Waamuzi 2 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 2:1-23

Malaika Wa Bwana Huko Bokimu

12:1 Mwa 16:7; Kum 11:30; Kut 20:2; Amu 6:8; Law 26:42-44; Kum 7:9Malaika wa Bwana akakwea kutoka Gilgali hadi Bokimu, naye akasema, “Niliwapandisha kutoka Misri na kuwaingiza katika nchi niliyoapa kuwapa baba zenu. Nikasema, ‘Kamwe sitalivunja Agano langu nanyi. 22:2 Kut 23:32; 34:12; Kum 7:2; Kut 23:24; 34:13; Kum 7:5; 2Nya 14:3; Yer 7:28Nanyi msifanye agano na watu wa nchi hii, bali mtazibomoa madhabahu yao.’ Lakini ninyi hamkunitii mimi. Kwa nini mmefanya jambo hili? 32:3 Yos 23:13; Hes 33:55; Kut 10:7; Za 106:36Sasa basi ninawaambia kuwa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi kwenu.”

42:4 Mwa 27:38; Hes 25:6; 2Fal 17:13Malaika wa Bwana alipomaliza kusema mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia kwa sauti kuu. 5Wakapaita mahali pale Bokimu. Nao wakamtolea Bwana sadaka.

Kifo Cha Yoshua

6Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao. 7Watu wakamtumikia Bwana siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo Bwana alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli.

8Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa akiwa na umri wa miaka 110. 92:9 Yos 19:50Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Heresi2:9 Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona Yos 19:50; 24:30. katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima Gaashi.

102:10 1Nya 28:9; Kut 5:2; Gal 4:8Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua Bwana, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli. 112:11 1Fal 15:26; Amu 3:12; 4:1; 6:1; 3:7; 8:33; 1Fal 16:31; 22:53; 2Fal 10:18; 17:16Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Bwana na kuwatumikia Mabaali. 122:12 Kum 32:12; Za 106:36; Kum 31:16; Amu 10:6; Hes 11:33; Kum 4:25; Za 78:5, 8; 106:40Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha Bwana, 132:13 1Sam 7:3; 1Fal 11:5, 33; 2Fal 23:13; Amu 3:7; 5:8; 6:25; 8:33; 10:6; 1Sam 31:10; Neh 9:26; Za 78:56; Yer 11:10kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi. 142:14 Kum 31:17; Neh 9:27; Za 106:41; 44; 10; 89:41; Eze 34:8; Kum 32:30; Amu 3:8; Kum 28:25Hivyo hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao. 152:15 Rum 1:13; Ay 19:21; 5:5; 20:22; Za 32:4; Mwa 35:3; 2Sam 22:7; 2Nya 15:4; Za 18:6Popote Israeli walipotoka kwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa kinyume nao ili kuwashinda, kama vile alivyokuwa amewaapia. Nao wakawa katika taabu kubwa.

162:16 Rum 1; 1; 1Sam 4:18; 7:6, 15; 2Sam 7:11; 1Nya 17:10; Mdo 13:20; 1Sam 11:3; Za 106:43Ndipo Bwana akawainua waamuzi, ambao waliwaokoa katika mikono ya hao watu waliowashambulia. 172:17 Kut 34:15; Hes 15:39; Za 4:2; Neh 9:26; Za 106:36; Kum 9:12Lakini hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa kuifuata miungu mingine na kuiabudu. Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za Bwana. 182:18 1Sam 7:3; 2Fal 13:5; Isa 19:20; 43:3, 11; 45:15, 21; 49:20; 60:16; 63:8; Hes 10:9; Kum 32:36; Kut 2:23Kila mara Bwana alipowainulia mwamuzi, Bwana alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa Bwana aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha. 192:19 Mwa 6:11; Kum 4:16; 32:17; Neh 9:2; Za 78:57; Yer 44:9; Amu 4:1; 8:33; Kut 32:9Lakini kila mara mwamuzi alipofariki, watu walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao maovu na njia zao za ukaidi.

