11:1 2Fal 22:1; 2Tim 3:16; 2Pet 1:21; 1Nya 3:14Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:
Onyo La Maangamizi Yanayokuja
21:2 Mwa 6:7Bwana asema,
“Nitafagia kila kitu
kutoka kwenye uso wa dunia.”
31:3 Yer 4:25; 50:3; Hos 4:3; Eze 14:17“Nitafagilia mbali watu na wanyama;
nitafagilia mbali ndege wa angani
na samaki wa baharini.
Wafanyao maovu watapata tu kokoto,
nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,”
asema Bwana.
Dhidi Ya Yuda
41:4 Yer 6:12; 15:6; Mik 5:13; Sef 2:11; Hos 10:5“Nitaiadhibu Yuda
na wote wakaao Yerusalemu.
Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali
kila mabaki ya Baali,
majina ya wapagani na makuhani
waabuduo sanamu:
51:5 Yer 5:7; 8:2; 1Fal 11:33; Law 18:21wale ambao husujudu juu ya mapaa
kuabudu jeshi la vitu vya angani,
wale ambao husujudu na kuapa kwa Bwana
na ambao pia huapa kwa Malkamu,
61:6 Yer 2:13; Isa 9:13; Hos 7:7wale wanaoacha kumfuata Bwana,
wala hawamtafuti Bwana
wala kutaka shauri lake.
71:7 Isa 13:6; 41:1; Eze 7:19; Yoe 3:14; Amo 5:18-20; Yer 46:10Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,
kwa maana siku ya Bwana iko karibu.
Bwana ameandaa dhabihu,
amewaweka wakfu wale aliowaalika.
81:8 Isa 24:21; Yer 39:6Katika siku ya dhabihu ya Bwana
nitawaadhibu wakuu
na wana wa mfalme
na wale wote wanaovaa
nguo za kigeni.
91:9 1Sam 5:5; Amo 3:10Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao
hukwepa kukanyaga kizingiti,
ambao hujaza hekalu la miungu yao
kwa dhuluma na udanganyifu.”
101:10 Isa 22:5; Neh 3:13; 2Nya 33:14; Amo 5:16Bwana asema, “Katika siku hiyo
kilio kitapanda juu kutoka lango la Samaki,
maombolezo kutoka mtaa wa pili,
na mshindo mkubwa kutoka vilimani.
111:11 Yak 5:1; Hos 9:6; Ufu 18:11, 12Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;
wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa,
wote ambao wanafanya biashara ya fedha
wataangamizwa.
121:12 Amo 6:1; Ay 21:15; Za 10:11-13; Yer 48:11; Eze 8:12; 2Fal 21:16; Ay 22:13Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,
na kuwaadhibu wale ambao
wanakaa katika hali ya kuridhika,
ambao ni kama divai
iliyobaki kwenye machicha,
ambao hudhani, ‘Bwana hatafanya lolote,
jema au baya.’
131:13 2Fal 24:13; Yer 15:13; Mik 6:15; Kum 28:30-39; Mao 5:2; Amo 5:11Utajiri wao utatekwa nyara,
nyumba zao zitabomolewa.
Watajenga nyumba,
lakini hawataishi ndani yake;
watapanda mizabibu
lakini hawatakunywa divai yake.
Siku Kubwa Ya Bwana
141:14 Yer 30:7; Ufu 6:17; Yoe 1:15; 2:1; Mal 4:5; Eze 7:7; Dan 7:13“Siku kubwa ya Bwana iko karibu:
iko karibu na inakuja haraka.
Sikilizeni! Kilio katika siku ya Bwana
kitakuwa kichungu,
hata shujaa atapiga kelele.
151:15 1Sam 2:9; Mk 13:24-25; Yoe 2:2Siku ile ni siku ya ghadhabu,
siku ya fadhaa na dhiki,
siku ya uharibifu na ukiwa,
siku ya giza na utusitusi,
siku ya mawingu na giza nene,
161:16 Yer 4:19; 8:16; Hos 5:8; Amo 3:6; Kum 28:52; Isa 2:15siku ya tarumbeta na mlio wa vita
dhidi ya miji yenye ngome
na dhidi ya minara mirefu.
171:17 Kum 28:52; Isa 59:10; Yer 9:22; Za 79:3; 83:10Nitawaletea watu dhiki,
nao watatembea kama vipofu,
kwa sababu wametenda dhambi
dhidi ya Bwana.
Damu yao itamwagwa kama vumbi
na matumbo yao kama taka.
181:18 Ay 20:20; 40:11; Eze 7:11; 7:19; Kum 29:20; Sef 3:8; Mwa 6:7Fedha yao wala dhahabu yao
hazitaweza kuwaokoa
katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana.
Katika moto wa wivu wake
dunia yote itateketezwa,
kwa maana ataleta mwisho
wa wote wanaoishi katika dunia ghafula.”
1The word of the Lord that came to Zephaniah son of Cushi, the son of Gedaliah, the son of Amariah, the son of Hezekiah, during the reign of Josiah son of Amon king of Judah:
Judgment on the whole earth in the day of the Lord
2‘I will sweep away everything
from the face of the earth,’
declares the Lord.
3‘I will sweep away both man and beast;
I will sweep away the birds in the sky
and the fish in the sea –
and the idols that cause the wicked to stumble.’1:3 The meaning of the Hebrew for this line is uncertain.
‘When I destroy all mankind
on the face of the earth,’
declares the Lord,
4‘I will stretch out my hand against Judah
and against all who live in Jerusalem.
I will destroy every remnant of Baal worship in this place,
the very names of the idolatrous priests –
5those who bow down on the roofs
to worship the starry host,
those who bow down and swear by the Lord
and who also swear by Molek,1:5 Hebrew Malkam
6those who turn back from following the Lord
and neither seek the Lord nor enquire of him.’
7Be silent before the Sovereign Lord,
for the day of the Lord is near.
The Lord has prepared a sacrifice;
he has consecrated those he has invited.
8‘On the day of the Lord’s sacrifice
I will punish the officials
and the king’s sons
and all those clad
in foreign clothes.
9On that day I will punish
all who avoid stepping on the threshold,1:9 See 1 Samuel 5:5.
who fill the temple of their gods
with violence and deceit.
10‘On that day,’
declares the Lord,
‘a cry will go up from the Fish Gate,
wailing from the New Quarter,
and a loud crash from the hills.
11Wail, you who live in the market district1:11 Or the Mortar;
all your merchants will be wiped out,
all who trade with1:11 Or in silver will be destroyed.
12At that time I will search Jerusalem with lamps
and punish those who are complacent,
who are like wine left on its dregs,
who think, “The Lord will do nothing,
either good or bad.”
13Their wealth will be plundered,
their houses demolished.
Though they build houses,
they will not live in them;
though they plant vineyards,
they will not drink the wine.’
14The great day of the Lord is near –
near and coming quickly.
The cry on the day of the Lord is bitter;
the Mighty Warrior shouts his battle cry.
15That day will be a day of wrath –
a day of distress and anguish,
a day of trouble and ruin,
a day of darkness and gloom,
a day of clouds and blackness –
16a day of trumpet and battle cry
against the fortified cities
and against the corner towers.
17‘I will bring such distress on all people
that they will grope about like those who are blind,
because they have sinned against the Lord.
Their blood will be poured out like dust
and their entrails like dung.
18Neither their silver nor their gold
will be able to save them
on the day of the Lord’s wrath.’
In the fire of his jealousy
the whole earth will be consumed,
for he will make a sudden end
of all who live on the earth.