Waamuzi 1 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 1:1-36

Israeli Wapigana Na Wakanaani Waliobaki

11:1 Yos 24:29; Hes 2:3-9; Amu 20:18; 1Fal 20:14; Mwa 10:18; Amu 3:1-6; Hes 27:21Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli wakamuuliza Bwana, “Ni nani atakayetangulia kupanda mbele yetu kwa ajili ya kupigana na Wakanaani?”

21:2 Mwa 49:10; Amu 3:25; 4:7, 14; 7:9Bwana akajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia; nimewapa hiyo nchi mikononi mwao.”

3Ndipo watu wa Yuda wakawaambia Wasimeoni ndugu zao, “Pandeni pamoja nasi katika nchi tuliyopewa, ili tupate kupigana na Wakanaani. Sisi pia tutakwenda pamoja nanyi katika sehemu yenu mliyopewa.” Basi Wasimeoni wakaenda pamoja nao.

41:4 Mwa 13:7; Yos 3:10; 1Sam 11:8Yuda aliposhambulia, Bwana akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao, nao wakawaua watu 10,000 huko Bezeki. 5Huko ndiko walipomkuta huyo Adoni-Bezeki, nao wakapigana naye na kuwafanya Wakanaani na Waperizi wakimbie. 6Adoni-Bezeki pia alikimbia, nao wakamfuata na kumkamata, wakamkata vidole vyake gumba vya mikono na vya miguu.

71:7 Law 24:19; Yer 25:12; Yos 10:1Ndipo Adoni-Bezeki akasema, “Nimewatendea wafalme sabini kama nilivyotendewa na kuwalisha makombo ya chakula chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa haya, kama yale niliyowatendea.” Wakamleta Yerusalemu, naye akafa huko.

81:8 Amu 1:21; Yos 15:63; 2Sam 5:6Watu wa Yuda wakashambulia pia Yerusalemu na kuiteka. Wakaupiga mji kwa upanga na kuuchoma kwa moto.

91:9 Hes 13:17; Mwa 12:9; Hes 21:1; Isa 30:6Baada ya hayo, watu wa Yuda wakateremka kupigana na Wakanaani walioishi katika nchi ya vilima, yaani, Negebu na nchi chini ya vilima vya magharibi. 101:10 Mwa 13:18; 35:27; Hes 13:22; Yos 15:14Yuda wakakabiliana na Wakanaani walioishi Hebroni (ambayo hapo kwanza iliitwa Kiriath-Arba) na kuwashinda Sheshai, Ahimani na Talmai.

111:11 Yos 10:38Kutoka huko wakasonga mbele kukabiliana na watu walioishi Debiri (ambao hapo kwanza uliitwa Kiriath-Seferi.) 12Kalebu akasema, “Nitamwoza binti yangu Aksa kwa mtu atakayeweza kupigana na kuteka Kiriath-Seferi.” 13Basi Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa huyo Kalebu, akawashinda, kwa hiyo Kalebu akamtoa binti yake Aksa akaolewa naye.

14Siku moja Aksa alipokuja kwa Othnieli, alimsihi Othnieli amwombe baba yake, Kalebu, shamba. Aksa aliposhuka kutoka juu ya punda wake, Kalebu akamuuliza, “Je, wataka nikufanyie nini?”

151:15 Hes 13:6Akamjibu, “Naomba unifanyie jambo moja la hisani. Kwa kuwa umenipa ardhi huko Negebu, nipe pia chemchemi za maji.” Ndipo Kalebu akampa chemchemi za juu na za chini.

161:16 Hes 10:29; Mwa 15:191:16 Kum 34:3; Amu 3:13; 2Nya 28:15; Hes 21:1; Yos 12:14Wazao wa yule Mkeni, baba mkwe wa Mose, wakapanda pamoja na watu wa Yuda kutoka Mji wa Mitende,1:16 Yaani Yeriko. wakaenda kuishi miongoni mwa watu wa jangwa ya Yuda huko Negebu karibu na mji wa Aradi.

