Wazao Wa Esau
(1 Nyakati 1:34-42)
136:1 Mwa 2:4; 25:30Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
236:2 Mwa 26:34; 28:8-9Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi, 3pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
436:4 1Nya 1:35Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli, 536:5 1Nya 1:35Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
636:6 Mwa 12:5; 1Nya 1:35Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake. 736:7 Mwa 13:6; 27:39Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao. 836:8 Kum 2:4Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
936:9 Mwa 2:4Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
1036:10 Mwa 36:3Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:
Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
1136:11 1Nya 1:45Wana wa Elifazi ni:
Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
1236:12 Kut 17:8, 16; 1Sam 15:2Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
1336:13 Mwa 36:3Wana wa Reueli ni:
Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
1436:14 Mwa 36:2Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni:
Yeushi, Yalamu na Kora.
1536:15 Mwa 36:19-40; Kut 15:15Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau:
Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni:
Temani, Omari, Sefo, Kenazi, 1636:16 Mwa 32:3Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
1736:17 1Nya 1:37Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni:
Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
1836:18 Mwa 36:2Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni:
Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
1936:19 1Nya 1:35Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
2036:20 Mwa 14:6Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile:
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 2136:21 Mwa 36:30Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
22Wana wa Lotani walikuwa:
Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
23Wana wa Shobali walikuwa:
Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
2436:24 Mwa 36:2Wana wa Sibeoni walikuwa:
Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
2536:25 Mwa 36:2Watoto wa Ana walikuwa:
Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
26Wana wa Dishoni walikuwa:
Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
27Wana wa Eseri walikuwa:
Bilhani, Zaavani na Akani.
28Wana wa Dishani walikuwa:
Usi na Arani.
2936:29 Mwa 36:20Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 3036:30 Mwa 36:21Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Watawala Wa Edomu
(1 Nyakati 1:43-54)
3136:31 Mwa 17:6Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
32Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
3336:33 Isa 34:6Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
3436:34 Yer 49:7Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
3536:35 Rut 1:1, 6; Mwa 19:37Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
36Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
3736:37 Mwa 26:22Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
38Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
39Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
4036:40 Mwa 36:15Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao:
Timna, Alva, Yethethi, 41Oholibama, Ela, Pinoni, 42Kenazi, Temani, Mibsari, 4336:43 Mwa 36:9Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki.
Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
以掃的後代
1以下是以掃的後代,即以東的後代。
2以掃娶了迦南女子為妻,她們是赫人以倫的女兒亞大和希未人祭便的孫女、亞拿的女兒阿何利巴瑪。 3他還娶了以實瑪利的女兒、尼拜約的妹妹巴實抹。 4亞大給以掃生了以利法,巴實抹生了流珥, 5阿何利巴瑪生了耶烏施、雅蘭和可拉。他們都是以掃的兒子,是在迦南出生的。
6以掃帶著他在迦南所得的妻子、兒女和家中所有的人員,以及所有的牲畜和財產離開雅各,遷往別處。 7以掃和雅各兩家的財產和牲畜太多,那地方不夠他們住, 8於是以掃,即以東,搬到了西珥山居住。
9以掃是西珥山區以東人的祖先,以下是他的子孫。
10以掃的妻子亞大生了以利法,巴實抹生了流珥。 11以利法的兒子是提幔、阿抹、洗玻、迦坦、基納斯, 12以利法的妾亭納為他生了亞瑪力,他們都是以掃妻子亞大的子孫。 13流珥的兒子是拿哈、謝拉、沙瑪和米撒,他們都是以掃妻子巴實抹的子孫。 14以掃的妻子阿何利巴瑪是祭便的孫女、亞拿的女兒,她給以掃生了耶烏施、雅蘭和可拉。
15以下是以掃子孫中的族長。
以掃的長子以利法的子孫中有提幔族長、阿抹族長、洗玻族長、基納斯族長、 16可拉族長、迦坦族長、亞瑪力族長,他們都是以利法在以東的後代,即亞大的子孫。 17以掃的兒子流珥的子孫中有拿哈族長、謝拉族長、沙瑪族長、米撒族長,他們都是流珥在以東的後代,即以掃的妻子巴實抹的子孫。 18以掃的妻子阿何利巴瑪的子孫中有耶烏施族長、雅蘭族長和可拉族長。這些都是以掃的妻子、亞拿的女兒阿何利巴瑪子孫中的族長。
19這些族長都是以掃的子孫,以掃又名以東。
20以下是住在以東境內何利人西珥的子孫:羅坍、朔巴、祭便、亞拿、 21底順、以察、底珊。他們都是以東境內何利人西珥的子孫中的族長。
22羅坍的兒子是何利和希幔,羅坍的妹妹是亭納。 23朔巴的兒子是亞勒文、瑪拿轄、以巴錄、示玻和阿南。 24祭便的兒子是亞雅和亞拿,在曠野為父親放驢時發現溫泉的就是亞拿。 25亞拿的兒子名叫底順、女兒名叫阿何利巴瑪。 26底順的兒子是欣但、伊是班、益蘭和基蘭。 27以察的兒子是辟罕、撒番和亞干。 28底珊的兒子是烏斯和亞蘭。
29以下是何利人的族長:羅坍族長、朔巴族長、祭便族長、亞拿族長、 30底順族長、以察族長、底珊族長。他們是西珥地區何利人各宗族的族長。
31以色列人還沒有君王統治之前,在以東做王的人如下: 32比珥的兒子比拉在以東做王,定都亭哈巴。 33比拉死後,波斯拉人謝拉的兒子約巴繼位。 34約巴死後,提幔地區的戶珊繼位。 35戶珊死後,比達之子哈達繼位,定都亞未得,他曾在摩押地區擊敗米甸人。 36哈達死後,瑪士利加人桑拉繼位。 37桑拉死後,大河邊的利河伯人掃羅繼位。 38掃羅死後,亞革波的兒子巴勒·哈南繼位。 39巴勒·哈南死後,哈達繼位,定都巴烏,他的妻子名叫米希她別,是米·薩合的孫女、瑪特列的女兒。
40以下是按宗族在各地區做族長的以掃的後代:亭納、亞勒瓦、耶帖、 41阿何利巴瑪、以拉、比嫩、 42基納斯、提幔、米比薩、 43瑪基疊、以蘭。這些人在所住的以東各地做族長。以掃是以東人的始祖。