Nehemia 2 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 2:1-20

Artashasta Amtuma Nehemia Yerusalemu

12:1 Ezr 4:7; 7:1Katika mwezi wa Nisani2:1 Nisani (Abibu) ni mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiyunani; katika kalenda yetu ni Machi/Aprili. mwaka wa ishirini wa utawala wa Mfalme Artashasta, wakati divai ilipoletwa kwake, niliichukua na kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye huzuni mbele yake kabla ya hapo. 22:2 Mit 15:13Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine bali ni huzuni ya moyo.”

Niliogopa sana, 32:3 1Fal 1:13; Dan 3:9; 5:10; Za 137:6lakini nikamwambia mfalme, “Mfalme na aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati mji walipozikwa baba zangu umebaki magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”

42:4 1Sam 1:13; Mit 3:6Mfalme akaniambia, “Je, haja yako ni gani?”

Ndipo nikaomba kwa Mungu wa mbinguni, 5na nikamjibu mfalme, “Kama ikimpendeza mfalme, na kama mtumishi wako amepata kibali machoni pake, anitume kule mji wa Yuda, mahali baba zangu walipozikwa, ili niweze kuujenga upya.”

62:6 Neh 5:14; 13:6Kisha mfalme, na malkia akiwa ameketi karibu naye, akaniuliza, “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi lini?” Ilimpendeza mfalme kunituma, kwa hiyo nikapanga muda.

72:7 Ezr 8:36Pia nikamwambia, “Kama ikimpendeza mfalme, naomba nipewe barua kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati, ili wanipe ulinzi mpaka nifike Yuda. 82:8 Neh 3:7; Ezr 7:6; Neh 7:2; Mdo 7:10Naomba nipewe barua nipeleke kwa Asafu, mtunzaji wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kutengeneza boriti kwa ajili ya malango ya ngome ya Hekalu, na ukuta wa mji, na makao yangu nitakapoishi.” Kwa kuwa mkono wenye neema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu, mfalme akanijalia ombi langu. 92:9 Ezr 8:22Basi nilienda kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati na kuwapa barua za mfalme. Pia mfalme alikuwa ametuma maafisa wa jeshi na askari wapanda farasi pamoja nami.

102:10 Neh 2:10; 4:1, 7; 6:1-2, 5, 12, 14; 13:28; 4:3; 13:4-7; Es 10:3Sanbalati Mhoroni na Tobia afisa Mwamoni waliposikia juu ya jambo hili, waliudhika sana kwamba amekuja mtu kuinua ustawi wa Waisraeli.

Nehemia Akagua Kuta Za Yerusalemu

112:11 Mwa 40:13Nilienda Yerusalemu, na baada ya kukaa huko siku tatu, 12nikaondoka wakati wa usiku pamoja na watu wachache. Sikuwa nimemwambia mtu yeyote kile ambacho Mungu wangu alikuwa ameweka moyoni mwangu kufanya kwa ajili ya Yerusalemu. Hapakuwepo na mnyama yeyote pamoja nami isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.

132:13 2Nya 26:9; Neh 12:31; 3:13Nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bondeni, kuelekea Kisima cha Joka na Lango la Samadi, nikikagua kuta za Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa, na malango yake yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto. 142:14 Neh 12:37; 2Fal 18:17; 20:20Kisha nikaelekea mpaka Lango la Chemchemi na Bwawa la Mfalme, lakini hapakuwepo nafasi ya kutosha kwa ajili ya mnyama wangu kupita, 152:15 2Sam 15:23; Yer 31:40; Yn 18:1kwa hiyo nikapandia bondeni usiku nikikagua ukuta. Mwishoni nikarudi na kuingia tena kupitia Lango la Bondeni. 16Maafisa hawakujua nilikokwenda wala nilichokuwa nikifanya, kwa sababu mpaka sasa nilikuwa bado sijasema lolote kwa Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala maafisa, wala mtu yeyote ambaye angefanya kazi.

172:17 Za 102:16; Isa 30:13; 58:12; Eze 5:14; Neh 1:3Ndipo nilipowaambia, “Mnaona taabu tuliyo nayo: Yerusalemu imebaki magofu na malango yake yameteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, nasi hatutakuwa tena katika aibu hii.” 182:18 Ezr 5:5; 2Sam 2:7Pia niliwaambia kuhusu mkono wenye neema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu, na kile mfalme alichokuwa ameniambia.

