Mwanzo 9 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 9:1-29

Mungu Aweka Agano Na Noa

19:1 Mwa 1:22Ndipo Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, “Zaeni mkaongezeke kwa idadi na mkaijaze tena dunia. 29:2 Mwa 1:26Wanyama wote wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi, na samaki wote wa baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao watawaogopa na kuwahofu. 39:3 Mwa 1:29; Kol 2:16; Mdo 10:15Kila kitu chenye uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa nawapa kila kitu.

49:4 Law 3:17; 7:26; 17:10-14; 19:26; Kum 12:16, 23-25; 15:23; 1Sam 14:33; Eze 33:25; Mdo 15:20, 29“Lakini kamwe msile nyama ambayo bado ina damu ya uhai wake, kwa maana damu ni uhai. 59:5 Mwa 4:10; 42:22; 50:15; 1Fal 2:32; 2Nya 24:22; Za 9:12; Kut 21:28-32Hakika damu ya uhai wenu nitaidai. Nitaidai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwa kila mwanadamu pia nitaidai kwa ajili ya uhai wa mtu mwenzake.

69:6 Mwa 1:26; 4:14; Amu 9:24; Mt 26:52“Yeyote amwagaye damu ya mwanadamu,

damu yake itamwagwa na mwanadamu,

kwa kuwa katika mfano wa Mungu,

Mungu alimuumba mwanadamu.

79:7 Mwa 1:22; 9:19Kuhusu ninyi, zaeni mwongezeke kwa wingi, mzidi katika dunia na kuijaza.”

8Ndipo Mungu akamwambia Noa na wanawe pamoja naye: 99:9 Mwa 6:18“Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu, 10pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani. 119:11 Isa 24:5; 33:8; 54:9; Hos 6:7; Mwa 8:21Ninaweka Agano nanyi: Kamwe uhai hautafutwa tena kwa gharika, kamwe haitakuwepo tena gharika ya kuangamiza dunia.”

129:12 Mwa 17:11-12; Kut 12:14; Law 3:17; 6:18; 17:7; Hes 10:8Mungu akasema, “Hii ni ishara ya Agano ninalofanya kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, Agano kwa vizazi vyote vijavyo: 139:13 Eze 1:28; Ufu 4:3; 10:1Nimeweka upinde wangu wa mvua mawinguni, nao utakuwa ishara ya Agano nifanyalo kati yangu na dunia. 14Wakati wowote ninapotanda mawingu juu ya dunia na upinde wa mvua ukijitokeza mawinguni, 159:15 Mwa 8:1, 21; Kut 2:24; 6:5; 34:10; Law 26:42-45; Kum 7:9; Za 89:34; 103:18; 105:8; 106:45; Eze 16:60nitakumbuka Agano langu kati yangu na ninyi na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina. Kamwe maji hayatakuwa tena gharika ya kuangamiza uhai wote. 169:16 Mwa 17:7-13, 19; 2Sam 7:13; 23:5; Za 105:9-10; Isa 9:7; 54:10; 55:3; 59:21; 61:8; Yer 31:34; 32:40; 33:21; Eze 16:60; 37:26; Ebr 13:20Wakati wowote upinde wa mvua unapotokea mawinguni, nitauona na kukumbuka Agano la milele kati ya Mungu na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina duniani.”

17Hivyo Mungu akamwambia Noa, “Hii ndiyo ishara ya Agano ambalo nimelifanya kati yangu na viumbe vyote vilivyo hai duniani.”

Wana Wa Noa

189:18 Mwa 5:32; 10:6, 15; Lk 3:36Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.) 199:19 Mwa 5:32; 1:22; 10:32; 11:4-9Hawa ndio waliokuwa wana watatu wa Noa, kutokana nao watu walienea katika dunia.

20Noa akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu. 219:21 Mwa 19:35Alipokunywa huo mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye hema lake. 229:22 Hab 2:15Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje. 23Lakini Shemu na Yafethi wakachukua nguo wakaitanda mabegani mwao wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wa baba yao.

