Nahumu 3 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nahumu 3:1-19

Ole Wa Ninawi

13:1 Eze 22:2; Mik 3:10; Za 12:2Ole wa mji umwagao damu,

uliojaa uongo,

umejaa nyara,

usiokosa kuwa na vitu vya kuteka nyara.

23:2 Isa 34:3; Yer 47:3Kelele za mijeledi,

vishindo vya magurudumu,

farasi waendao mbio

na mshtuo wa magari ya vita!

3Wapanda farasi wanaenda mbio,

panga zinameremeta,

na mikuki inangʼaa!

Majeruhi wengi,

malundo ya maiti,

idadi kubwa ya miili isiyohesabika,

watu wanajikwaa juu ya mizoga:

43:4 Isa 47:9; 23:17; 2The 2:9, 10; Dan 2:2; Ufu 9:20, 21; Eze 16:25-29yote haya kwa sababu ya wingi wa tamaa za kahaba,

anayeshawishi, bibi wa mambo ya uchawi,

anayewatia utumwani mataifa kwa ukahaba wake

na pia jamaa za watu kwa ulozi wake.

53:5 Nah 2:13; Isa 47:2-3; 20:4; Yer 13:22Bwana Mwenye Nguvu Zote anasema,

“Mimi ni kinyume na ninyi.

Nitafunika uso wako kwa gauni lako.

Nitaonyesha mataifa uchi wako

na falme aibu yako.

63:6 Kut 29:14; Ay 9:31; 1Sam 2:30; Yer 51:37; Isa 14:16Nitakutupia uchafu,

nitakufanyia dharau

na kukufanya kioja.

73:7 Isa 13:14; 31:9; Nah 1:1; Ay 3:14; Yer 51:37Wote wanaokuona watakukimbia na kusema,

‘Ninawi ipo katika kuangamia:

ni nani atakayeomboleza kwa ajili yake?’

Nitampata wapi yeyote wa kukufariji?”

83:8 Amo 6:2; Yer 46:25; Isa 19:6-9Je, wewe ni bora kuliko No-Amoni,

uliopo katika Mto Naili,

uliozungukwa na maji?

Mto ulikuwa kinga yake,

nayo maji yalikuwa ukuta wake.

93:9 Mwa 10:6; 2Nya 12:3; Eze 27:10; 30:5Kushi3:9 Kushi ni Ethiopia. na Misri walikuwa nguvu zake zisizo na mpaka;

Putu na Libia walikuwa miongoni mwa wale walioungana naye.

103:10 Isa 20:4; 2Fal 8:12; Isa 13:16; Hos 13:16; Ay 6:26-27; Eze 24:6; Yer 40:1; Yoe 3:3; Oba 1:11Hata hivyo alichukuliwa mateka

na kwenda uhamishoni.

Watoto wake wachanga walivunjwa vunjwa vipande

kwenye mwanzo wa kila barabara.

Kura zilipigwa kwa watu wake wenye heshima,

na watu wake wote wakuu walifungwa kwa minyororo.

113:11 Isa 49:26; 2:10Wewe pia utalewa;

utakwenda mafichoni

na kutafuta kimbilio kutoka kwa adui.

123:12 Wim 2:13; Ufu 6:13; Isa 28:4Ngome zako zote ni kama mitini

yenye matunda yake ya kwanza yaliyoiva;

wakati inapotikiswa,

tini huanguka kwenye kinywa chake alaye.

133:13 Isa 19:16; 45:2; Yer 50:37; Nah 2:6Tazama vikosi vyako:

wote ni wanawake!

Malango ya nchi yako

yamekuwa wazi kwa adui zako;

moto umeteketeza mapingo yake.

143:14 2Nya 32:4; Nah 2:1Teka maji kwa ajili ya kuzingirwa kwako,

imarisha ulinzi wako,

Ufanyie udongo wa mfinyanzi kazi,

yakanyage matope,

karabati tanuru la kuchomea matofali!

153:15 Isa 27:1; 2Sam 2:26; Yer 51:14; Yoe 1:4Huko moto utakuteketeza,

huko upanga utakuangusha chini

na kama vile panzi, watakumaliza.

Ongezeka kama panzi,

ongezeka kama nzige!

163:16 Kut 10:13Umeongeza idadi ya wafanyabiashara wako

mpaka wamekuwa wengi kuliko nyota za angani,

lakini kama nzige wanaacha nchi tupu

kisha huruka na kwenda zake.

