Waamuzi 11 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 11:1-40

111:1 Amu 12:1; 1Sam 12:11; Ebr 11:32; Amu 6:12; Hes 26:29; Mwa 38; 15Basi Yefta Mgileadi alikuwa mtu shujaa. Baba yake alikuwa Gileadi, naye mama yake alikuwa kahaba. 2Mke wa Gileadi akamzalia wana wengine, nao watoto hao walipokua, wakamfukuza Yefta na kumwambia, “Wewe huwezi kupata urithi katika jamii yetu, kwa sababu wewe ni mwana wa mwanamke mwingine.” 311:3 2Sam 10:6-8; Amu 9:4Basi Yefta akawakimbia ndugu zake akaenda kuishi katika nchi ya Tobu, mahali ambako watu waasi walijiunga naye na kumfuata.

411:4 Amu 10:9Baada ya muda Waamoni wakafanya vita na Israeli, 5viongozi wa Gileadi wakaenda kumchukua Yefta katika nchi ya Tobu. 6Wakamwambia Yefta, “Uwe jemadari wetu, ili tuweze kupigana na Waamoni.”

711:7 Mwa 26:16, 27Yefta akawaambia, “Je, hamkunichukia mimi na kunifukuza katika nyumba ya baba yangu? Kwa nini mnanijia sasa, wakati mna matatizo.”

811:8 Amu 10:18Viongozi wa Gileadi wakamwambia Yefta, “Lakini sasa tumegeuka kukuelekea wewe, ili uende pamoja nasi kupigana na Waamoni, nawe utakuwa kiongozi wetu juu ya watu wote wa Gileadi.”

9Yefta akawaambia, “Ikiwa mtanirudisha kwetu kupigana na Waamoni, naye Bwana akanisaidia kuwashinda, Je, ni kweli nitakuwa kiongozi wenu?”

1011:10 Mwa 31:50; Isa 1:2; Yer 42:5Viongozi wa Gileadi wakamjibu Yefta, “Bwana ndiye shahidi yetu. Kwa hakika tutafanya kama usemavyo.” 1111:11 1Sam 9:4; 2Sam 3:17; Kut 19:9; 1Sam 8; 21; Yos 11:3Basi Yefta akaenda na viongozi wa Gileadi, nao watu wakamfanya kiongozi na jemadari wao. Naye akarudia maneno yake yote mbele za Bwana huko Mispa.

12Ndipo Yefta akatuma wajumbe kwa mfalme wa Waamoni akisema, “Una nini juu yetu, hata umekuja kushambulia nchi yetu?”

1311:13 Hes 21:13; 21:24; Mwa 32:22Mfalme wa Waamoni akawajibu wajumbe wale wa Yefta, “Wakati Waisraeli walipopanda kutoka Misri, waliichukua nchi yangu kuanzia Arnoni mpaka Yaboki, hadi kufikia Yordani. Sasa rudisha kwa amani.”

14Yefta akarudisha wajumbe kwa mfalme wa Waamoni, 1511:15 Kum 2:9; 1:19kusema:

“Hili ndilo asemalo Yefta, Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu wala ya Waamoni. 1611:16 Hes 14:25; Kum 1:40; Mwa 14:7; Hes 20:1Lakini walipopanda kutoka Misri, Israeli walipitia katika jangwa hadi Bahari ya Shamu na wakafika Kadeshi. 1711:17 Mwa 32:3; Hes 20:14-17; Yer 48:1; Yos 24:9Ndipo Israeli wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Edomu, wakisema, ‘Tupe ruhusa kupita katika nchi yako,’ Lakini mfalme wa Edomu hakutusikia. Wakapeleka pia wajumbe kwa mfalme wa Moabu, naye akakataa. Kwa hiyo Israeli wakakaa huko Kadeshi.

