Nahumu 2 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nahumu 2:1-13

Ninawi Kuanguka

12:1 Yer 51:20Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi.

Linda ngome,

chunga barabara,

jitieni nguvu wenyewe,

kusanya nguvu zako zote!

22:2 Eze 37:23; Isa 60:15Bwana atarudisha fahari ya Yakobo,

kama fahari ya Israeli,

ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa

na wameharibu mizabibu yao.

32:3 Eze 23:14-15Ngao za askari wake ni nyekundu,

mashujaa wamevaa nguo nyekundu.

Chuma kwenye magari ya vita chametameta,

katika siku aliyoyaweka tayari,

mikuki ya mierezi inametameta.

42:4 Yer 4:13; Eze 23:24Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani,

yakikimbia nyuma na mbele uwanjani.

Yanaonekana kama mienge ya moto;

yanakwenda kasi kama umeme.

52:5 Yer 46:12Anaita vikosi vilivyochaguliwa,

lakini bado wanajikwaa njiani.

Wanakimbilia haraka kwenye ukuta wa mji,

ile ngao ya kuwakinga imetayarishwa.

62:6 Isa 45:1; Nah 3:13Malango ya mto yamefunguliwa wazi,

na jumba la kifalme limeanguka.

72:7 Mwa 8:8; Isa 59:11; 32:12Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe

na upelekwe uhamishoni.

Vijakazi wake wanaomboleza kama hua

na kupigapiga vifua vyao.

8Ninawi ni kama dimbwi,

nayo maji yake yanakauka.

Wanalia, “Simama! Simama!”

Lakini hakuna anayegeuka nyuma.

9Chukueni nyara za fedha!

Chukueni nyara za dhahabu!

Wingi wake hauna mwisho,

utajiri kutoka hazina zake zote!

102:10 Yos 2:11; 7:5; Isa 29:22Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi!

Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea,

miili inatetemeka,

na kila uso umebadilika rangi.

112:11 Isa 5:29Liko wapi sasa pango la simba,

mahali ambapo waliwalisha watoto wao,

ambapo simba dume na simba jike walikwenda

na ambapo wana simba walikwenda

bila kuogopa chochote?

122:12 Yer 51:34; 4:7; Isa 37:18Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake,

alinyonga mawindo kwa ajili ya mwenzi wake,

akijaza makao yake kwa alivyoua

na mapango yake kwa mawindo.

132:13 Isa 10:5-13; Yer 21:13; Nah 3:5; Za 46:9; 2Sam 2:26; Mik 5:6Bwana Mwenye Nguvu Zote anatangaza,

“Mimi ni kinyume na ninyi.

Magari yenu ya vita nitayateketeza kwa moto,

na upanga utakula wana simba wako.

Sitawaachia mawindo juu ya nchi.

Sauti za wajumbe wako

hazitasikika tena.”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Nahúm 2:1-13

La destrucción de Nínive

1Nínive, un destructor avanza contra ti,

así que monta guardia en el terraplén,

vigila el camino, renueva tus fuerzas,

acrecienta tu poder.

2Porque el Señor restaura la majestad de Jacob,

como la majestad de Israel,

pues los destructores los han arrasado;

han arruinado sus sarmientos.

3Rojo es el escudo de sus valientes;

de púrpura se visten los guerreros.

El metal de sus carros brilla como fuego

mientras se alistan para la batalla

y los guerreros agitan sus lanzas.

4Desaforados corren los carros por las calles,

irrumpen con violencia por las plazas.

Son como antorchas de fuego,

como relámpagos zigzagueantes.

Caída y saqueo de Nínive

5Convoca el rey de Nínive a sus tropas escogidas,

que en su carrera se atropellan.

Se lanzan contra la muralla

para levantar la barricada,

6pero se abren las compuertas de los ríos

y el palacio se derrumba.

7Ya está decidido:

la ciudad2:7 ciudad. Alt. reina. será llevada al exilio.

Gimen sus criadas como palomas,

y se golpean el pecho.

8Nínive es como un estanque roto

cuyas aguas se derraman.

«¡Deteneos! ¡Deteneos!», les gritan,

pero nadie vuelve atrás.

9¡Saquead la plata!

¡Saquead el oro!

El tesoro es inagotable,

y abundan las riquezas y los objetos preciosos.

10¡Destrucción, desolación, devastación!

Desfallecen los corazones,

tiemblan las rodillas,

se estremecen los cuerpos,

palidecen los rostros.

La bestia salvaje morirá

11¿Qué fue de la guarida de los leones

y de la cueva de los leoncillos,

donde el león, la leona y sus cachorros

se guarecían sin que nadie los perturbara?

12¿Qué fue del león,

que despedazaba para sus crías

y estrangulaba para sus leonas,

que llenaba de presas su caverna

y de carne su guarida?

13«Pero ahora yo vengo contra ti

—afirma el Señor omnipotente—.

Reduciré a cenizas tus carros de guerra

y mataré a filo de espada a tus leoncillos.

Pondré fin en el país a tus rapiñas,

y no volverá a oírse la voz de tus mensajeros».