; 45:15, 21; 49:20; 60:16; 63:8; Hes 10:9; Kum 32:36; Kut 2:23Kila mara Bwana alipowainulia mwamuzi, Bwana alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa Bwana aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha. 192:19 Mwa 6:11; Kum 4:16; 32:17; Neh 9:2; Za 78:57; Yer 44:9; Amu 4:1; 8:33; Kut 32:9Lakini kila mara mwamuzi alipofariki, watu walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao maovu na njia zao za ukaidi.

202:20 Kum 31:17; Yos 23:16; 7:11; 1Fal 17:15Kwa hiyo Bwana akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza, 212:21 Yos 23:5mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki. 222:22 Mwa 22:1; Kut 15:25Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya Bwana na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.” 232:23 Amu 1:1Bwana alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.

Swedish Contemporary Bible

Domarboken 2:1-23

Israel har brutit förbundet med Gud

1En dag kom Herrens ängel upp från Gilgal till Bokim och sa: ”Jag förde er upp ur Egypten och in i det land som jag lovat era förfäder och jag sa att jag aldrig skulle bryta mitt förbund med er, 2om ni å er sida inte ingick några förbund med folken som bodde i landet. Jag uppmanade er att riva ner deras avgudaaltaren, men varför har ni varit olydiga? 3Jag ska inte längre hjälpa er att driva bort folken som bor här i landet. I stället ska de bli en pik i er och deras gudar ska bli en ständig frestelse för er.”

4När Herrens ängel slutat tala till israeliterna, började folket att gråta högt. 5Därför fick platsen heta Bokim2:5 Bokim är hebreiska för gråta.. Där offrade de till Herren.

Folkets uppror. Herren insätter domare

(2:6—16:31)

6När Josua sände iväg folket, begav sig israeliterna till sina respektive områden för att ta dem i besittning. 7Folket tjänade Herren under hela Josuas livstid och så länge de äldste levde som hade sett alla de märkliga ting Herren hade gjort för Israel. 8Herrens tjänare Josua dog vid 110 års ålder. 9Han begravdes på sitt eget område vid Timnat-Heres i Efraims bergsbygd norr om berget Gaash.

10När hela den generationen hade dött och samlats till sina fäder, växte det upp en generation som varken kände Herren eller visste vad han gjort för Israel.

11De gjorde det som var ont i Herrens ögon, de tillbad baalsgudar, 12de vände sig bort från Herren, sina fäders Gud, som hade fört dem ut ur Egypten och började i stället tillbe grannfolkens gudar och provocerade så Herrens vrede. 13När de övergav Herren och tjänade Baal och astartegudinnorna, 14flammade Herrens vrede upp mot Israel. Han överlämnade dem till människor som plundrade dem, lämnade dem åt deras fiender på alla håll och de kunde inte längre stå emot dem.

15När Israel drog ut i strid mot sina fiender, var Herren mot dem och slog dem, såsom han med ed hade talat om att han skulle göra. De var nu i stor nöd. 16Men Herren utsåg domare bland folket som skulle rädda dem från deras plundrare. 17Men folket brydde sig inte heller om att lyssna till domarna utan fortsatte att vara otrogna med andra gudar som de tillbad. De avfärdade mycket snart sina fäders tro och vägrade att följa Herren som deras fäder hade gjort i lydnad för hans bud. 18Varje domare som Herren insatte åt dem och som han var med, räddade under sin livstid Israels folk från dess fiender, för Herren tyckte synd om dem när de jämrade sig över det förtryck de fick utstå. 19Men så snart domaren var död, handlade de värre än deras förfäder hade gjort. De började på nytt följa, tjäna och tillbe andra gudar och tog efter deras seder. De lämnade inte sina ogärningar och sitt trots.

20Då blossade Herrens vrede upp mot Israel igen och han sa: ”Eftersom detta folk har brutit det förbund jag upprättade med deras förfäder och inte lyssnar på mig, 21ska inte heller jag längre driva bort något av de folk som fortfarande var obesegrade när Josua dog. 22I stället ska jag använda dessa nationer för att pröva Israel och se om det vill lyda Herren och leva som deras förfäder gjorde.” 23Herren lät alltså den tidigare befolkningen bo kvar i landet. Han fördrev dem inte med en gång och gav dem inte i Josuas hand.