Ufunuo 20 – NEN & SNC

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 20:1-15

Utawala Wa Miaka Elfu Moja

120:1 Ufu 10:1; 1:18Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 220:2 Ufu 12:9; 2Pet 2:4Akalishika lile joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ndiye ibilisi au Shetani, naye akamfunga kwa muda wa miaka 1,000. 320:3 Dan 6:17; Ufu 12:9Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi.

420:4 Dan 7:9; Ufu 6:9; 13:12, 16Kisha nikaona viti vya enzi vilivyokuwa vimekaliwa na hao waliopewa mamlaka ya kuhukumu, na nikaona roho za wale waliokatwa vichwa kwa sababu ya ushuhuda wa Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawakuwa wamemsujudu huyo mnyama wala sanamu yake wala hawakupokea ile chapa yake kwenye vipaji vya nyuso zao au kwenye mikono yao. Wakawa hai na kutawala pamoja na Kristo miaka 1,000. 520:5 Lk 14:14; 1The 4:16(Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza. 620:6 Ufu 14:13; 2:11; 1:6Waliobarikiwa na walio watakatifu ni wale walio na sehemu katika ufufuo wa kwanza. Hao mauti ya pili haina nguvu juu yao, bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye kwa muda wa miaka 1,000.

Kuhukumiwa Kwa Shetani

720:7 Ufu 20:2Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka kifungoni mwake, 820:8 Eze 38:2; 39:1; Ufu 1:6naye atatoka ili kuyadanganya mataifa yaliyopo katika pembe nne za dunia, yaani, Gogu na Magogu apate kuwakusanya tayari kwa vita. Idadi yao ni kama mchanga ulioko pwani. 920:9 Eze 38:9, 16; 39:6; Za 87:2; Ufu 13:13Nao walitembea katika eneo lote la dunia, wakaizunguka kambi ya watakatifu na ule mji unaopendwa. Lakini moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza. 1020:10 Ufu 19:20; 14:10, 11; Za 2:9Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele.

Wafu Wanahukumiwa

1120:11 Ufu 4:2; 6:14; Mt 25:31-46; Dan 2:35Kisha nikaona kiti kikubwa cheupe cha enzi pamoja na yeye aliyeketi juu yake. Dunia na mbingu zikaukimbia uso wake wala mahali pao hapakuonekana. 1220:12 Dan 7:10; Mal 3:16; Yer 17:10; Mt 16:27Nami nikawaona wafu wakubwa na wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni kitabu cha uzima. Hao wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao kama yalivyoandikwa ndani ya hivyo vitabu. 1320:13 Ufu 6:8; Isa 26:19Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. 1420:14 1Kor 15:26; Ufu 20:13; 19:20; 2:11Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. 1520:15 Dan 12:1; Mt 25:41Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto.

Slovo na cestu

Zjevení 20:1-15

Konec původce zla

1Z nebe sestoupil anděl s klíčem od propasti a se silným řetězem. 2Popadl draka, toho starého hada, toho ďábla a satana a spoutal ho na tisíc let. 3Hodil ho do propasti, přikryl ji a zapečetil, aby nemohl svádět národy, dokud se nedovrší těch tisíc let. Pak musí být ještě na krátký čas propuštěn.

4-5Na soudní stolici potom usedli soudci, lidé popravení pro věrnost Ježíšovi a Božímu slovu, kteří se neklaněli šelmě ani její soše a nepřijali znak šelmy na čelo ani na ruku. Ti nyní ožili a vládli s Kristem tisíc let. To je první vzkříšení. Ostatní mrtví musejí počkat, dokud se nedovrší tisíciletí.

6Šťastni jsou ti věrní, kteří mají účast na prvním vzkříšení. Na ty už druhá smrt nemá nárok, jsou to Boží kněží a Kristovi spoluvládci v tisíciletém království.

Zničení satana

7Až skončí těch tisíc let, bude satan ještě nakrátko propuštěn. 8Vyjde z propasti a zmobilizuje všechen svůj lid, početný jako mořský písek. 9Viděl jsem, že se dali na pochod a obklíčili ležení věřících i město, které Bůh miluje. Tu však s nebe spadl oheň a sežehl je. 10Jejich vojevůdce satan byl vhozen do ohnivého moře, kam již padla dravá šelma a její lžiprorok. Tam budou trýzněni ohněm dnem i nocí na věky věků.

Konečný soud

11Spatřil jsem bílý trůn a na něm Panovníka. Před jeho pohledem se rozplynulo nebe i země a nezůstalo po nich ani památky. 12-13A viděl jsem vzkříšené mrtvé, malé i velké, stát před tím trůnem. Moře, smrt i její říše vydaly své mrtvé. Byly otevřeny Knihy skutků a Kniha života a byli souzeni podle svých činů. 14Smrt a její pomocníci skončili v moři plamenů. Toto ohnivé moře je druhá, věčná smrt. 15Tam skončí každý, jehož jméno není zapsáno v Knize života.