Sefania 3 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Sefania 3:1-20

Hatima Ya Yerusalemu

13:1 Yer 6:6; Kum 21:18; Eze 23:30Ole mji wa wadhalimu,

waasi na waliotiwa unajisi!

23:2 Yer 5:3; 7:28; 22:21; Kum 1:32; Law 26:33; Za 78:23Hautii mtu yeyote,

haukubali maonyo.

Haumtumaini Bwana,

haukaribii karibu na Mungu wake.

33:3 Za 22:13; Mwa 49:27; Mik 3:3Maafisa wake ni simba wangurumao,

watawala wake ni mbwa mwitu wa jioni,

ambao hawabakizi chochote

kwa ajili ya asubuhi.

43:4 Za 25:3; Isa 48:8; Yer 3:20; 9:4; 23:11; Mal 2:10; Eze 22:26Manabii wake ni wenye kiburi,

ni wadanganyifu.

Makuhani wake hunajisi patakatifu

na kuihalifu sheria.

53:5 Ezr 9:15; Kum 32:4; Za 5:3; 99:3, 4; Mao 3:23; Yer 3:3; Eze 18:25Bwana aliye ndani yake ni mwenye haki,

hafanyi kosa.

Asubuhi kwa asubuhi hutoa haki yake,

kila kukipambazuka huitimiza,

bali mtu dhalimu hana aibu.

63:6 Law 26:31“Nimeyafutilia mbali mataifa,

ngome zao zimebomolewa.

Nimeziacha barabara ukiwa,

hakuna anayepita humo.

Miji yao imeharibiwa;

hakuna mmoja atakayeachwa:

hakuna hata mmoja.

73:7 Yer 7:28; Mwa 6:12; Hos 9:9Niliuambia huo mji,

‘Hakika utaniogopa na kukubali maonyo!’

Ndipo makao yake hayatafutiliwa mbali,

wala adhabu zangu zote hazitakuja juu yake.

Lakini walikuwa bado na shauku

kutenda kwa upotovu katika yote waliyofanya.”

83:8 Za 27:14; 79:6; Yoe 3:2; 3:11; Isa 2:3; Mit 20:22; Ufu 16:1; Yer 10:25; Mao 4:11; Sef 1:18Bwana anasema,

“Kwa hiyo ningojee mimi,

siku nitakayosimama kuteka nyara.

Nimeamua kukusanya mataifa,

kukusanya falme

na kumimina ghadhabu yangu juu yao,

hasira yangu kali yote.

Dunia yote itateketezwa

kwa moto wa wivu wa hasira yangu.

93:9 Sef 2:11; Mwa 4:26; Isa 19:18“Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,

kwamba wote waweze kuliitia jina la Bwana

na kumtumikia kwa pamoja.

103:10 Mwa 10:6; Za 68:31; Mal 1:11; Isa 60:7; Mdo 8:27; 2Nya 32:23Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi

watu wangu wanaoniabudu,

watu wangu waliotawanyika,

wataniletea sadaka.

113:11 Isa 29:22; Yoe 2:26-27; Mwa 50:15; Kut 15:17; Za 59:12; Mt 3:9; Law 26:19Siku hiyo hutaaibishwa

kwa ajili ya makosa yote ulionitendea,

kwa sababu nitawaondoa kutoka mji huu

wale wote wanaoshangilia

katika kiburi chao.

Kamwe hutajivuna tena

katika kilima changu kitakatifu.

123:12 Isa 14:32; Mt 5:3; Lk 6:20; Isa 57:15; Yer 29:12; Nah 1:7Lakini nitakuachia ndani yako

wapole na wanyenyekevu,

ambao wanatumaini jina la Bwana.

133:13 Isa 4:3; 10:21; Za 119:3; Yer 33:16; Ufu 14:5; Ay 16:17; Eze 34:25-28Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;

hawatasema uongo,

wala udanganyifu hautakuwa

katika vinywa vyao.

Watakula na kulala

wala hakuna yeyote

atakayewaogopesha.”

143:14 Za 9:14; 14:7; Zek 2:10; Isa 12:6; 51:11Imba, ee Binti Sayuni;

paza sauti, ee Israeli!

Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,

ee Binti Yerusalemu!

153:15 Yn 1:49; Eze 37:26-28; 48:35; Ufu 21:3; Isa 54:14; Zek 9:9Bwana amekuondolea adhabu yako,

amewarudisha nyuma adui zako.

Bwana, Mfalme wa Israeli, yu pamoja nawe;

kamwe hutaogopa tena madhara yoyote.

163:16 2Fal 19:26; Ebr 12:12; Ay 4:3; Isa 35:3-4Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,

“Usiogope, ee Sayuni;

usiiache mikono yako ilegee.

173:17 Isa 40:1; 62:4; 63:1; Yoe 2:21; Kum 28:63; Hos 14:4Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,

yeye ni mwenye nguvu kuokoa.

Atakufurahia kwa furaha kubwa,

atakutuliza kwa pendo lake,

atakufurahia kwa kuimba.”

183:18 Mao 2:6“Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa

nitaziondoa kwenu;

hizo ni mzigo na fedheha kwenu.