1811:18 Hes 20:21; Kum 2:8; Hes 21:13; 21:4“Baadaye wakasafiri kupitia jangwa, wakiambaa na nchi za Edomu na Moabu, wakapitia upande wa mashariki wa nchi ya Moabu na kupiga kambi upande mwingine wa Arnoni. Hawakuingia katika nchi ya Moabu, kwa kuwa Arnoni ilikuwa mpaka wake.

1911:19 Hes 21:21-22; Yos 12:2; Kum 2:26-27“Kisha Israeli wakatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, na kumwambia, ‘Tupe ruhusa kupita katika nchi yako ili kufikia mahali petu.’ 2011:20 Hes 21:23; Kum 2:32Hata hivyo, Sihoni hakuwaamini Waisraeli kupita katika nchi yake. Akaandaa jeshi lake lote na kupiga kambi huko Yahasa, nao wakapigana na Israeli.

21“Ndipo Bwana, Mungu wa Israeli, akamtia Sihoni na watu wake wote mikononi mwa Israeli, nao wakawashinda. Israeli wakaitwaa nchi yote ya Waamori, waliokuwa wakiishi katika nchi hiyo, 2211:22 Hes 21:21-22; Kum 2:36wakiiteka nchi yote kuanzia Arnoni mpaka Yaboki, na kutoka jangwani mpaka Yordani.

23“Basi kwa kuwa Bwana, Mungu wa Israeli, amewafukuza Waamori watoke mbele ya watu wake Israeli, wewe unayo haki gani ya kuitamalaki? 2411:24 Hes 21:29; Yos 3:10; Kum 2:3; 1Fal 11:7Je, haikupasi kuchukua kile ambacho mungu wako Kemoshi amekupa? Vivyo hivyo, chochote kile Bwana Mungu wetu alichotupa sisi, tutakimiliki. 2511:25 Hes 22:2; Yos 24:9Je, wewe ni bora kuliko Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu? Je, yeye alishagombana na Israeli au kupigana nao wakati wowote? 2611:26 Hes 21:25; 32:34; Yos 13:9Kwa maana kwa miaka 300 Israeli wameishi Heshboni na vijiji vyake, Aroeri na vijiji vyake, na katika miji yote iliyo kando ya Arnoni. Kwa nini wewe haukuyachukua wakati huo? 2711:27 Mwa 18:25; 16:5; 2Nya 20; 12; Mwa 31:53; 1Sam 24:12-15Mimi sijakukosea jambo lolote, bali wewe ndiye unayenikosea kwa kufanya vita nami. Basi Bwana, aliye Mwamuzi, leo na aamue ugomvi kati ya Waisraeli na Waamoni.”

28Hata hivyo, Mfalme wa Waamoni, hakuyajali maneno ya ujumbe wa Yefta.

2911:29 Amu 3:10; Mwa 31:49; Amu 10:17; Hes 11:25; Isa 11; 2Ndipo Roho wa Bwana akaja juu ya Yefta. Akapita katikati ya Gileadi na Manase, pia akapita katika Mispa ya Gileadi, na kutokea huko akasonga mbele kushambulia Waamoni. 3011:30 Mwa 28:20; Hes 30:10; 1Sam 1:11; Mit 31:2Naye Yefta akaweka nadhiri mbele za Bwana akisema, “Ikiwa utawatia Waamoni mikononi mwangu, 3111:31 Mwa 28:21; 8:20; Law 1:3; Amu 13:16chochote kile kitakachotoka katika mlango wa nyumba yangu cha kwanza ili kunilaki nirudipo kwa amani katika kuwashinda Waamoni, kitakuwa ni cha Bwana na nitakitoa kuwa sadaka ya kuteketezwa.”

32Ndipo Yefta akavuka kupigana na hao Waamoni, naye Bwana akawatia mkononi mwake. 3311:33 Eze 27:17Akawapiga kwa ushindi mkubwa kuanzia Aroeri mpaka karibu na Minithi na kuendelea mpaka Abel-Keramimu, miji yote iliyopigwa ni ishirini. Basi Israeli wakawashinda Waamoni.