171:17 Hes 14:45Basi watu wa Yuda wakaenda na Wasimeoni ndugu zao kushambulia Wakanaani waishio Sefathi, nao wakauangamiza huo mji kabisa. Kwa hiyo huo mji ukaitwa Horma1:17 Horma maana yake ni Maangamizi. 181:18 Yos 11:22; 13:3Watu wa Yuda wakatwaa pia Gaza, Ashkeloni na Ekroni, kila mji na vijiji vyake vinavyouzunguka.

191:19 Hes 14:43; 13:17; Yos 17:16Bwana alikuwa pamoja na watu wa Yuda. Wakaimiliki nchi ya vilima, lakini hawakuweza kuwafukuza watu waliokaa katika hiyo tambarare, kwa sababu walikuwa na magari ya chuma. 201:20 Yos 10:36; 14:13Kama vile Mose alivyoahidi, Kalebu alipewa Hebroni, naye akawafukuza wana watatu wa Anaki. 211:21 Yos 9:15; 15:63Hata hivyo, Wabenyamini walishindwa kuwafukuza Wayebusi, waliokuwa wanaishi Yerusalemu; hivyo hadi leo Wayebusi huishi humo pamoja na Wabenyamini.

221:22 Amu 10:9; Yos 7:2Basi nyumba ya Yosefu wakashambulia Betheli, naye Bwana alikuwa pamoja nao. 231:23 Mwa 28:19Walipotuma watu kwenda kupeleleza Betheli (ambao hapo kwanza uliitwa Luzu), 241:24 Mwa 47:29; Yos 2:12-14wale wapelelezi wakaona mtu anatoka mjini, nao wakamwambia, “Tuonyeshe jinsi ya kuingia mjini nasi tutakutendea wema.” 251:25 Yos 6:25Hivyo akawaonyesha, nao wakaupiga mji kwa upanga lakini wakamhifadhi hai yule mtu na jamaa yake yote. 261:26 Kum 7:1; Eze 6:3; Mwa 19:19Yule mtu akaenda hadi nchi ya Wahiti, ambapo aliujenga mji na kuuita Luzu, ambao ndio jina lake hadi leo.

271:27 1Fal 9:21; Yos 11:2; 17:11; 12:21Lakini Manase hawakuwafukuza watu wa Beth-Shani na vijiji vyake, au watu wa Taanaki na vijiji vyake, au watu wa Dori na vijiji vyake, au watu wa Ibleamu na vijiji vyake, au watu wa Megido na vijiji vyake, lakini Wakanaani waliazimu kuishi katika nchi ile. 281:28 Yos 17:12-13Israeli walipopata nguvu, wakawatia Wakanaani katika kazi ya kulazimishwa, lakini kamwe hawakuwafukuza watoke kabisa. 291:29 Yos 14:4; Amu 5:14; Yos 10:33; 16:10Wala Efraimu hawakuwafukuza kabisa Wakanaani walioishi Gezeri, bali Wakanaani waliendelea kuishi humo miongoni mwao. 30Vivyo hivyo Zabuloni hawakuwafukuza Wakanaani walioishi huko Kitroni, wala walioishi Nahaloli, ambao walibaki miongoni mwao; bali waliwatia katika kazi ya kulazimishwa. 311:31 Yos 17:7; Mwa 49:13; Yos 15:44; 12:18; Hes 13:21Wala Asheri hawakuwafukuza wale walioishi huko Ako, Sidoni, Alabu, Akzibu, Helba, Afeki wala Rehobu 32na kwa sababu ya jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi. 331:33 Yos 15:10; 19:38Wala Naftali hawakuwafukuza wale walioishi Beth-Shemeshi wala wale walioishi Beth-Anathi; lakini Naftali nao pia wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi, nao wale walioishi Beth-Shemeshi na Beth-Anathi wakawa watumishi wao katika kazi ya kulazimishwa. 341:34 Hes 13:29; Amu 10:11; 1Sam 7:14; Mwa 30:6; Amu 18:1Waamori wakawazuilia Wadani kwenye nchi ya vilima, kwa maana hawakuwaacha washuke kuingia kwenye sehemu tambarare. 351:35 Amu 8:13; Yos 19:43; 1Fal 4:9Waamori pia wakaendelea kukaa katika Mlima Heresi, katika Aiyaloni na Shaalbimu, lakini mkono wa nyumba ya Yosefu ukawalemea, nao wakashindwa hata wakalazimika kuingia katika kazi ya kulazimishwa. 361:36 Yos 15:3; 2Fal 14:7; Isa 16:1; 42:11; Za 104:34Mpaka wa Waamori ulikuwa kuanzia Genge la Akrabimu, kuendelea hadi Sela na kuelekea juu.

