Nahumu 2 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nahumu 2:1-13

Ninawi Kuanguka

12:1 Yer 51:20Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi.

Linda ngome,

chunga barabara,

jitieni nguvu wenyewe,

kusanya nguvu zako zote!

22:2 Eze 37:23; Isa 60:15Bwana atarudisha fahari ya Yakobo,

kama fahari ya Israeli,

ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa

na wameharibu mizabibu yao.

32:3 Eze 23:14-15Ngao za askari wake ni nyekundu,

mashujaa wamevaa nguo nyekundu.

Chuma kwenye magari ya vita chametameta,

katika siku aliyoyaweka tayari,

mikuki ya mierezi inametameta.

42:4 Yer 4:13; Eze 23:24Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani,

yakikimbia nyuma na mbele uwanjani.

Yanaonekana kama mienge ya moto;

yanakwenda kasi kama umeme.

52:5 Yer 46:12Anaita vikosi vilivyochaguliwa,

lakini bado wanajikwaa njiani.

Wanakimbilia haraka kwenye ukuta wa mji,

ile ngao ya kuwakinga imetayarishwa.

62:6 Isa 45:1; Nah 3:13Malango ya mto yamefunguliwa wazi,

na jumba la kifalme limeanguka.

72:7 Mwa 8:8; Isa 59:11; 32:12Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe

na upelekwe uhamishoni.

Vijakazi wake wanaomboleza kama hua

na kupigapiga vifua vyao.

8Ninawi ni kama dimbwi,

nayo maji yake yanakauka.

Wanalia, “Simama! Simama!”

Lakini hakuna anayegeuka nyuma.

9Chukueni nyara za fedha!

Chukueni nyara za dhahabu!

Wingi wake hauna mwisho,

utajiri kutoka hazina zake zote!

102:10 Yos 2:11; 7:5; Isa 29:22Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi!

Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea,

miili inatetemeka,

na kila uso umebadilika rangi.

112:11 Isa 5:29Liko wapi sasa pango la simba,

mahali ambapo waliwalisha watoto wao,

ambapo simba dume na simba jike walikwenda

na ambapo wana simba walikwenda

bila kuogopa chochote?

122:12 Yer 51:34; 4:7; Isa 37:18Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake,

alinyonga mawindo kwa ajili ya mwenzi wake,

akijaza makao yake kwa alivyoua

na mapango yake kwa mawindo.

132:13 Isa 10:5-13; Yer 21:13; Nah 3:5; Za 46:9; 2Sam 2:26; Mik 5:6Bwana Mwenye Nguvu Zote anatangaza,

“Mimi ni kinyume na ninyi.

Magari yenu ya vita nitayateketeza kwa moto,

na upanga utakula wana simba wako.

Sitawaachia mawindo juu ya nchi.

Sauti za wajumbe wako

hazitasikika tena.”

Japanese Contemporary Bible

ナホム書 2:1-13

2

滅ぼされるニネベ

1ニネベよ。おまえはもうおしまいだ。

すでに敵の軍隊に囲まれている。

警鐘を鳴らせ。城壁に人を配置し、守りを固め、

全力を尽くして敵の侵入を見張れ。

2神の民の地は、おまえの攻撃で人はいなくなり、

破壊された。

だが主は、彼らの誉れと力とを回復する。

3兵士の盾は太陽の光を受け、真っ赤に輝く。

攻撃開始だ。深紅の軍服を見よ。

飛び跳ねる馬に引かれて、

ぴかぴかの戦車が並んで進んで来るのを見よ。

4あなたの戦車は、たいまつのような光を放ちながら、

向こう見ずに通りを突っ走り、広場を走り抜ける。

5王は役人たちを呼んで叫ぶ。

彼らはあわてふためいてつまずきながら、

守備を固めようと、城壁に向かって走る。

6だが、もう遅い。水門は開かれた。

敵が入って来る。宮殿は大騒ぎだ。

7ニネベの王妃は裸で通りに引き出され、

奴隷として引いて行かれる。

泣き悲しむ侍女たちもいっしょだ。

彼女たちが鳩のように泣く声と、

悲しんで胸を打つ音を聞け。

8ニネベは水のもれる水槽のようだ。

兵士たちは町を見捨てて、こっそり逃げ出す。

呼び戻すことはできない。

「止まれ、止まれ」とニネベが叫んでも、

彼らは走り続ける。

9銀を奪え。金を奪え。

財宝はいくらでもある。

山のような富もはぎ取られてしまう。

10まもなく、この町は人っ子一人いない

散乱状態となる。

心は恐怖におののき、ひざは震え、

彼らはぼう然として青ざめる。

11諸国の間でライオンのようにふるまい、

闘志と大胆さをみなぎらせていた町、

年老いて弱くなった者も、いたいけな子どもも

恐れることなく暮らしていた町、

あの偉大なニネベは今、どこにあるのか。

12ニネベよ、かつての勇猛なライオンよ。

おまえは妻子に食べさせるために

多くの敵を押しつぶし、

町と家を分捕り物と奴隷でいっぱいにした。

13しかし今、全能の主がおまえに立ち向かう。

武器は破壊され、

戦車は使われないままひっそりと放置される。

すぐれた若者も死んで横たわる。

もう、他国を征服して奴隷を連れて来ることもない。

再びこの地を支配できないのだ。