Obadia 1 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Obadia 1:1-21

11:1 Mwa 25:14; Isa 1:1; 21:11; Yoe 3:19; Mal 1:3; Eze 25:12-14; Yer 6:4-5; 49:7-22; Isa 11:14; 18:2; 34:11Maono ya Obadia.

Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi kuhusu Edomu:

Tumesikia ujumbe kutoka kwa Bwana:

Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

“Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”

2“Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,

mtadharauliwa kabisa.

31:3 Isa 14:13; 16:6; 2Fal 14:7; 2Nya 25:11-12; Ufu 18:7Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,

wewe unayeishi katika majabali ya miamba

na kufanya makao yako juu,

wewe unayejiambia mwenyewe,

‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’

41:4 Isa 10:14; 14:13; 14:14, 15; Ay 20:6; Amo 9:2; Yer 49:16; Hab 2:9Ingawa unapaa juu kama tai

na kufanya kiota chako kati ya nyota,

nitakushusha chini kutoka huko,”

asema Bwana.

51:5 Isa 24:13; Kum 4:27; 24:21“Ikiwa wevi wangekuja kwako,

ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku:

Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:

je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

je, wasingebakiza zabibu chache?

6Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,

jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

71:7 Yer 30:14; Za 41:9Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,

rafiki zako watakudanganya na kukushinda,

wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego,

lakini hutaweza kuugundua.

81:8 Ay 5:12; Isa 29:14“Katika siku hiyo,” asema Bwana,

“je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu,

watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?

91:9 Mwa 36:11, 34; Amo 2:16; Za 76:5; Yer 49:22; Nah 3:13Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,

kila mmoja katika milima ya Esau

ataangushwa chini kwa kuchinjwa.

101:10 Yoe 3:19; Amo 1:11-12; Za 137:7; Mwa 47:21; Eze 35:5, 15; Mal 1:4; Eze 25:12-14; 35:9Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,

aibu itakufunika;

utaangamizwa milele.

111:11 Ay 6:27; Nah 3:10; Eze 24:6Siku ile ulisimama mbali ukiangalia

wakati wageni walipojichukulia utajiri wake

na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake

wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu,

ulikuwa kama mmoja wao.

121:12 Eze 25:6; 35:15; Mit 17:5; 24:17; Mik 4:11; Ay 31:29Usingemdharau ndugu yako

katika siku ya msiba wake,

wala kufurahia juu ya watu wa Yuda

katika siku ya maangamizi yao,

wala kujigamba sana

katika siku ya taabu yao.

131:13 Eze 35:5Usingeingia katika malango ya watu wangu

katika siku ya maafa yao,

wala kuwadharau katika janga lao

katika siku ya maafa yao,

wala kunyangʼanya mali zao

katika siku ya maafa yao.

14Usingengoja kwenye njia panda

na kuwaua wakimbizi wao,

wala kuwatoa watu wake waliosalia

katika siku ya shida yao.

151:15 Yer 46:10; 50:29; Hab 2:8; Amu 1:7; Za 137:8; Eze 35:15; Yoe 2:31; 3:7-8; Eze 30:3; Amo 5:8“Siku ya Bwana iko karibu

kwa mataifa yote.

Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo,

matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.

161:16 Yer 25:15; 49:12; Mao 4:21-22; Isa 51:17; Kut 15:17; Eze 25:12-14Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,

vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo,

watakunywa na kunywa,

nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.

171:17 Za 69:35; 74:2; Isa 14:1-2; Amo 9:11-15; Zek 8:12Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo

na wale watakaookoka;

nao utakuwa mtakatifu,

nayo nyumba ya Yakobo

itamiliki urithi wake.

181:18 Zek 12:6; Yer 49:10; Isa 1:31Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,

na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto;

nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,

nao wataiwasha moto na kuiteketeza.

Hakutakuwa na watakaosalimika

kutoka nyumba ya Esau.”

Bwana amesema.

191:19 Isa 11:14; Sef 2:7; Yer 31:5; Hes 1:36Watu kutoka nchi ya Negebu

wataikalia milima ya Esau,

na watu kutoka miteremko ya vilima

watamiliki nchi ya Wafilisti.

Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria,

naye Benyamini atamiliki Gileadi.

201:20 Lk 4:26; Yer 33:13; 1Fal 17:9-10Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani

watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta.

Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu

watamiliki miji ya Negebu.

211:21 Dan 2:24, 44; Ufu 11:15; Zek 14:9; Isa 19:20; Amu 3:9; Za 22:28; 47:9Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni

kutawala milima ya Esau.

