Ufunuo 13 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 13:1-18

113:1 Dan 7:1-6; Ufu 16:13; 12:3; Dan 11:36; Ufu 17:3Yule joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa bahari.

Mnyama Kutoka Baharini

Nami nikamwona mnyama akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake, na juu ya kila kichwa kulikuwa na jina la kukufuru. 213:2 Dan 7:6; 7:5; 7:4; Ufu 16:10Mnyama yule niliyemwona alifanana na chui, lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kichwa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu zake, kiti chake cha enzi na mamlaka makubwa. 313:3 Ufu 17:8Kimojawapo ya vichwa vya huyo mnyama kilikuwa kama kilichokwisha kupata jeraha la mauti, lakini jeraha hilo la mauti likapona. Ulimwengu wote ukashangaa ukamfuata huyo mnyama. 413:4 Kut 15:11Watu wakaliabudu lile joka kwa sababu lilikuwa limempa huyo mnyama mamlaka yake, pia wakamwabudu huyo mnyama na kuuliza, “Ni nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana vita naye?”

513:5 Dan 11:36; 2The 2:4; Ufu 11:2Huyo mnyama akapewa kusema maneno ya kiburi na kukufuru na kutumia mamlaka yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili. 613:6 Ufu 12:12Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni. 713:7 Dan 7:21; Ufu 11:7; 5:9Pia akaruhusiwa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. Akapewa uwezo juu ya watu wa kila kabila, jamaa, lugha na taifa. 813:8 Ufu 3:10; 3:5; 20:12; Mt 25:34Nao watu wote waishio duniani watamwabudu huyo mnyama, yaani, wale wote ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

913:9 Ufu 2:7Yeye aliye na sikio na asikie.

1013:10 Yer 15:2; 43:11; Hes 6:12; Ufu 14:12Ikiwa mtu ni wa kuchukuliwa mateka,

atachukuliwa mateka.

Ikiwa mtu ni wa kuuawa kwa upanga,

atauawa kwa upanga.

Hapa ndipo penye wito wa subira na imani ya watakatifu.

Mnyama Kutoka Dunia

1113:11 Ufu 13:1, 2Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka. 1213:12 Ufu 19:20; 20:4Akatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake, naye akawafanya wote wakaao duniani kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona. 1313:13 Mt 24:24; 2Fal 1:10; Lk 9:54Naye akafanya ishara kuu na za ajabu, hata kusababisha moto kushuka toka mbinguni kuja duniani watu wakiona waziwazi. 1413:14 2The 2:9, 10; Ufu 12:9Kwa sababu ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa kuzifanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi. 1513:15 Dan 3:3-6Akapewa uwezo wa kuipa pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza, ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa. 1613:16 Ufu 19:5; 14:9Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso, 1713:17 Ufu 14:9; 14:11; 15:2ili kwamba mtu yeyote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake.

1813:18 Ufu 17:9; 15:2; 21:17Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na ufahamu na ahesabu tarakimu za huyo mnyama, kwa maana ni tarakimu za kibinadamu. Tarakimu zake ni 666.

Swedish Contemporary Bible

Uppenbarelseboken 13:1-18

Odjuret från havet

1Jag såg nu ett odjur stiga upp ur havet. Det hade tio horn och sju huvuden och på sina horn tio kronor och på sina huvuden hädiska namn. 2Odjuret jag såg var som en leopard, men hade en björns fötter och ett lejons gap.13:2 Jfr Dan 7:2-7. Och draken gav det sin kraft och sin tron och stor makt.

3Ett av odjurets huvuden såg ut att vara svårt skadat, men det dödliga såret hade läkts. Hela världen greps av beundran för odjuret och följde det. 4De tillbad draken för att han hade gett odjuret en sådan makt, och de tillbad odjuret och sa: ”Vem är som odjuret? Vem kan strida mot det?”

5Sedan fick det en mun som skröt och hånade, och det fick makt att hålla på i fyrtiotvå månader13:5 Se not till 12:6.. 6Det öppnade sitt gap för att häda Gud, hans boning och alla som bor i himlen. 7Det tilläts också att strida mot de heliga och besegra dem, och det fick makt över alla stammar och länder och språk och folk. 8Alla jordens invånare ska tillbe odjuret, alla som inte har sina namn skrivna i livets bok13:8 Se not till 3:5. som tillhör Lammet som var slaktat sedan världens skapelse.

9Den som har öron ska höra.

10Den som måste bort i fångenskap,

han går i fångenskap,

och den som måste dödas med svärd

ska dödas med svärd.

Här krävs det uthållighet och tro av de heliga.

Odjuret från jorden

11Sedan såg jag ett annat odjur, som kom upp ur jorden. Det hade två horn som liknade ett lamms horn, och det talade som en drake. 12Det utövar det första odjurets makt inför det. Det får jordens invånare att tillbe det första odjuret som hade det dödliga sår som läkts. 13Det utför stora tecken, det kan till och med få eld att falla ner på jorden från himlen medan människorna ser på. 14Genom alla dessa tecken som det gör på det första odjurets uppdrag bedrar det jordens invånare. Det säger till dem att göra en bild åt odjuret som hade fått ett svärdshugg men blivit levande igen. 15Det får också makt att ge livsande åt odjurets bild, så att bilden till och med kan tala och ge order om att den som inte tillber bilden ska dödas.

16Det får alla – både små och stora, rika och fattiga, fria och slavar – att ta ett märke på högra handen eller på pannan, 17så att ingen kan köpa eller sälja något om man inte har odjurets märke, dess namn eller dess namns tal.

18Här krävs vishet. Den som har förstånd kan räkna ut odjurets tal, för det är en människas tal, och talet är 66613:18 Detta tal är svårtolkat, men det kan vara en symbol, antingen för en människas namn, eller för trefaldig ondska och ofullkomlighet (talet 6 når inte upp till det fullkomliga talet 7)..