3411:34 Kut 15:20; Mwa 31:27; Yer 31:4; Zek 12; 10Yefta aliporudi nyumbani Mispa, tazama, binti yake akatoka ili kumlaki kwa matari na kucheza. Alikuwa ndiye mtoto pekee, hakuwa na mwana wala binti mwingine. 3511:35 Hes 14:6; 30:2; Kum 23:21; Mhu 5:2-5Alipomwona akararua mavazi yake akalia, “Ee! Binti yangu! Umenifanya niwe na huzuni na kunyongʼonyea sana, kwa kuwa nimeweka nadhiri kwa Bwana, ambayo siwezi kuivunja.”

3611:36 Lk 1:38; Hes 31:3; 2Sam 18:19Akajibu, “Baba yangu, umetoa neno lako kwa Bwana. Nitendee mimi kama vile ulivyoahidi, kwa kuwa Bwana amekupa ushindi dhidi ya adui zako Waamoni.” 37Naye akamwambia baba yake, “Naomba nifanyiwe jambo hili. Nipewe miezi miwili ili kuzunguka vilimani nikaulilie ubikira wangu, mimi na wenzangu.”

38Baba yake akamwambia, “Waweza kwenda.” Naye akamwacha aende kwa miezi miwili. Hivyo akaondoka pamoja na wasichana wenzake, naye akaulilia ubikira wake huko vilimani kwa sababu asingeolewa kamwe. 39Baada ya hiyo miezi miwili, alirejea kwa baba yake, naye baba yake akamtendea kama alivyokuwa ametoa nadhiri yake. Naye alikuwa bikira.

Nayo ikawa desturi katika Israeli, 40kwamba kila mwaka binti wa Israeli huenda kwa siku nne ili kumkumbuka huyo binti wa Yefta, Mgileadi.

Swedish Contemporary Bible

Domarboken 11:1-40

Jefta besegrar ammoniterna

1Jefta var en mycket tapper stridsman från Gilead. Han var son till en prostituerad och hans far var Gilead. 2Gilead hade söner också med sin hustru. När Jeftas halvbröder växte upp, drev de bort honom. ”Du får inte dela arvet i vår fars hus! Du är ju son till en främmande kvinna”, sa de.

3Jefta fick fly från sina halvbröder och bosatte sig i landet Tov. Snart slöt sig en grupp äventyrare till honom och följde honom.

4En tid senare började ammoniterna sitt krig mot Israel. 5När ammoniterna gav sig i strid med Israel, gick de äldste i Gilead för att hämta Jefta från landet Tov. 6De bad honom komma och anföra armén i striden mot ammoniterna.

7Men Jefta svarade Gileads äldste: ”Ni hatar mig och har kört bort mig från min fars hus. Varför kommer ni till mig nu när ni har råkat i svårigheter?” 8”Därför att vi behöver dig”, svarade de. ”Om du vill leda oss mot ammoniterna, ska du bli hövding för alla som bor i Gilead.”

9Jefta svarade Gileads äldste: ”Om ni hämtar mig hem för att strida mot ammoniterna och Herren ger dem åt mig, då blir jag er hövding.” 10Herren är vårt vittne”, svarade de. ”Vi lovar att göra som du har sagt.”

11Jefta följde då med Gileads äldste och folket gjorde honom till sin ledare och befälhavare. Jefta bekräftade inför Herren i Mispa vad han hade sagt. 12Sedan sände Jefta bud till kungen i Ammon och bad att få veta varför Israel hade blivit anfallet. 13Kungen svarade Jeftas sändebud: ”När israeliterna kom från Egypten, tog de mitt land från Arnon ända till Jabbok och till Jordan. Lämna nu tillbaka allting utan strid!”