Nao ufalme utakuwa wa Bwana.

Korean Living Bible

오바댜 1:1-21

에돔에 다가올 심판

1이것은 주 여호와께서 에돔에 대하여 말씀하신 오바댜의 예언이다: 여호와께서 자기 사자를 여러 나라에 보내셨다. 우리는 그의 사자가 “일어나라. 에돔을 치러 가자!” 하고 말하는 소리를 들었다.

2여호와께서 에돔에게 말씀하신다. “내가 여러 나라 가운데서 너를 보잘것없는 나라로 만들겠다. 네가 크게 멸시를 당할 것이다.

3네가 높은 산악 지대에 산다고 해서 ‘누가 나를 아래로 끌어내릴 수 있겠느냐?’ 하고 말하지만 너는 네 교만에 속고 있다.

4네가 비록 독수리처럼 높이 올라 네 보금자리를 별 사이에 만들지라도 내가 거기서 너를 끌어내릴 것이다.

5“밤에 도둑이 들어도 그들은 자기들이 원하는 것만 가져가며 사람들이 포도를 따도 모조리 따지 않고 얼마쯤은 남겨 둔다. 그러나 네 원수들은 너를 완전히 휩쓸어 버릴 것이다.

6에서의 후손아, 네 보물이 모조리 약탈당할 것이다.

7너의 동맹국들이 너를 네 국경 밖으로 밀어낼 것이며 너의 우방들이 너를 속여 정복하고 너와 식사를 같이하는 네 친구들이 너를 쓰러뜨릴 함정을 팔 것이나 너는 지각이 없으므로 그것을 알지 못할 것이다.

8“그 날에 내가 에돔을 벌하여 지혜로운 자들을 모조리 없애 버리겠다.

9데만아, 너의 용사들이 놀랄 것이며 1:9 또는 ‘에서의 산의 거민이’에돔에 있는 모든 사람들이 죽음을 당할 것이다.

10“네가 야곱의 후손인 네 형제들을 약탈하고 죽였으므로 네가 멸망하여 영원히 수치를 당할 것이다.

11원수들이 예루살렘을 침략하여 그 재물을 약탈하고 그 성을 제비 뽑아 나눌 때에 네가 그 곁에 있었으니 너도 그들의 원수와 다를 것이 없다.

12너는 네 형제들의 불행을 만족스러운 듯이 바라보거나 유다 백성의 패망을 기뻐하거나 그들이 고난을 당할 때 우쭐대지 말았어야 했다.

13내 백성이 재앙을 당하는 날에 너는 그들의 성에 들어가서 만족스러운 듯이 그들의 고통을 바라보며 그들의 재물에 손을 대고

14또 그들이 고난을 당할 때에 사거리에 서서 도망하는 자들을 붙잡아 그들을 원수들에게 넘겨 주었다.

15“나 여호와가 온 세상을 심판할 날이 다가오고 있다. 에돔아, 네가 행한 대로 내가 너에게 갚아 주겠다. 네 행위가 네 머리로 돌아갈 것이다.

16네가 나의 거룩한 산에서 형벌의 쓴 잔을 마신 것처럼 네 주변의 모든 나라들도 그 잔을 마실 것이다. 그들은 한없이 마시고 비틀거리다가 아주 사라지고 말 것이다.”

이스라엘의 승리

17“그러나 시온산에 구원이 있을 것이며 그 곳이 거룩하게 되어 이스라엘이 그 땅을 다시 소유할 것이다.

18야곱의 후손은 불과 같고 요셉의 후손은 불꽃과 같으며 에서의 후손은 지푸라기와 같을 것이다. 그래서 그들이 그것을 태울 것이니 에서의 후손 가운데 살아 남을 자가 없을 것이다. 이것은 나 여호와의 말이다.”

19남쪽 네겝 지방에 사는 사람들은 에돔의 산악 지대를 점령할 것이며 유다 저지대에 사는 사람들은 블레셋 땅을 소유하고 그들은 또 에브라임 들과 사마리아 들을 소유할 것이며 베냐민 사람들은 길르앗 땅을 차지할 것이다.

20이스라엘의 포로들은 돌아와서 북으로 사르밧에 이르는 페니키아 연안 일대를 점령할 것이며 스바랏에 있는 예루살렘의 포로들은 네겝 지방의 성들을 차지할 것이다.

21구원자들이 시온산으로 올라와서 에돔을 다스릴 것이며 1:21 또는 ‘나라가 여호와께 속하리라’여호와께서 왕이 되실 것이다.