Mwanzo 46 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 46:1-34

Yakobo Aenda Misri

1Hivyo Israeli akaondoka na vyote vilivyokuwa mali yake, naye alipofika Beer-Sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki baba yake.

246:2 Mwa 15:1Mungu akanena na Israeli katika maono usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!”

Akajibu, “Mimi hapa.”

346:3 Mwa 12:2; 28:13Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa. 446:4 Mwa 5:16Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”

546:5 Mwa 45:19Ndipo Yakobo akaondoka Beer-Sheba nao wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea kumsafirisha. 646:6 Kum 26:5; Mdo 7:15Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri. 7Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.

8Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli (Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri:

Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.

9Wana wa Reubeni ni:

Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

1046:10 Kut 6:15Wana wa Simeoni ni:

Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

11Wana wa Lawi ni:

Gershoni, Kohathi na Merari.

1246:12 1Nya 2:5; Mt 1:3Wana wa Yuda ni:

Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera (lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani).

Wana wa Peresi ni:

Hesroni na Hamuli.

13Wana wa Isakari ni:

Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

1446:14 Mwa 30:20Wana wa Zabuloni ni:

Seredi, Eloni na Yaleeli.

1546:15 Mwa 30:21Hawa ndio wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan-Aramu pamoja na binti yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.

1646:16 Hes 26:15Wana wa Gadi ni:

Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

1746:17 Mwa 30:13Wana wa Asheri ni:

Imna, Ishva, Ishvi na Beria.

Dada yao alikuwa Sera.

Wana wa Beria ni:

Heberi na Malkieli.

18Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.

19Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni:

Yosefu na Benyamini. 2046:20 Mwa 41:51Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni,46:20 Yaani Heliopoli (Mji wa Jua). alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.

2146:21 1Nya 7:6-12Wana wa Benyamini ni:

Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

22Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.

23Mwana wa Dani ni:

Hushimu.

2446:24 Mwa 30:8Wana wa Naftali ni:

Yaseeli, Guni, Yeseri na Shilemu.

2546:25 Mwa 30:8Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.

2646:26 Kut 1:5; Kum 10:22Wote waliokwenda Misri pamoja na Yakobo, waliokuwa wazao wake hasa pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu sitini na sita. 2746:27 Mdo 7:14Pamoja na wana wawili waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa sabini.

2846:28 Mwa 45:10Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aende kwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni. Walipofika nchi ya Gosheni, 2946:29 Mwa 29:11gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.

3046:30 Mwa 44:28Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”

3146:31 Mwa 45:10Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumbani mwa baba yake, “Nitapanda kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na watu wa nyumbani mwa baba yangu, waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, wamekuja kwangu. 3246:32 Mwa 42:20Watu hao ni wachunga mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na makundi ya kondoo, mbuzi na ngʼombe pamoja na kila kitu walicho nacho.’ 3346:33 Mwa 47:3Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’ 3446:34 Mwa 43:32Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”

Persian Contemporary Bible

پيدايش 46:1-34

يعقوب به مصر می‌رود

1پس يعقوب با هر چه كه داشت كوچ كرده، به بئرشبع آمد و در آنجا برای خدای پدرش اسحاق، قربانیها تقديم كرد. 2شب هنگام، خدا در رويا به وی گفت: «يعقوب! يعقوب!»

عرض كرد: «بلی، خداوندا!»

3گفت: «من خدا هستم، خدای پدرت! از رفتن به مصر نترس، زيرا در آنجا از تو قوم بزرگی به وجود خواهم آورد. 4من با تو به مصر خواهم آمد، اما نسل تو را از آنجا به سرزمين خودت باز خواهم گردانيد. ليكن تو در مصر خواهی مُرد و يوسف در كنارت خواهد بود.»

5يعقوب از بئرشبع كوچ كرد و پسرانش او را همراه زنان و فرزندانشان با عرابه‌هايی كه فرعون به ايشان داده بود، به مصر بردند. 6آنها گله و رمه و تمامی اموالی را كه در كنعان اندوخته بودند، با خود به مصر آوردند. 7يعقوب با پسران و دختران و نوه‌های پسری و دختری خود و تمام خويشانش به مصر آمد.