La Bible du Semeur

Juges 1:1-36

Introduction : conquête limitée du pays

Les tribus du Sud conquièrent en partie leur territoire

1Après la mort de Josué, les Israélites consultèrent l’Eternel pour savoir quelle tribu devait aller la première attaquer les Cananéens. 2L’Eternel répondit : C’est Juda qui ira la première : je livre le pays en son pouvoir.

3Alors les hommes de Juda dirent à ceux de Siméon, frère de Juda1.3 Les deux étaient fils de Léa. D’autre part, des villes attribuées à la tribu de Siméon se trouvaient incluses dans le territoire de Juda. : Venez avec nous à la conquête du territoire qui nous a été attribué. Nous combattrons ensemble les Cananéens. Ensuite, nous vous aiderons également à conquérir le territoire qui vous est échu.

Les gens de Siméon se joignirent donc à eux, 4et Juda se mit en campagne. L’Eternel leur donna la victoire sur les Cananéens et les Phéréziens1.4 Peuplade souvent associée aux Cananéens (Gn 13.7 ; 34.30 ; Jos 17.15), qui nous est par ailleurs inconnue.. A Bézeq, ils battirent dix mille hommes. 5En effet, ils tombèrent là sur le roi Adoni-Bézeq et l’attaquèrent. Ils battirent les Cananéens et les Phéréziens. 6Adoni-Bézeq s’enfuit, mais ils le poursuivirent, s’emparèrent de lui et lui coupèrent les pouces des mains et des pieds1.6 La mutilation des prisonniers de guerre était une pratique courante dans le Moyen-Orient ancien (voir 16.21) ; elle était destinée à rendre inapte au combat.. 7Adoni-Bézeq s’exclama : Soixante-dix rois1.7 Canaan était divisée en petits Etats groupés autour d’une ville ; chacun d’eux était gouverné par un roi., dont on avait coupé les pouces des mains et des pieds, ramassaient les miettes qui tombaient sous ma table. Dieu m’a rendu ce que j’ai fait.

On l’emmena à Jérusalem et c’est là qu’il mourut.

8Les hommes de Juda attaquèrent Jérusalem et s’en emparèrent. Ils massacrèrent ses habitants et mirent le feu à la ville. 9Ensuite, ils partirent combattre les Cananéens qui occupaient la région montagneuse, le Néguev et le Bas-Pays.

10Juda marcha aussi contre les Cananéens qui habitaient Hébron, dont le nom était autrefois Qiryath-Arba. Ils battirent Shéshaï, Ahimân et Talmaï1.10 Pour les v. 10-15, voir Jos 15.13-14.. 11De là, ils partirent attaquer les habitants de Debir, appelée autrefois Qiryath-Sépher1.11 Voir Jos 15.15-19 et les notes.. 12Caleb promit sa fille Aksa en mariage à celui qui battrait et prendrait Qiryath-Sépher. 13Ce fut son neveu Otniel, fils de Qenaz, le frère cadet de Caleb, qui s’en empara ; et Caleb lui donna sa fille Aksa en mariage. 14Dès son arrivée auprès de son mari, elle l’engagea à demander un champ à son père Caleb. Puis elle sauta de son âne et Caleb lui demanda : Quel est ton désir ?

15Elle lui répondit : Accorde-moi un cadeau. Puisque tu m’as établie dans une terre aride, donne-moi aussi des points d’eau.

Et Caleb lui donna les sources supérieures et les sources inférieures.

