Ufunuo 17 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 17:1-18

Kahaba Mkuu Na Mnyama

117:1 Ufu 15:1-7; 16:19; 19:2; Yer 51:13Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba akaja akaniambia, “Njoo, nitakuonyesha adhabu ya yule kahaba mkuu, aketiye juu ya maji mengi. 217:2 Ufu 14:8; 18:3; Isa 14:8; 18:3Yule ambaye wafalme wa dunia walizini naye na watu wakaao duniani walilewa kwa mvinyo wa uzinzi wake.”

317:3 Ufu 12:6-14; 13:1Kisha yule malaika akanichukua katika Roho akanipeleka jangwani. Huko nikamwona mwanamke mmoja ameketi juu ya mnyama mwekundu aliyejaa majina ya kumkufuru Mungu mwili mzima. Mnyama huyo alikuwa na vichwa saba na pembe kumi. 417:4 Ufu 18:6, 16; Yer 51:7Huyo mwanamke alikuwa amevaa mavazi ya rangi ya zambarau na nyekundu, akimetameta kwa dhahabu, vito vya thamani na lulu. Mkononi mwake alikuwa ameshika kikombe cha dhahabu kilichojaa mambo ya machukizo na uchafu wa uzinzi wake. 517:5 Ufu 18:8Kwenye kipaji chake cha uso palikuwa pameandikwa jina:

“Siri,

Babeli Mkuu,

Mama wa makahaba

na wa machukizo ya dunia.”

617:6 Ufu 18:24Nikaona kuwa huyo mwanamke alikuwa amelewa kwa damu ya watakatifu, yaani, damu ya wale watu waliouawa kwa ushuhuda wa Yesu.

Nilipomwona huyo mwanamke, nilistaajabu sana. 717:7 Ufu 17:5; 17:3; 12:3Ndipo yule malaika akaniambia, “Kwa nini unastaajabu? Nitakufafanulia siri ya huyo mwanamke na huyo mnyama aliyempanda, mwenye vichwa saba na pembe kumi. 817:8 Ufu 13:10; 3:10; 13:3-8Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo.

917:9 Ufu 13:18“Hapa ndipo penye wito wa akili pamoja na hekima. Vile vichwa saba ni vilima saba ambavyo huyo mwanamke amevikalia. 10Pia hivyo vichwa saba ni wafalme saba ambao miongoni mwao watano wamekwisha kuanguka, yupo mwingine hajaja bado, lakini atakapokuja, atalazimika kukaa kwa muda mfupi. 1117:11 Ufu 17:8Yule mnyama aliyekuwepo wakati fulani na ambaye sasa hayupo, yeye ni mfalme wa nane. Ni miongoni mwa wale saba, naye anakwenda kwenye maangamizi yake.

1217:12 Ufu 12:3; 18:10, 19“Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi ambao bado hawajapokea ufalme, lakini watapokea mamlaka kuwa wafalme kwa saa moja pamoja na yule mnyama. 1317:13 Ufu 17:17Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao. 1417:14 Ufu 16:14; 19:16; 1Tim 6:15; Mt 22:14Watafanya vita na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme. Yeye atakuwa pamoja na watu wake walioitwa ambao ni wateule wake na wafuasi wake waaminifu.”

1517:15 Isa 8:7; Ufu 13:7Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makutano, mataifa na lugha. 1617:16 Ufu 18:8, 17-19; 19:18; Eze 16:37-39Zile pembe kumi ulizoziona, pamoja na huyo mnyama, watamchukia huyo kahaba, watamfilisi na kumwacha uchi, watamla nyama yake na kumteketeza kwa moto. 1717:17 Ufu 10:7Kwa maana Mungu ameweka mioyoni mwao kutimiza kusudi lake kwa kukubali kumpa yule mnyama mamlaka yao ya utawala mpaka maneno ya Mungu yatakapotimia. 1817:18 Ufu 16:19Yule mwanamke uliyemwona ni ule mji mkubwa unaotawala juu ya wafalme wa dunia.”

New Russian Translation

Откровение 17:1-18

Суд над Вавилоном

1Один из семи ангелов, у которых было семь чаш, подошел ко мне и сказал:

– Подойди, я покажу тебе, как будет наказана великая блудница, сидящая на многих водах17:1 См. Иер. 51:13.. 2С ней развратничали цари земли, и жители земли упивались вином ее разврата.

3И он перенес меня в духе в пустыню, и я увидел женщину, сидящую на алом звере, который был исписан кощунственными именами; у него было семь голов и десять рогов. 4Женщина была одета во все пурпурное и алое, была украшена золотом, драгоценными камнями и жемчугом. В руке у нее была золотая чаша, наполненная мерзостью и нечистотами ее разврата. 5На лбу у нее написано имя, имеющее тайное значение:

Великий Вавилон

мать блудниц

и мерзостей земли.

6И я увидел, что женщина была пьяна от крови святых, от крови свидетелей Иисуса. Я был поражен, когда ее увидел.

7Ангел сказал мне:

– Чему ты удивляешься? Я тебе скажу, в чем заключается тайна женщины и зверя с семью головами и десятью рогами, на котором она сидит. 8Зверь, которого ты видел, был и нет его. Он выйдет из бездны и отправится в погибель. Жители земли, имена которых от начала мира не были записаны в книге жизни, удивятся, глядя на зверя, потому что он был и нет его, и еще придет.

9Это требует понимания и мудрости. Семь голов – это семь гор17:9 Горы часто символизировали царства этого мира., на которых сидит женщина, 10и семь царей, пять из которых уже пали, один есть, а другой еще не пришел, а когда придет – то ненадолго. 11Зверь, который был и которого нет, – это восьмой царь, и он из числа семи, и идет к погибели.

12Десять рогов, которые ты видел, – это десять царей, еще не получивших своего царства, но вместе со зверем они на один час получат царскую власть17:12 См. Дан. 7:23-24.. 13У них одна общая цель, и они отдадут свою силу и власть зверю. 14Они будут сражаться с Ягненком, но Ягненок одержит над ними победу, потому что Он Господь господствующих17:14 См. Втор. 10:17; Пс. 135:3. и Царь царей и с Ним Его избранные, призванные и верные.

15Потом ангел сказал мне:

– Воды, которые ты видел там, где сидит блудница, – это народы, скопления людей, племена и языки. 16Зверь и десять рогов, которые ты видел, возненавидят блудницу. Они разорят ее, оставят нагой, будут поедать ее тело и жечь ее в огне. 17Потому что Бог внушил этим десяти рогам желание исполнить Его волю и единодушно отдать зверю их царскую власть до тех пор, пока не исполнятся Божьи слова. 18Женщина, которую ты видел, – это великий город, царствующий над всеми царями земли.