Nehemia 11 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 11:1-36

Wakazi Wapya Wa Yerusalemu

111:1 Isa 48:2; Neh 7:4; Isa 64:10; Zek 14:20-21Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe. 211:2 Amu 5:9Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.

311:3 1Nya 9:29; Ezr 2:44-45Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu,11:3 Yaani Wanethini (pia 11:21). na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali, 411:4 Ezr 1:5; Mwa 38:29; Ezr 2:70; 1Nya 9:3ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu).

Kutoka wazao wa Yuda:

Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi. 5Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni. 6Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.

7Kutoka wazao wa Benyamini:

Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya 8na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928. 9Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.

1011:10 1Nya 9:10Kutoka makuhani:

Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini, 1111:11 2Fal 25:18; Ezr 7:2Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu, 12pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya, 13na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri, 14na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.

15Kutoka Walawi:

Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni; 1611:16 Ezr 10:15; 2Nya 34:13; Ezr 8:33Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu; 1711:17 1Nya 9:15; Neh 12:8; 2Nya 5:12Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. 1811:18 Ufu 21:2; Ezr 9:8; Mt 24:15Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.

1911:19 1Nya 9:17; Neh 7:45; 12:25Mabawabu:

Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.

20Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.

2111:21 Ezr 2:43; Neh 3:26; 2Nya 27:3Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.

2211:22 1Nya 9:15Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu. 2311:23 1Nya 15:16; Neh 7:44Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

2411:24 Mwa 38:30; 1Nya 23:28Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.

2511:25 Mwa 35:27; Yos 14:15; Hes 21:30Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake, 2611:26 Yos 15:27katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti, 2711:27 Mwa 21:14katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake, 2811:28 Isa 27:6katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake, 2911:29 Yos 15:33-35; Yer 10:3katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi, 3011:30 Yos 10:39; 10:10; 15:28Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.

3111:31 Yos 21:17; Isa 10:29; 1Sam 13:2Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake, 3211:32 Isa 10:30; 1Sam 21:1katika Anathothi, Nobu na Anania, 3311:33 Yos 11:1; 18:25; 2Sam 4:3katika Hazori, Rama na Gitaimu, 3411:34 1Sam 13:18katika Hadidi, Seboimu na Nebalati, 3511:35 1Nya 8:12; 4:14katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

36Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.

Nueva Versión Internacional

Nehemías 11:1-36

Los que se establecieron en Jerusalén

1Los líderes del pueblo se establecieron en Jerusalén. Entre el resto del pueblo se hizo un sorteo para que uno de cada diez se quedara a vivir en Jerusalén, la ciudad santa, y los otros nueve se establecieran en las otras poblaciones. 2El pueblo bendijo a todos los que se ofrecieron voluntariamente a vivir en Jerusalén.

3Estos son los jefes de la provincia que se establecieron en Jerusalén y en las otras poblaciones de Judá. Los israelitas, los sacerdotes, los levitas, los servidores del Templo y los descendientes de los servidores de Salomón se establecieron, cada uno en su propia población y en su respectiva propiedad. 4Estos fueron los judíos y benjamitas que se establecieron en Jerusalén:

De los descendientes de Judá:

Ataías, hijo de Uzías, hijo de Zacarías, hijo de Amarías, hijo de Sefatías, hijo de Malalel, de los descendientes de Fares;

5y Maseías, hijo de Baruc, hijo de Coljozé, hijo de Jazaías, hijo de Adaías, hijo de Joyarib, hijo de Zacarías, hijo de Siloní.

6El total de los descendientes de Fares que se establecieron en Jerusalén fue de cuatrocientos sesenta y ocho hombres capaces.

7De los descendientes de Benjamín:

Salú, hijo de Mesulán, hijo de Joed, hijo de Pedaías, hijo de Colaías, hijo de Maseías, hijo de Itiel, hijo de Isaías, 8y sus hermanos11:8 y sus hermanos (mss. de LXX); y después de él (TM). Gabay y Salay. En total eran novecientos veintiocho.

9Su jefe era Joel, hijo de Zicrí, y el segundo jefe de la ciudad era Judá, hijo de Senuá.11:9 Senuá. Alt. Hasenuá.

10De los sacerdotes:

Jedaías, hijo de Joyarib, Jaquín,

11Seraías, hijo de Jilquías, hijo de Mesulán, hijo de Sadoc, hijo de Merayot, hijo de Ajitob, que era el oficial a cargo del Templo de Dios, 12y sus parientes, que eran ochocientos veintidós y trabajaban en el Templo;

así mismo, Adaías, hijo de Jeroán, hijo de Pelalías, hijo de Amsí, hijo de Zacarías, hijo de Pasur, hijo de Malquías, 13y sus parientes, los cuales eran jefes de familia y sumaban doscientos cuarenta y dos;

también Amasay, hijo de Azarel, hijo de Ajsay, hijo de Mesilemot, hijo de Imer, 14y sus parientes, los cuales eran ciento veintiocho valientes.

Su jefe era Zabdiel, hijo de Guedolín.

15De los levitas:

Semaías, hijo de Jasub, hijo de Azricán, hijo de Jasabías, hijo de Buní;

16Sabetay y Jozabad, que eran jefes de los levitas y estaban encargados de la obra exterior del Templo de Dios;

17Matanías, hijo de Micaías, hijo de Zabdí, hijo de Asaf, que dirigía el coro de los que entonaban las acciones de gracias en el momento de la oración;

Bacbuquías, segundo entre sus hermanos,

y Abdá, hijo de Samúa, hijo de Galal, hijo de Jedutún.

18Los levitas que se establecieron en la ciudad santa fueron doscientos ochenta y cuatro.

19De los porteros:

Acub, Talmón y sus parientes, que vigilaban las puertas. En total eran ciento setenta y dos.

20Los demás israelitas, de los sacerdotes y de los levitas, vivían en todas las poblaciones de Judá, cada uno en su propiedad.

21Los servidores del Templo, que estaban bajo la dirección de Zijá y Guispa, se establecieron en Ofel.

22El jefe de los levitas que estaban en Jerusalén era Uzi, hijo de Baní, hijo de Jasabías, hijo de Matanías, hijo de Micaías, uno de los descendientes de Asaf. Estos tenían a su cargo el canto en el servicio del Templo de Dios. 23Una orden real y un reglamento establecían los deberes diarios de los cantores.

24Para atender a todos los asuntos del pueblo, el rey había nombrado como su representante a Petaías, hijo de Mesezabel, que era uno de los descendientes de Zera, hijo de Judá.

Otras ciudades habitadas

25Algunos judíos se establecieron en las siguientes ciudades con sus poblaciones: Quiriat Arbá, Dibón, Yecabsel, 26Jesúa, Moladá, Bet Pelet, 27Jazar Súal, Berseba, 28Siclag, Mecona, 29Enrimón, Zora, Jarmut, 30Zanoa, Adulán, Laquis y Azeca, es decir, desde Berseba hasta el valle de Hinón.

31Los benjamitas se establecieron en Gueba, Micmás, Aías, Betel y sus poblaciones, 32Anatot, Nob, Ananías, 33Jazor, Ramá, Guitayin, 34Jadid, Seboyín, Nebalat, 35Lod y Ono, y en el valle de los Artesanos.

36Algunos levitas de Judá se unieron a los benjamitas.