Sefania 1 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Sefania 1:1-18

11:1 2Fal 22:1; 2Tim 3:16; 2Pet 1:21; 1Nya 3:14Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:

Onyo La Maangamizi Yanayokuja

21:2 Mwa 6:7Bwana asema,

“Nitafagia kila kitu

kutoka kwenye uso wa dunia.”

31:3 Yer 4:25; 50:3; Hos 4:3; Eze 14:17“Nitafagilia mbali watu na wanyama;

nitafagilia mbali ndege wa angani

na samaki wa baharini.

Wafanyao maovu watapata tu kokoto,

nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,”

asema Bwana.

Dhidi Ya Yuda

41:4 Yer 6:12; 15:6; Mik 5:13; Sef 2:11; Hos 10:5“Nitaiadhibu Yuda

na wote wakaao Yerusalemu.

Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali

kila mabaki ya Baali,

majina ya wapagani na makuhani

waabuduo sanamu:

51:5 Yer 5:7; 8:2; 1Fal 11:33; Law 18:21wale ambao husujudu juu ya mapaa

kuabudu jeshi la vitu vya angani,

wale ambao husujudu na kuapa kwa Bwana

na ambao pia huapa kwa Malkamu,

61:6 Yer 2:13; Isa 9:13; Hos 7:7wale wanaoacha kumfuata Bwana,

wala hawamtafuti Bwana

wala kutaka shauri lake.

71:7 Isa 13:6; 41:1; Eze 7:19; Yoe 3:14; Amo 5:18-20; Yer 46:10Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,

kwa maana siku ya Bwana iko karibu.

Bwana ameandaa dhabihu,

amewaweka wakfu wale aliowaalika.

81:8 Isa 24:21; Yer 39:6Katika siku ya dhabihu ya Bwana

nitawaadhibu wakuu

na wana wa mfalme

na wale wote wanaovaa

nguo za kigeni.

91:9 1Sam 5:5; Amo 3:10Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao

hukwepa kukanyaga kizingiti,

ambao hujaza hekalu la miungu yao

kwa dhuluma na udanganyifu.”

101:10 Isa 22:5; Neh 3:13; 2Nya 33:14; Amo 5:16Bwana asema, “Katika siku hiyo

kilio kitapanda juu kutoka lango la Samaki,

maombolezo kutoka mtaa wa pili,

na mshindo mkubwa kutoka vilimani.

111:11 Yak 5:1; Hos 9:6; Ufu 18:11, 12Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;

wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa,

wote ambao wanafanya biashara ya fedha

wataangamizwa.

121:12 Amo 6:1; Ay 21:15; Za 10:11-13; Yer 48:11; Eze 8:12; 2Fal 21:16; Ay 22:13Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,

na kuwaadhibu wale ambao

wanakaa katika hali ya kuridhika,

ambao ni kama divai

iliyobaki kwenye machicha,

ambao hudhani, ‘Bwana hatafanya lolote,

jema au baya.’

131:13 2Fal 24:13; Yer 15:13; Mik 6:15; Kum 28:30-39; Mao 5:2; Amo 5:11Utajiri wao utatekwa nyara,

nyumba zao zitabomolewa.

Watajenga nyumba,

lakini hawataishi ndani yake;

watapanda mizabibu

lakini hawatakunywa divai yake.

Siku Kubwa Ya Bwana

141:14 Yer 30:7; Ufu 6:17; Yoe 1:15; 2:1; Mal 4:5; Eze 7:7; Dan 7:13“Siku kubwa ya Bwana iko karibu:

iko karibu na inakuja haraka.

Sikilizeni! Kilio katika siku ya Bwana

kitakuwa kichungu,

hata shujaa atapiga kelele.