Wakajibu, “Haya! Tuanze kujenga tena.” Kwa hiyo wakaanza kazi hii njema.

192:19 Neh 6:1-6; Za 44:13-16Lakini Sanbalati Mhoroni, Tobia afisa Mwamoni, na Geshemu Mwarabu waliposikia kuhusu jambo hili, walitudhihaki na kutucheka. Wakauliza, “Ni nini hiki mnachokifanya? Je, mnaasi dhidi ya mfalme?”

202:20 Ezr 4:3; Mdo 8:21; Rum 8:31Nikawajibu kwa kusema, “Mungu wa mbinguni atatufanikisha. Sisi watumishi wake tutaanza kujenga upya, lakini kwenu ninyi, hamna sehemu wala dai lolote wala kumbukumbu la haki katika Yerusalemu.”

New Russian Translation

Неемия 2:1-20

Возвращение Неемии в Иерусалим

1В месяце нисане, в двадцатом году правления царя Артаксеркса2:1 Ранней весной 445 г. до н. э., ему принесли вино; я взял его и поднес царю. Прежде я никогда не был перед ним печален, 2и царь спросил меня:

– Почему твое лицо так печально, когда ты не болен? Это не что иное, как тоска на сердце.

Я очень испугался, 3но сказал царю:

– Да живет царь вовеки! Как же моему лицу не быть печальным, если город, где похоронены мои предки, лежит в руинах, а его ворота уничтожены огнем?

4Царь сказал мне:

– Чего же ты хочешь?

Я помолился Богу небесному 5и ответил царю:

– Если это угодно царю, и если твой слуга нашел у тебя расположение, отпусти меня в Иудею, в город, где похоронены мои предки, чтобы мне отстроить его.

6Тогда царь сказал мне (а царица сидела рядом с ним):

– Сколько продлится твое путешествие, и когда ты вернешься?

Царю было угодно меня отпустить, и я назвал сроки. 7Еще я сказал ему:

– Если это угодно царю, пусть мне дадут письма к наместникам провинции за Евфратом, чтобы они пропускали меня, пока я не прибуду в Иудею. 8И пусть мне дадут письмо к Асафу, хранителю царских лесов, чтобы он дал мне дерева для того, чтобы сделать балки для ворот крепости при храме, для городской стены и для дома, где я буду жить.

Милостивая рука моего Бога была на мне, и царь исполнил мои просьбы. 9Я пришел к наместникам провинции за Евфратом и вручил им царские письма. А царь еще послал со мной военачальников и всадников.

10Когда хоронитянин Санбаллат и аммонитский вельможа Товия услышали об этом, они были крайне возмущены, что кто-то пришел заботиться о благе израильтян.

Неемия осматривает стены Иерусалима

11Я прибыл в Иерусалим и, пробыв там три дня, 12ночью тронулся в путь с несколькими людьми. Я никому не рассказал того, что мой Бог положил мне на сердце сделать для Иерусалима. Животных со мной не было, не считая того, на котором я ехал.

13Ночью я проехал через ворота Долины к Драконьему источнику и Навозным воротам, осматривая разрушенные стены Иерусалима и его сожженные ворота. 14Потом я проехал к воротам Источника и к царскому пруду, но там было мало места, чтобы пройти животному, на котором я ехал; 15и я поднялся ночью по долине, осматривая стены. Наконец, я повернул назад и возвратился через ворота Долины. 16Начальствующие не знали, куда я ходил и что делал – ведь я еще не говорил ни иудеям, ни священникам, ни знати, ни начальствующим, ни всем остальным, кому суждено было предпринять этот труд.

17Потом я сказал им:

– Вы видите, в какой мы беде: Иерусалим лежит в руинах, а его ворота сожжены. Пойдем, отстроим стену Иерусалима и не будем больше в бесчестии.

18Еще я рассказал им о милостивой руке моего Бога, что на мне, и о том, что сказал мне царь.

Они ответили:

– Так давайте же строить! – и взялись за это благое дело.

19Но когда об этом услышал хоронитянин Санбаллат, аммонитский вельможа Товия и араб Гешем, они принялись высмеивать нас и издеваться над нами.

– Что это вы делаете? – спрашивали они. – Против царя бунтуете?

20Я отвечал им, говоря:

– Бог небесный даст нам успех. Мы, Его слуги, начнем отстраивать эту стену, но что до вас – нет у вас части в Иерусалиме, ни права на него, ни памяти в нем.