Mwanzo 7 – NEN & APSD-CEB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 7:1-24

17:1 Mwa 6:18; 9:6; Mt 24:38; Ebr 11:7; Lk 17:26-27; 1Pet 3:20; 2Pet 2:5; Eze 14:14Ndipo Bwana akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki. 27:2 Mwa 8:20; Law 10:10; 11:1-47; Kum 14:3-20; Eze 44:23; Hag 2:12; Mdo 10:14-15Uchukue wanyama saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, na wanyama wawili wawili wa kila aina walio najisi wa kiume na wa kike. 37:3 Mwa 6:20Pia uchukue ndege saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ili kuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote. 47:4 Mwa 2:8; 6:7, 13; 1Fal 13:34; Yer 28:16; Hes 13:25; 1Sam 17:16; 1Fal 19:8; Kut 24:18; 32:1; 34:28; Kum 9:9, 11, 18, 25; 10:10; Ay 37:6; Mt 4:2Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”

57:5 Mwa 6:22Noa akafanya yote kama Bwana alivyomwamuru.

67:6 Mwa 5:32Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia. 77:7 Mwa 6:18Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika. 8Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo, 97:9 Mwa 6:22wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa. 10Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

117:11 Mwa 5:32; 8:2, 4, 14; Ay 28:11; Za 36:6; 42:7; 78:23; Mit 8:24; Isa 24:18; 51:10; Eze 26:19; 2; 2Fal 7:2; Mal 3:10Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa. 127:12 1Sam 12:17; Ay 28:26Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.

137:13 Mwa 8:16; 6:18; 1Pet 3:20; 2Pet 2:5Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina. 147:14 Mwa 1:11Nao walikuwa pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana na aina yake, wanyama wote wafugwao kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi kwa aina yake, na kila ndege kufuatana na aina yake, naam kila kiumbe chenye mabawa. 157:15 Mwa 6:19Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika safina. 167:16 Mwa 6:22Wanyama walioingia katika safina walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, ndipo Bwana akamfungia ndani.

17Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi. 18Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji. 197:19 Za 104:6Maji yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima yote mirefu chini ya mbingu yote. 207:20 Mwa 8:4-5; 2Pet 3:6Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.7:20 Dhiraa 15 ni sawa na mita 7. 217:21 Mwa 6:7, 13; 2Pet 3:6Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote. 227:22 Mwa 1:30Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa. 237:23 Ay 14:19; 21:18; 22:11, 16; Lk 17:27; Za 90:5; Isa 28:2; Mt 24:39; Ebr 11:7; 1Pet 3:20; 2Pet 2:5Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.

247:24 Mwa 8:3; Ay 12:15Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.

Ang Pulong Sa Dios

Genesis 7:1-24

Ang Lunop

1Miingon ang Ginoo kang Noe, “Sulod na sa arka uban sa imong tibuok nga pamilya, tungod kay sa tanang mga tawo niining henerasyon, ikaw ra ang nakita ko nga matarong. 2Pagdala ug pito ka pares sa matag matang sa hinlo7:2 hinlo: Ang buot ipasabot, mahimo nga ihalad o, kan-on. nga mananap, apan usa lang ka pares sa matag matang sa dili hinlo nga mananap. 3Pagdala usab ug pito ka pares sa matag matang sa mananap nga nagalupad aron dili mawala kining matang sa mga mananap sa kalibotan. 4Kay pito ka adlaw gikan karon, paulanan ko ang tibuok kalibotan sulod sa 40 ka adlaw ug 40 ka gabii, aron papason gikan sa kalibotan ang tanan kong gibuhat nga may kinabuhi.” 5Gituman ni Noe ang tanan nga gisugo sa Ginoo kaniya.

6Nagaedad si Noe ug 600 ka tuig sa dihang miabot ang lunop sa kalibotan. 7Misulod siya sa arka uban ang iyang asawa ug mga anak uban ang ilang mga asawa aron dili sila mangamatay sa lunop. 8-9Sumala sa gisugo sa Dios, gipasulod ni Noe sa arka ang matag pares sa tanang matang sa mananap nga hinlo ug dili hinlo nga miduol kaniya. 10Ug paglabay sa pito ka adlaw, gilunopan ang kalibotan.

11Nagaedad niadto si Noe ug 600 ka tuig. Ug sa ika-17 nga adlaw sa ikaduha nga bulan, mibunok ang labihan gayod kakusog nga ulan ug miapaw ang tubig sa tanang tuboran. 12Nagaulan sa kalibotan sulod sa 40 ka adlaw ug 40 ka gabii. 13Sa adlaw mismo nga nagasugod ang ulan, misulod sa arka si Noe ug ang iyang asawa uban sa tulo nila ka mga anak nga sila si Shem, Ham, ug Jafet, ug ang ilang mga asawa. 14Kauban usab nila ang tanang matang sa mananap: ang nagalakaw, nagakamang, ug nagalupad. 15-16Sumala sa gisugo sa Dios kang Noe, gipasulod niya sa arka ang matag pares sa tanang matang sa mananap nga miduol kaniya. Pagkahuman, gisirad-an sa Ginoo ang arka.

17-18Nagpadayon pag-ulan sa kalibotan sulod sa 40 ka adlaw. Milawom ang tubig hangtod nga milutaw ang arka. 19Milawom pa gayod ang tubig hangtod nga nalapawan ang tanang tag-as nga mga bukid, 20ug milapaw pa gayod ang tubig ug mga 20 ka piye gikan sa tumoy sa kinatas-ang bukid. 21Busa nangamatay ang tanan nga may kinabuhi—ang mga mananap nga nagalupad, nagalakaw, nagakamang, ug ang tanang mga tawo. 22Nangamatay ang tanang may kinabuhi sa yuta. 23Gilaglag sa Ginoo ang tanang mga tawo ug ang tanang mga mananap sa kalibotan. Si Noe lang ug ang iyang mga kauban sa sulod sa arka ang nahibiling buhi. 24Gilunopan ang kalibotan sulod sa 150 ka adlaw.