193:19 Isa 14:2; 60:18; Eze 34:16; Mik 4:6Wakati huo nitawashughulikia

wote waliokudhulumu;

nitaokoa vilema na kukusanya

wale ambao wametawanywa.

Nitawapa sifa na heshima

katika kila nchi ambayo waliaibishwa.

203:20 Yer 29:14; Eze 37:12; Za 22:27; Isa 56:5; 60:18; 66:22; Kum 26:19Wakati huo nitawakusanya;

wakati huo nitawaleta nyumbani.

Nitawapa sifa na heshima

miongoni mwa mataifa yote ya dunia

wakati nitakapowarudishia mateka yenu

mbele ya macho yenu hasa,”

asema Bwana.

Korean Living Bible

스바냐 3:1-20

예루살렘의 미래

1횡포와 죄악이 가득하며 더럽고 부패한 예루살렘성에 화가 있을 것이다.

2저가 여호와의 명령에 순종하지 않고 그의 교훈을 받아들이지 않으며 자기 하나님을 신뢰하지 않고 그에게 가까이 나아가지 않았다.

3그 지도자들은 으르렁거리는 사자와 같고 재판관들은 먹이를 다음날 아침까지 남겨 두지 않는 저녁때의 굶주린 이리와 같으며

4예언자들은 경솔하고 믿을 수 없는 자들이요 제사장들은 성소를 더럽히고 율법을 범하였다.

5그 성 안에 계시는 여호와는 의로우셔서 잘못된 것을 행하지 않으시고 아침마다 반드시 자기 의를 나타내시건만 그 악한 백성들은 계속 잘못을 범하면서도 수치를 알지 못하는구나.

6여호와께서 말씀하신다. “내가 여러 나라를 멸망시켰으므로 요새들이 무너지고 말았다. 내가 그들의 거리를 적막하게 하여 그리로 지나다니는 자가 없게 하였으므로 그 모든 성들이 황폐해져서 거기에 사는 자가 없다.

7나는 그들에게 ‘나를 두려워하고 교훈을 받아라. 그러면 너희 거처가 끊어지지 않고 내가 내리기로 한 형벌도 내리지 않을 것이다’ 하였으나 그들은 더욱 자기들의 행위를 더럽게 하였다.

8“나 여호와가 말한다. 그러므로 내가 일어나 그 악한 나라들을 벌할 때까지 너희는 기다려라. 내가 모든 나라들을 모아 내 분노를 쏟기로 작정하였다. 온 세상이 내 질투의 불에 소멸될 것이다.

9“그 때에 내가 모든 민족의 입술을 깨끗하게 하여 그들이 나 여호와의 이름을 부르며 3:9 또는 ‘일심으로’협력하여 나를 섬기게 하겠다.

10나를 섬기는 자들, 곧 흩어진 내 백성들이 멀리 에티오피아 강 건너편에서부터 나에게 예물을 가지고 올 것이다.

11그 날에 너희가 나를 거역한 모든 행위에 대하여 수치를 느낄 필요가 없는 것은 내가 너희 가운데서 교만하여 잘난 척하는 자들을 모조리 제거하여 너희가 다시는 나의 거룩한 산에서 교만하지 않게 할 것이기 때문이다.

12내가 3:12 또는 ‘곤고하고 가난한 백성을’유순하고 겸손한 자를 너희 중에 남겨 두겠다. 그들이 나 여호와의 이름을 의지할 것이다.

13남은 이스라엘 백성은 악을 행하지 않으며 거짓말을 하지 않고 남을 속이지 않을 것이며 그들이 식사를 하고 누워 있어도 그들을 놀라게 할 자가 없을 것이다.”

14시온의 딸아, 노래하라. 이스라엘아, 큰 소리로 외쳐라. 예루살렘의 딸아, 진심으로 기뻐하고 즐거워하라.

15여호와께서 너의 형벌을 면제하셨고 너의 원수를 제거하셨다. 이스라엘의 왕이신 여호와께서 너와 함께하시므로 네가 다시는 화를 입을까 두려워하지 않을 것이다.

16그 날에 사람들이 예루살렘에게 이렇게 말할 것이다. “시온아, 두려워하지 말아라. 네 손을 축 늘어뜨리지 말아라.

17너의 하나님 여호와가 너와 함께하신다. 그는 전능한 구원자이시다. 그가 너를 아주 기쁘게 여기시며 너를 말없이 사랑하시고 너 때문에 노래를 부르며 즐거워하실 것이다.”

18여호와께서 말씀하신다. “3:18 원문의 뜻이 분명치 않다.내가 너희에게서 명절에 대한 근심을 제거하겠다. 이것이 너희에게 짐이 되고 수치가 되었다.

19그 때에 내가 너희를 괴롭게 하는 자를 다 벌하고 불구자를 구원하며 쫓겨난 자를 모으고 온 세상에서 수모를 당하는 자들에게 칭찬과 영예를 얻게 할 것이다.

20그 때에 내가 흩어진 너희를 모아들이고 세상 모든 민족 중에서 명예와 칭찬을 얻게 하며 너희가 보는 데서 너희를 원상태로 회복시키겠다. 이것은 나 여호와의 말이다.”