202:20 Kum 31:17; Yos 23:16; 7:11; 1Fal 17:15Kwa hiyo Bwana akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza, 212:21 Yos 23:5mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki. 222:22 Mwa 22:1; Kut 15:25Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya Bwana na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.” 232:23 Amu 1:1Bwana alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.

Bibelen på hverdagsdansk

Dommerbogen 2:1-23

Folkets frafald efter Josvas død

1Herrens engel drog op fra Gilgal og kom til israelitterne med følgende budskab: „Jeg førte jer fra Egypten til det land, jeg lovede jeres forfædre, og jeg forsikrede jer, at jeg aldrig ville bryde min pagt med jer. 2I måtte til gengæld ikke slutte fred med landets indbyggere, men derimod sørge for at ødelægge deres afgudsaltre. Hvorfor har I nu været ulydige og ikke overholdt jeres del af pagten? 3Fordi I har gjort det, vil jeg ikke længere drive de folk ud, som bor i jeres land. De vil være en torn i øjet på jer, og de vil lokke jer til at dyrke deres guder.”

4Da englen havde talt, brast israelitterne i gråd, 5og derfor kaldte man det sted for Bokim.2,5 Bokim betyder „de grædende”. Derefter bragte de ofre til Herren.

6Efter at Josva havde opløst den forenede hær, var stammerne rejst hver til sit område for at bosætte sig. 7I hele Josvas levetid havde folket adlydt Herren, og det fortsatte de med, så længe den generation var i live, der havde oplevet alle de undere, Herren havde gjort for Israel. 8Josva, Guds tjener, døde i en alder af 110 år 9og blev begravet på sin arvelod i Timnat-Heres i Efraims højland nord for Ga’ashbjerget.

10Efterhånden som hele den generation uddøde, blev den afløst af en ny generation, som hverken kendte Herren eller huskede de undere, han havde gjort for Israel, 11og de gjorde, hvad der var ondt i Herrens øjne og dyrkede afguderne. 12-13De vendte sig fra Herren, den Gud, som deres forfædre havde tilbedt, og som havde ført dem ud af Egypten, og dyrkede i stedet Ba’al og de andre afguder, som nabofolkene dyrkede. 14Derfor blussede Herrens vrede op imod Israel, så han udleverede dem til deres fjender, der kom fra alle sider og hærgede og plyndrede deres land. 15Når Israels folk gik til kamp imod deres fjender, hjalp Herren fjenderne med at besejre dem—nøjagtig sådan som han havde lovet. På den måde kom folket i stor nød. 16Så greb Herren ind og gav dem ledere—de såkaldte dommere—der skulle redde dem fra deres fjender.

17Men folket ville heller ikke adlyde deres befriere. De fortsatte med at være troløse imod Herren og med at tilbede andre guder. De fulgte således ikke deres forfædres levevis, for de adlød ikke længere Herrens bud. 18Alligevel var det sådan, at når Herren gav folket en befrier, så var han med den befrier, så længe han levede, og reddede folket fra deres fjender, for Herren havde medynk med sit forpinte folk, som jamrede, når de blev undertrykt af fjenderne. 19Men når befrieren så døde, genoptog folket deres onde levevis og gjorde værre ting end deres forfædre. De dyrkede igen fremmede guder, tilbad dem og bøjede sig for dem, og de nægtede at ændre deres onde adfærd og stædige holdning.

20Så blussede Herrens vrede igen op imod Israel, og han erklærede: „Fordi mit folk har brudt den pagt, jeg oprettede med deres forfædre og ignoreret mine befalinger, 21vil jeg ikke længere hjælpe dem med at fordrive de folkeslag, Josva ikke nåede at besejre, før han døde. 22I stedet vil jeg bruge fjenderne til at sætte dem på prøve og se, om de vil vende sig til mig og adlyde mig, sådan som deres forfædre gjorde.”

23Det var grunden til, at Herren lod de forskellige folkeslag blive boende og ikke udryddede dem med det samme ved at give Josva sejr over dem.