Mwanzo 5 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 5:1-32

Kutoka Adamu Hadi Noa

(1 Nyakati 1:1-4)

15:1 Mwa 1:27; 2:4; 1Nya 1:1; Kol 3:10; Efe 4:24Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu.

Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu. 25:2 Mwa 1:27-28; Mt 19:4; Mk 10:6; Gal 3:28Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”

35:3 Mwa 1:26; 4:25; 1Kor 15:49; Lk 3:38Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi. 4Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 55:5 Mwa 2:17; 3:19; Ebr 9:27Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.

65:6 Mwa 4:26; Lk 3:38Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi. 7Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 8Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.

95:9 1Nya 1:2; Lk 3:37Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani. 10Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 11Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.

125:12 1Nya 1:2; Lk 3:37Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli. 13Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 14Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.

15Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi. 16Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 17Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.

185:18 1Nya 1:3; Lk 3:37; Yud 14Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki. 19Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 20Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.

215:21 1Nya 1:3; Lk 3:37Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela. 225:22 Mwa 6:9; 17:1; 24:40; 48:15; 2Fal 20:3; Za 116:9; Mal 2:6; Mik 6:8Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 23Enoki aliishi jumla ya miaka 365. 245:24 2Fal 2:1, 11; Za 49:15; 73:24; 89:48; Ebr 11:5Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.

255:25 1Nya 1:3; Lk 3:36Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki. 26Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 27Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.

28Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana. 295:29 1Nya 1:3; Lk 3:36; Mwa 3:17; Rum 8:20Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.” 30Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 31Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.

325:32 Mwa 7:6, 11; 8:13; 6:10; 9:18; 10:1; Lk 3:36; 1Nya 1:4; Isa 65:20Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.

Korean Living Bible

창세기 5:1-32

아담에서 노아까지

1이것은 아담 자손들의 족보이다. 하나님이 사람을 창조하실 때에 자기 모습 을 닮은

2남자와 여자를 창조하여 그들을 축복하시고 그들의 이름을 5:2 히 ‘아담’‘사람’ 이라고 부르셨다.

3아담은 130세에 자기를 닮은 아들을 낳아 그 이름을 셋이라고 지었다.

4그 후에도 그는 800년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

5930세에 죽었다.

6셋은 105세에 에노스를 낳았고

7그 후에도 807년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

8912세에 죽었다.

9에노스는 90세에 게난을 낳았고

10그 후에도 815년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

11905세에 죽었다.

12게난은 70세에 마할랄렐을 낳았고

13그 후에도 840년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

14910세에 죽었다.

15마할랄렐은 65세에 야렛을 낳았고

16그 후에도 830년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

17895세에 죽었다.

18야렛은 162세에 에녹을 낳았고

19그 후에도 800년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

20962세에 죽었다.

21에녹은 65세에 므두셀라를 낳았고

22-23그 후에도 300년 동안 하나님과 5:22-23 원문에는 ‘동행하며’깊은 교제를 나누며 자녀를 낳고 지내다가 365세까지 살았다.

24그가 하나님과 깊은 교제를 나누며 사는 중에 하나님이 그를 데려가시므로 그가 사라지고 말았다.

25므두셀라는 187세에 라멕을 낳았고

26그 후에도 782년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

27969세에 죽었다.

28라멕이 182세에 아들을 낳아

29그 이름을 5:29 ‘위로함’ 이라는뜻.‘노아’ 라 짓고 “여호와께서 저주한 땅에서 수고하며 고되게 일하는 우리에게 이 아들이 위안을 줄 것이다” 하였다.

30라멕은 노아를 낳은 후에도 595년을 더 살며 자녀를 낳고 지내다가

31777세에 죽었다.

32그리고 노아는 500세가 지난 후에 셈과 함과 야벳을 낳았다.