173:17 Ufu 9:7; Yer 51:17Walinzi wako ni kama nzige,

maafisa wako ni kama makundi ya nzige

watuao kwenye kuta wakati wa siku ya baridi:

lakini wakati jua linapotokea wanaruka kwenda zao,

na hakuna ajuaye waendako.

183:18 Za 76:5-6; Yer 25:27; 50:18; Eze 31:3; Isa 56:10; 1Fal 22:17Ee mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wanasinzia;

wakuu wako wanalala chini mavumbini kupumzika.

Watu wako wametawanyika juu ya milima

bila kuwa na mtu yeyote wa kuwakusanya.

193:19 Yer 30:13; Mik 1:9; Ay 27:23; Mao 2:15; Sef 2:15; Isa 14:8; 37:18Hakuna kitu kinachoweza kuponya jeraha lako;

jeraha lako ni la kukuua.

Kila anayesikia habari zako,

hupiga makofi kwa kuanguka kwako,

kwa kuwa ni nani ambaye hajaguswa

na ukatili wako usio na mwisho?

Japanese Contemporary Bible

ナホム書 3:1-19

3

ニネベの災い

1ああ、流血の町、

偽りと略奪に満ちたニネベは災いだ。

2聞け、むちの音を。

戦車がニネベに向かって進んで来る。

車輪とひづめの音を響かせて、

荒々しく通りを走り抜けて行く。

その音のすさまじいことよ。

3騎兵が振りかざす剣と槍が、きらめいているのを見よ。

死人が通りに横たわっている。

どこもかしこも死体の山だ。

人々はそれにつまずいて転び、ようやく置き上がり、

再び倒れる。

4こうなったのもみな、

ニネベが神の敵に自分を売ったからだ。

美しいが不誠実な町、死に至らせる魅力をもつ女王は、

その美しさで国々の気を引き、

彼らすべてに偽りの神々を拝むことを教えて、

あらゆる場所で人々を魅了した。

5全能の主は言う。

「わたしがおまえに反対するのは当然のことだ。

今、全地がおまえの裸と恥を見ることになる。

6おまえを汚物で覆い、

実際どんなに汚い者であるかを世界に見せよう。」

7おまえを見る者はみな、恐れてしりごみする。

「ニネベは完全に廃墟と化した」と。

それでも、おまえの運命を悲しむ者は一人もいない。

8おまえは、ナイル川の両岸にまたがり、

四方を川で守られていたテーベよりも

すぐれているだろうか。

9エチオピヤとエジプト全土はテーベの力強い同盟者で、

テーベはプテとリビヤからと同様、

彼らからどんな援助でも求めることができた。

10それでもテーベは陥落し、

住民は奴隷となって連れて行かれたのだ。

赤ん坊は道路の石にたたきつけられて死んだ。

高官たちは、くじ引きで兵士たちの召使にされた。

指導者はみな鎖につながれた。

11ニネベも、酔っぱらいのようにふらつき、

おびえて身を隠すようになる。

12要塞はすべて陥落する。

木を揺さぶる人の口の中に落ちる、

初なりのいちじくのように食べられる。

13おまえの軍隊は女のように弱く、頼る相手がいない。

国のすべての門は敵に対して広く開けられ、

火で焼かれる。

14籠城に備えよ。水をたくわえよ。要塞を強固にせよ。

城壁を修理するために、れんがをたくさん用意せよ。

洞窟に入って粘土を足でこね、型に詰めるのだ。

15しかし、準備の最中に、火がおまえを焼き尽くす。

剣がおまえを切り倒す。

若いいなごが目の前にある物を平らげるように、

敵がおまえを食い尽くす。

おまえはばったのように増え広がるが、

逃れることはできない。

16商人は星のように多く、

巨万の富でこの町を満たしたが、

敵はいなごのように群がり、それを持ち去る。

17君主や役人たちは、いなごが寒い季節に

生け垣に群がるように、群がっている。

ところが、日が昇って地が暖まりだすと

いなごも姿を消すように、全員が逃げていなくなる。

18アッシリヤの王よ。

おまえの君主たちは、死んでちりの中に横たわる。

おまえの民は山の向こうに散らされる。

今、彼らを集める牧者はいない。

19おまえの傷は治らない。

あまりにも傷が深いからだ。

おまえの最期を聞く者はみな、手をたたいて喜ぶ。

みな、おまえの残虐なふるまいに苦しんだからだ。