Waamuzi 17 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 17:1-13

Sanamu Za Mika

117:1 Amu 18:2, 13Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu. 217:2 Rut 2:20; 3:10; 1Sam 15:13; 23:21; 2Sam 2:5Akamwambia mama yake, “Zile shekeli 1,10017:2 Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha. za fedha zilizochukuliwa kwako, ambazo nilisikia ukizinenea maneno ya laana, hizi hapa; mimi ndiye niliyezichukua, lakini sasa ninakurudishia.”

Ndipo mama yake akamwambia, “Bwana na akubariki, mwanangu.”

317:3 Kut 34:17; Law 19:4; Kut 20:4Alipozirudisha zile shekeli 1,100 za fedha kwa mama yake, mama yake akamwambia, “Mimi nimeiweka fedha hii wakfu kwa Bwana kwa ajili ya mwanangu kutengenezea kinyago cha kuchonga na sanamu ya kusubu. Mimi nitakurudishia wewe.”

417:4 Kut 32:4; Isa 17:8Hivyo akamrudishia mama yake ile fedha, naye mama yake akachukua shekeli mia mbili17:4 Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3 za fedha. za hiyo fedha na kumpa mfua fedha, ambaye aliifanyiza kinyago na sanamu. Navyo vikawekwa ndani ya nyumba ya Mika.

517:5 Isa 44:13; Eze 8:10; Amu 8:27; Mwa 31:19; Hes 16:10; Kut 29:9; Amu 18:24Basi Mika alikuwa na mahali pa kuabudia miungu, akatengeneza naivera, pamoja na vinyago, na kumweka mmoja wa wanawe kuwa kuhani wake. 617:6 Amu 18:1; 19:1; 21:25; Kum 12:8Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme, kila mmoja akafanya kama alivyoona vyema machoni pake mwenyewe.

717:7 Amu 18:3; Mwa 35:19; Mik 5:2; Mt 2:1Basi palikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu ya Yuda. Yeye alikuwa Mlawi aliyeishi miongoni mwa kabila la Yuda. 8Huyu kijana akatoka katika mji huo wa Bethlehemu ya Yuda na kutafuta mahali pengine ambapo angeweza kuishi. Alipokuwa akisafiri, akafika nyumbani kwa Mika katika vilima vya Efraimu.

9Mika akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?”

Akamjibu, “Mimi ni Mlawi kutoka Bethlehemu ya Yuda, ninatafuta mahali pa kuishi.”

1017:10 Mwa 45:8; Amu 18:19Ndipo Mika akamwambia, “Ishi pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu, nami nitakupa shekeli kumi17:10 Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 115 za fedha. za fedha, nguo na chakula.” 11Hivyo yule Mlawi akakubali kuishi pamoja naye, naye huyo kijana akawa kwake kama mmoja wa wanawe. 1217:12 Hes 16:10; Amu 18:4Hivyo Mika akamweka wakfu huyo kijana Mlawi, naye huyo akawa kuhani wake na kuishi nyumbani mwake. 1317:13 Hes 18:7Ndipo Mika akasema, “Sasa najua Bwana atanitendea mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.”

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Судьи 17:1-13

Идол Михи

1Один человек по имени Миха из нагорий Ефраима 2сказал своей матери:

– Те тринадцать килограммов17:2 Букв.: «тысяча сто шекелей». То же в ст. 3. серебра, которые пропали у тебя и за которые ты при мне прокляла вора, – они у меня, это я их взял.

Тогда его мать сказала:

– Вечный да благословит тебя, мой сын!

3Он вернул тринадцать килограммов серебра своей матери, и она сказала:

– Я посвящаю это серебро Вечному за моего сына, чтобы сделать из него истукан и литого идола. Я отдаю его тебе.

4И когда он вернул серебро своей матери, она взяла из него два с половиной килограмма17:4 Букв.: «двести шекелей». серебра и отдала плавильщику, который сделал из них истукан и литого идола. Его поставили в доме Михи.

5А у этого человека, Михи, было святилище. Он сделал ефод17:5 См. сноску на 8:27. и домашних богов и посвятил одного из своих сыновей, чтобы он был у него священнослужителем. 6В те дни у Исраила не было царя, и каждый делал то, что считал правильным.

7Один молодой левит из Вифлеема в Иудее, живший среди кланов Иуды, 8оставил свой дом и пошёл искать, где бы ему поселиться. Странствуя, он пришёл в дом Михи в нагорьях Ефраима.

9Миха спросил его:

– Откуда ты?

– Я левит из Вифлеема в Иудее, – ответил он. – Я ищу, где мне поселиться.

10Миха сказал ему:

– Живи у меня и будь мне отцом и священнослужителем, а я буду давать тебе сто двадцать граммов17:10 Букв.: «десять шекелей». серебра в год, одежду и пропитание.

11Левит согласился жить у него и стал ему как один из его сыновей. 12Миха посвятил левита, и юноша стал у него священнослужителем и жил в его доме. 13Миха сказал:

– Теперь я знаю, что Вечный благоволит ко мне, раз этот левит стал моим священнослужителем.