Mwanzo 7 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 7:1-24

17:1 Mwa 6:18; 9:6; Mt 24:38; Ebr 11:7; Lk 17:26-27; 1Pet 3:20; 2Pet 2:5; Eze 14:14Ndipo Bwana akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki. 27:2 Mwa 8:20; Law 10:10; 11:1-47; Kum 14:3-20; Eze 44:23; Hag 2:12; Mdo 10:14-15Uchukue wanyama saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, na wanyama wawili wawili wa kila aina walio najisi wa kiume na wa kike. 37:3 Mwa 6:20Pia uchukue ndege saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ili kuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote. 47:4 Mwa 2:8; 6:7, 13; 1Fal 13:34; Yer 28:16; Hes 13:25; 1Sam 17:16; 1Fal 19:8; Kut 24:18; 32:1; 34:28; Kum 9:9, 11, 18, 25; 10:10; Ay 37:6; Mt 4:2Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”

57:5 Mwa 6:22Noa akafanya yote kama Bwana alivyomwamuru.

67:6 Mwa 5:32Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia. 77:7 Mwa 6:18Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika. 8Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo, 97:9 Mwa 6:22wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa. 10Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

117:11 Mwa 5:32; 8:2, 4, 14; Ay 28:11; Za 36:6; 42:7; 78:23; Mit 8:24; Isa 24:18; 51:10; Eze 26:19; 2; 2Fal 7:2; Mal 3:10Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa. 127:12 1Sam 12:17; Ay 28:26Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.

137:13 Mwa 8:16; 6:18; 1Pet 3:20; 2Pet 2:5Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina. 147:14 Mwa 1:11Nao walikuwa pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana na aina yake, wanyama wote wafugwao kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi kwa aina yake, na kila ndege kufuatana na aina yake, naam kila kiumbe chenye mabawa. 157:15 Mwa 6:19Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika safina. 167:16 Mwa 6:22Wanyama walioingia katika safina walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, ndipo Bwana akamfungia ndani.

17Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi. 18Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji. 197:19 Za 104:6Maji yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima yote mirefu chini ya mbingu yote. 207:20 Mwa 8:4-5; 2Pet 3:6Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.7:20 Dhiraa 15 ni sawa na mita 7. 217:21 Mwa 6:7, 13; 2Pet 3:6Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote. 227:22 Mwa 1:30Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa. 237:23 Ay 14:19; 21:18; 22:11, 16; Lk 17:27; Za 90:5; Isa 28:2; Mt 24:39; Ebr 11:7; 1Pet 3:20; 2Pet 2:5Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.

247:24 Mwa 8:3; Ay 12:15Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

创世记 7:1-24

洪水泛滥

1耶和华对挪亚说:“你和你一家都进入方舟,因为这个世代只有你在我眼中是义人。 2洁净的动物,你要每样带七公七母,不洁净的动物每样带一公一母, 3飞鸟每样带七公七母,叫它们以后可以在地上繁衍后代。 4因为七天之后,我要在地上降雨四十昼夜,毁灭我所造的一切生灵。” 5凡耶和华所吩咐的,挪亚都照办了。

6洪水泛滥的那一年,挪亚正好六百岁。 7挪亚与妻子、儿子们和儿媳们都进了方舟,躲避洪水。 8洁净的动物、不洁净的动物、飞禽和地上的一切爬虫, 9都一公一母成对地到挪亚那里,进了方舟,正如上帝对挪亚的吩咐。 10那七天过后,洪水在地上泛滥起来。

11挪亚六百岁那年的二月7:11 二月”按犹太历计算,本卷书所用月份都是按犹太历计算。十七日,所有深渊的泉源都裂开了,天上的水闸也打开了, 12地上倾盆大雨降了四十昼夜。 13那天,挪亚与他的儿子雅弗,还有挪亚的妻子和三个儿媳妇都进了方舟。 14所有的野兽、牲畜、地上的爬虫和飞鸟都按种类进入方舟。 15-16这些动物都一公一母成对地到挪亚那里,进入方舟,正如上帝对挪亚的吩咐。耶和华关上了方舟的门。

17洪水在地上泛滥了四十天,水不断地往上涨,把方舟漂了起来。 18洪水来势汹汹,淹没大地,方舟漂浮在水面上。 19水势越来越大,把天下各处的高山都淹没了。 20水淹没了群山,水面高出群山七米。 21世上所有的飞禽、走兽、牲畜、爬虫和人类都死了。 22在陆地上所有用鼻孔呼吸的生灵都死了。 23地上的人类、飞禽走兽和爬虫等一切生灵都被毁灭了,只剩下挪亚和跟他同在方舟里的生灵。 24洪水淹没大地一百五十天。