Mwanzo 5 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 5:1-32

Kutoka Adamu Hadi Noa

(1 Nyakati 1:1-4)

15:1 Mwa 1:27; 2:4; 1Nya 1:1; Kol 3:10; Efe 4:24Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu.

Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu. 25:2 Mwa 1:27-28; Mt 19:4; Mk 10:6; Gal 3:28Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”

35:3 Mwa 1:26; 4:25; 1Kor 15:49; Lk 3:38Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi. 4Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 55:5 Mwa 2:17; 3:19; Ebr 9:27Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.

65:6 Mwa 4:26; Lk 3:38Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi. 7Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 8Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.

95:9 1Nya 1:2; Lk 3:37Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani. 10Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 11Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.

125:12 1Nya 1:2; Lk 3:37Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli. 13Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 14Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.

15Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi. 16Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 17Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.

185:18 1Nya 1:3; Lk 3:37; Yud 14Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki. 19Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 20Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.

215:21 1Nya 1:3; Lk 3:37Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela. 225:22 Mwa 6:9; 17:1; 24:40; 48:15; 2Fal 20:3; Za 116:9; Mal 2:6; Mik 6:8Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 23Enoki aliishi jumla ya miaka 365. 245:24 2Fal 2:1, 11; Za 49:15; 73:24; 89:48; Ebr 11:5Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.

255:25 1Nya 1:3; Lk 3:36Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki. 26Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 27Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.

28Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana. 295:29 1Nya 1:3; Lk 3:36; Mwa 3:17; Rum 8:20Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.” 30Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. 31Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.

325:32 Mwa 7:6, 11; 8:13; 6:10; 9:18; 10:1; Lk 3:36; 1Nya 1:4; Isa 65:20Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

創世記 5:1-32

亞當的後代

1以下是關於亞當後代的記載。

上帝造人的時候,是照祂自己的形像造的。 2祂造了男人和女人,又賜福給他們,在創造他們的那日稱他們為「人」。 3亞當一百三十歲生了一子,長相酷似自己,給他取名叫塞特4亞當生了塞特以後,又活了八百年,生兒育女, 5九百三十歲去世。

6塞特一百零五歲生以挪士7之後又活了八百零七年,生兒育女, 8九百一十二歲去世。

9以挪士九十歲生該南10之後又活了八百一十五年,生兒育女, 11九百零五歲去世。

12該南七十歲生瑪勒列13之後又活了八百四十年,生兒育女, 14九百一十歲去世。

15瑪勒列六十五歲生雅列16之後又活了八百三十年,生兒育女, 17八百九十五歲去世。

18雅列一百六十二歲生以諾19之後又活了八百年,生兒育女, 20九百六十二歲去世。

21以諾六十五歲生瑪土撒拉22之後與上帝親密同行三百年,生兒育女, 23共活了三百六十五年。 24以諾與上帝親密同行,後來被上帝接去,不在世上了。

25瑪土撒拉一百八十七歲生拉麥26之後又活了七百八十二年,生兒育女, 27九百六十九歲去世。

28拉麥一百八十二歲生了一個兒子, 29取名叫挪亞5·29 希伯來文中「挪亞」與「安慰」諧音。,他說:「耶和華咒詛了大地,以致我們艱辛勞苦,這孩子必使我們從艱辛勞苦中得安慰。」 30拉麥挪亞之後,又活了五百九十五年,生兒育女, 31七百七十七歲去世。

32挪亞五百歲生雅弗