151:15 1Sam 2:9; Mk 13:24-25; Yoe 2:2Siku ile ni siku ya ghadhabu,

siku ya fadhaa na dhiki,

siku ya uharibifu na ukiwa,

siku ya giza na utusitusi,

siku ya mawingu na giza nene,

161:16 Yer 4:19; 8:16; Hos 5:8; Amo 3:6; Kum 28:52; Isa 2:15siku ya tarumbeta na mlio wa vita

dhidi ya miji yenye ngome

na dhidi ya minara mirefu.

171:17 Kum 28:52; Isa 59:10; Yer 9:22; Za 79:3; 83:10Nitawaletea watu dhiki,

nao watatembea kama vipofu,

kwa sababu wametenda dhambi

dhidi ya Bwana.

Damu yao itamwagwa kama vumbi

na matumbo yao kama taka.

181:18 Ay 20:20; 40:11; Eze 7:11; 7:19; Kum 29:20; Sef 3:8; Mwa 6:7Fedha yao wala dhahabu yao

hazitaweza kuwaokoa

katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana.

Katika moto wa wivu wake

dunia yote itateketezwa,

kwa maana ataleta mwisho

wa wote wanaoishi katika dunia ghafula.”

New International Reader’s Version

Zephaniah 1:1-18

1A message from the Lord came to Zephaniah, the son of Cushi. Cushi was the son of Gedaliah. Gedaliah was the son of Amariah. Amariah was the son of King Hezekiah. The Lord spoke to Zephaniah during the rule of Josiah. He was king of Judah and the son of Amon.

The Lord Will Judge the Whole World

2“I will sweep away everything

from the face of the earth,”

announces the Lord.

3“I will destroy people and animals alike.

I will wipe out the birds in the sky

and the fish in the waters.

I will destroy the statues of gods that cause evil people to sin.

That will happen when I destroy all human beings on the face of the earth,”

announces the Lord.

4“I will reach out my powerful hand against Judah.

I will punish all those who live in Jerusalem.

I will destroy from this place

what is left of Baal worship.

The priests who serve other gods

will be removed.

5I will destroy those who bow down on their roofs

to worship all the stars.

I will destroy those who make promises

not only in my name but also in the name of Molek.

6I will destroy those who stop following the Lord.

They no longer look to him or ask him for advice.

7Be silent in front of him.

He is the Lord and King.

The day of the Lord is near.

The Lord has prepared a sacrifice.

He has set apart for himself

the people he has invited.

8When the Lord’s sacrifice is ready to be offered,

I will punish the officials and the king’s sons.

I will also judge all those who follow

the practices of other nations.

9At that time I will punish

all those who worship other gods.

They fill the temples of their gods

with lies and other harmful things.

10“At that time people at the Fish Gate in Jerusalem

will cry out,” announces the Lord.

“So will those at the New Quarter.

The buildings on the hills will come crashing down

with a loud noise.

11Cry out, you who live in the market places.

All your merchants will be wiped out.

Those who trade in silver will be destroyed.

12At that time I will search Jerusalem with lamps.

I will punish those who are so contented.

They are like wine that has not been shaken up.

They think, ‘The Lord won’t do anything.

He won’t do anything good or bad.’

13Their wealth will be stolen.

Their houses will be destroyed.

They will build houses.

But they will not live in them.

They will plant vineyards.

But they will not drink the wine they produce.

14The great day of the Lord is near.

In fact, it is coming quickly.

The cries on that day are bitter.

The Mighty Warrior shouts his battle cry.

15At that time I will pour out my anger.

There will be great suffering and pain.

It will be a day of horrible trouble.

It will be a time of darkness and gloom.

It will be filled with the blackest clouds.

16Trumpet blasts and battle cries will be heard.

Soldiers will attack cities

that have forts and corner towers.

17I will bring great trouble on all people.

So they will feel their way around like blind people.

They have sinned against the Lord.

Their blood will be poured out like dust.

Their bodies will lie rotting on the ground.

18Their silver and gold

won’t save them

on the day the Lord pours out his anger.

The whole earth will be burned up

when his jealous anger blazes out.

Everyone who lives on earth

will come to a sudden end.”