16Les descendants du Qénien, beau-père de Moïse, quittèrent la ville des palmiers1.16 Jéricho. avec les hommes de Juda pour aller s’installer parmi le peuple dans les territoires désertiques de Juda qui se situent au sud d’Arad. 17Les hommes de Juda se joignirent à ceux de Siméon, frère de Juda, pour battre les Cananéens qui habitaient Tsephath, ils en exterminèrent la population et détruisirent entièrement la ville, pour la vouer à l’Eternel, et on lui donna le nom de Horma.

18Les gens de Juda s’emparèrent également1.18 L’ancienne version grecque a : ne s’emparèrent pas. de Gaza, d’Ashkelôn et d’Eqrôn1.18 Trois villes de la Philistie (cf. Jos 13.3). ainsi que des territoires voisins de ces villes. 19L’Eternel lui-même était avec eux, et c’est ainsi que les hommes de Juda purent conquérir la région montagneuse. Ils ne réussirent pas à déposséder les habitants de la vallée, car ceux-ci disposaient de chars de combat bardés de fer. 20On attribua Hébron à Caleb, comme Moïse l’avait dit. Il en expulsa les trois descendants d’Anaq1.20 Nb 14.24 ; Dt 1.36 ; Jos 14.9-14.. 21Les descendants de Benjamin ne dépossédèrent pas les Yebousiens qui habitaient Jérusalem ; ceux-ci y vivent encore aujourd’hui avec les Benjaminites.

Les tribus du Nord conquièrent en partie leur territoire

22Les descendants de Joseph partirent de leur côté attaquer Béthel et l’Eternel fut avec eux. 23Ils envoyèrent d’abord des hommes en reconnaissance à Béthel qui s’appelait autrefois Louz. 24Les envoyés virent un homme sortir de la ville et ils lui dirent : Montre-nous par où on peut pénétrer dans la ville, et nous te traiterons avec bonté.

25L’homme leur montra donc comment pénétrer dans la ville. Ils massacrèrent tous les habitants, mais laissèrent partir cet homme avec toute sa famille. 26L’homme émigra dans le pays des Hittites1.26 Voir note Jos 1.4. ; il y construisit une ville à laquelle il donna le nom de Louz qu’elle porte encore aujourd’hui.

27Les hommes de Manassé ne dépossédèrent pas les habitants de Beth-Sheân, de Taanak, de Dor, de Yibleam, de Meguiddo et des localités qui dépendaient de ces villes. Les Cananéens continuèrent donc à se maintenir dans cette région. 28Lorsque les Israélites furent devenus plus forts, ils leur imposèrent des corvées, mais ils ne les dépossédèrent pas.

29Les gens d’Ephraïm ne dépossédèrent pas les Cananéens établis à Guézer, et ceux-ci continuèrent à y vivre au milieu des Ephraïmites.

30Ceux de Zabulon ne dépossédèrent pas non plus les habitants de Qitrôn et de Nahalol ; les Cananéens habitèrent donc au milieu des gens de Zabulon qui leur imposèrent des corvées.

31Les gens d’Aser ne dépossédèrent pas les habitants d’Akko1.31 Ancienne ville phénicienne près du mont Carmel, que les Grecs appelaient Ptolémaïs (Ac 21.7). C’est la Saint-Jean-d’Acre du temps des croisades., de Sidon, d’Ahlab, d’Akzib, de Helba, d’Aphiq et de Rehob. 32Les descendants d’Aser s’établirent donc au milieu des Cananéens qui occupaient le pays, car ils ne les dépossédèrent pas.

33Les gens de Nephtali ne dépossédèrent pas les habitants de Beth-Shémesh ni ceux de Beth-Anath. Ils s’installèrent au milieu des Cananéens qui habitaient le pays et ils soumirent à des corvées les habitants de ces deux villes.

34Les Amoréens refoulèrent les Danites dans la région montagneuse et les empêchèrent de descendre dans la vallée. 35Les Amoréens continuèrent donc à se maintenir à Har-Hérès, à Ayalôn et à Shaalbim, mais les descendants de Joseph furent de plus en plus puissants et leur imposèrent des corvées. 36Le territoire des Amoréens s’étendait de la montée des Scorpions, depuis Séla et en remontant.