14Jefta skickade då på nytt sändebud till Ammons kung 15och sa:

”Så säger Jefta: Israel tog inte moabiternas och ammoniternas land. 16När Israels folk kom till Kadesh på sin väg från Egypten sedan de gått över Sävhavet, 17sände de bud till kungen i Edom och bad om tillåtelse att passera genom hans land, men han avvisade dem. Då bad de kungen i Moab om samma sak, men de blev avvisade där också och stannade i Kadesh.

18Slutligen gick de runt Edom och Moab genom öknen och vandrade utmed den östra gränsen tills de kom bortom Moabs land och slog läger vid floden Arnon, men de gick aldrig genom Moabs land. Arnon utgör nämligen gränsen till Moab. 19Då sände israeliterna bud till amoréernas kung Sichon som bodde i Heshbon och bad om tillåtelse att få gå genom hans land för att komma till sin bestämmelseort. 20Men kung Sichon litade inte på Israel, så han mobiliserade sin armé vid Jahas och anföll dem. 21Då gav Herren, Israels Gud, Sichon och allt hans folk i israeliternas våld och de slog dem och intog hela det land där amoréerna bodde. 22På så sätt övertog Israel allt amoreiskt land från floden Arnon till Jabbok och från öknen till Jordan.

23Herren, Israels Gud, drev ut amoréerna för sitt folk Israel och nu vill du ta deras land i besittning! 24Du behåller ju vad din gud Kemosh ger dig och vi kommer att behålla allt som Herren, vår Gud, ger oss! 25Är du förmer än Balak, Sippors son och kung i Moab? Han tvistade inte med israeliterna och han anföll dem inte. 26Men nu efter trehundra år kommer ni med detta! Israel har bott här hela tiden, utspridda över hela landet från Heshbon till Aroer och utmed floden Arnon. Varför har ni inte tidigare försökt att ta det tillbaka? 27Nej, jag har inte gjort något ont mot dig, utan det är du som har gjort fel genom att dra ut i strid mot mig. Men Herren, domaren, ska snart visa vem som har rätt, Israel eller Ammon!”

28Men kungen i Ammon tog ingen hänsyn till vad Jefta hade sagt.

29Då kom Herrens Ande över Jefta, och han tågade genom Gilead och Manasse och förbi Mispa i Gilead och anföll Ammons armé. 30Och Jefta gav ett löfte inför Herren: ”Om du överlämnar ammoniterna åt mig, 31ska det som först kommer mig till mötes genom dörren när jag kommer hem efter att ha besegrat ammoniterna, tillhöra Herren och offras som ett brännoffer.”

32Jefta drog sedan ut mot ammoniterna och Herren gav dem i hans våld. 33Ammoniterna led ett mycket stort nederlag och förlorade tjugo städer från Aroer till Minnit och dessutom området ända fram till Avel Keramim. På så sätt blev ammoniterna kuvade av israeliterna.

34När Jefta återvände hem, sprang hans dotter, hans enda barn – han hade inga andra, varken söner eller döttrar, ut för att möta honom. Hon slog på en tamburin och dansade, 35men när han fick se henne, rev han sönder sina kläder. ”Ve mig, min dotter!” ropade han. ”Du får mig att krossas och sjunka genom jorden! Jag har gett ett löfte till Herren och det kan jag inte ta tillbaka!”

36”Far”, sa flickan. ”Du måste göra med mig det som du har lovat Herren, för han har låtit dig hämnas dina fiender ammoniterna. 37Men låt mig först gå upp till bergen tillsammans med mina väninnor för att under två månader gråta över att jag aldrig blir gift.”

38”Ja”, svarade han. ”Du får gå.” Hon gick alltså med sina väninnor upp till bergen för att under två månader gråta över sitt öde.

39Efter två månader återvände hon till sin far som gjorde med henne vad han hade lovat. Hon hade aldrig legat med någon man. Efter detta blev det en sed i Israel 40att de unga flickorna under fyra dagar varje år gick bort för att fira minnet av gileaditen Jeftas dotter.