8‏-14اسامی پسران و نوه‌های يعقوب كه با وی به مصر آمدند از اين قرار است:

رئوبين پسر ارشد او و پسرانش: حنوک، فلو، حصرون و كرمی.

شمعون و پسرانش: يموئيل، يامين، اوحد، ياكين، صوحر و شائول. (مادر شائول كنعانی بود.)

لاوی و پسرانش: جرشون، قهات و مراری.

يهودا و پسرانش: عير، اونان، شيله، فارص و زارح. (اما عير و اونان پيش از رفتن يعقوب به مصر در كنعان مردند.) پسران فارص، حصرون و حامول بودند.

يساكار و پسرانش: تولاع، فوّه، يوب و شمرون.

زبولون و پسرانش: سارد، ايلون و ياحل‌ئيل.

15تمامی اعقاب يعقوب و ليه كه در بين‌النهرين متولد شده بودند، با محاسبه دخترشان دينه، جمعاً سی و سه نفر بودند.

16جاد و پسرانش: صفيون، حجّی، شونی، اصبون، عيری، ارودی و ارئيلی.

17اشير و پسرانش: يمنه، يشوه، يشوی، بريعه و دخترش سارح. پسران بريعه حابر و ملكی‌ئيل بودند.

18اين شانزده نفر اعقاب يعقوب و زلفه بودند. زلفه كنيزی بود كه لابان به دخترش ليه داده بود.

19‏-21راحيل، زن يعقوب، دو پسر زاييد به نامهای يوسف و بنيامين.

پسران يوسف كه در مصر متولد شدند: منسی و افرايم. (مادرشان اسنات، دختر فوطی فارع، كاهن اون بود.)

پسران بنيامين: بالع، باكر، اشبيل، جيرا، نعمان، ايحی، رش، مفيّم، حفيّم و آرد.

22اين چهارده نفر اعقاب يعقوب و راحيل بودند.

23‏-24دان و پسرش: حوشيم.

نفتالی و پسرانش: يحص‌ئيل، جونی، يصر و شليّم.

25اين هفت نفر اعقاب يعقوب و بلهه بودند. بلهه كنيزی بود كه لابان به دخترش راحيل داده بود.

26پس تعداد افرادی كه از نسل يعقوب همراه او به مصر رفتند (غير از زنان پسرانش) شصت و شش نفر بود. 27با افزودن دو پسر يوسف، جمع افراد خانوادهٔ يعقوب كه در مصر بودند، هفتاد نفر می‌شد.

28يعقوب، پسرش يهودا را جلوتر نزد يوسف فرستاد تا از او بپرسد كه از چه راهی بايد به زمين جوشن رفت. وقتی كه به جوشن رسيدند، 29يوسف عرابهٔ خود را حاضر كرد و برای ديدن پدرش به جوشن رفت. وقتی در آنجا پدرش را ديد، او را در آغوش گرفته، مدتی گريست.

30آنگاه يعقوب به يوسف گفت: «حال، مرا غم مُردن نيست، زيرا بار ديگر تو را ديدم و می‌دانم كه زنده‌ای.» 31يوسف به برادرانش و تمامی افراد خانواده آنها گفت: «حال می‌روم تا به فرعون خبر دهم كه شما از كنعان به نزد من آمده‌ايد. 32به او خواهم گفت كه شما چوپان هستيد و تمامی گله‌ها و رمه‌ها و هر آنچه را كه داشته‌ايد همراه خويش آورده‌ايد. 33پس اگر فرعون از شما بپرسد كه شغل شما چيست، 34به او بگوييد كه از ابتدای جوانی تا به حال به شغل چوپانی و گله‌داری مشغول بوده‌ايد و اين كار را از پدران خود به ارث برده‌ايد. اگر چنين به فرعون پاسخ دهيد او به شما اجازه خواهد داد تا در جوشن ساكن شويد، چون مردم ساير نقاط مصر از چوپانان نفرت دارند.»