24Noa alipolevuka kutoka kwenye mvinyo wake na kujua lile ambalo mwanawe mdogo kuliko wote alilokuwa amemtendea, 259:25 Mwa 27:12, 29-40; 25:23; 37:10; 49:8; Kut 20:5; Za 79:8; Isa 14:21; Yer 31:29; 32:18; Hes 24:18; Yos 9:23akasema,

“Alaaniwe Kanaani!

Atakuwa mtumwa wa chini sana

kuliko watumwa wote kwa ndugu zake.”

269:26 Mwa 14:20; Kut 18:10; Za 7:17; 1Fal 9:21Pia akasema,

“Abarikiwe Bwana, Mungu wa Shemu!

Kanaani na awe mtumwa wa Shemu.

279:27 Mwa 10:2-5; Efe 2:13-14; 3:6Mungu na apanue mipaka ya Yafethi;

Yafethi na aishi katika mahema ya Shemu,

na Kanaani na awe mtumwa wake.”

28Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350. 299:29 Mwa 2:17Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa.

Swedish Contemporary Bible

1 Moseboken 9:1-29

Guds förbund med Noa

1Gud välsignade Noa och hans söner och sa till dem: ”Var fruktsamma, föröka er och uppfyll jorden!

2Alla vilda djur och fåglar, allt som rör sig på marken, och fiskar i haven kommer att vara rädda och känna skräck för er, för jag har ställt dem under er makt. 3Allt levande som rör sig ska vara er föda, liksom jag gett de gröna växterna. 4Men ät aldrig kött som har blod, dess liv,9:4 Hebreiskans nefesh, som ordagrant betyder själ, betecknar ofta liv. i sig. 5Ert eget blod9:5 Se not till 9:4. ska jag utkräva vedergällning för. Jag ska utkräva den av varje djur, och av människor ska jag utkräva en annan människas liv om någon dödar en annan.

6Den som utgjuter en annan människas blod,

hans blod ska utgjutas av en människa,

för Gud gjorde människan till sin avbild.

7Var fruktsamma, föröka er och bli en stor mängd på jorden!”

Regnbågen

8Sedan sa Gud till Noa och hans söner: 9”Jag upprättar nu ett förbund med er och era ättlingar 10och med alla levande varelser med er, alla fåglar och boskapsdjur och vilda djur, alla som kom ut ur arken. 11Jag ska upprätthålla mitt förbund med er och aldrig mer låta flodvattnen utplåna allt liv och fördärva jorden.”

12Gud sa: ”Jag ska sätta ett tecken på förbundet mellan mig och er och alla levande varelser som är med er för alla kommande generationer: 13min regnbåge sätter jag bland molnen. Den ska vara tecknet för förbundet mellan mig och jorden. 14När jag sänder moln över jorden, kommer regnbågen att synas bland molnen, 15och jag ska komma ihåg mitt förbund med er och med varje levande varelse och aldrig mer låta vattnet övertäcka jorden och utplåna allt liv. 16När regnbågen är i skyn, ska jag komma ihåg det eviga förbundet mellan Gud och alla slags levande varelser på jorden.” 17Och Gud sa till Noa: ”Detta är tecknet på det förbund jag instiftat mellan mig och allt levande på jorden.”

Förbannelse över Kanaan

18Noas tre söner som kom ut ur arken hette Sem, Ham och Jafet. (Ham var Kanaans far.) 19Alla folken på jorden härstammar från dessa Noas tre söner.

20Noa blev lantbrukare och planterade en vingård. 21En dag när han var drucken och låg naken i sitt tält, 22såg Ham, Kanaans far, sin far ligga där naken och gick ut och berättade det för sina två bröder. 23Då tog Sem och Jafet en mantel, höll den över sina axlar och gick in baklänges i tältet och täckte sin fars nakenhet, medan de tittade åt ett annat håll för att inte se sin far naken. 24När Noa vaknade ur sitt rus och fick reda på vad hans yngste son hade gjort honom, 25sa han:

”Kanaan ska vara förbannad

och vara den lägste av sina bröders slavar.”

26Sedan sa han:

”Välsignad är Herren, Sems Gud.

Må Kanaan vara deras slav.

27Må Gud låta Jafet växa och leva tillsammans med Sem

och Kanaan vara deras slav.”

28Noa levde ytterligare 350 år efter floden 29och var 950 år gammal när han dog.