Mwanzo 36 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 36:1-43

Wazao Wa Esau

(1 Nyakati 1:34-42)

136:1 Mwa 2:4; 25:30Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).

236:2 Mwa 26:34; 28:8-9Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi, 3pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

436:4 1Nya 1:35Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli, 536:5 1Nya 1:35Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.

636:6 Mwa 12:5; 1Nya 1:35Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake. 736:7 Mwa 13:6; 27:39Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao. 836:8 Kum 2:4Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.

936:9 Mwa 2:4Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

1036:10 Mwa 36:3Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:

Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

1136:11 1Nya 1:45Wana wa Elifazi ni:

Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

1236:12 Kut 17:8, 16; 1Sam 15:2Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.

1336:13 Mwa 36:3Wana wa Reueli ni:

Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

1436:14 Mwa 36:2Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni:

Yeushi, Yalamu na Kora.

1536:15 Mwa 36:19-40; Kut 15:15Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau:

Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni:

Temani, Omari, Sefo, Kenazi, 1636:16 Mwa 32:3Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.

1736:17 1Nya 1:37Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni:

Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

1836:18 Mwa 36:2Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni:

Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.

1936:19 1Nya 1:35Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.

2036:20 Mwa 14:6Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 2136:21 Mwa 36:30Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.

22Wana wa Lotani walikuwa:

Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.

23Wana wa Shobali walikuwa:

Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

2436:24 Mwa 36:2Wana wa Sibeoni walikuwa:

Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.

2536:25 Mwa 36:2Watoto wa Ana walikuwa:

Dishoni na Oholibama binti wa Ana.

26Wana wa Dishoni walikuwa:

Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

27Wana wa Eseri walikuwa:

Bilhani, Zaavani na Akani.

28Wana wa Dishani walikuwa:

Usi na Arani.

2936:29 Mwa 36:20Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 3036:30 Mwa 36:21Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.

Watawala Wa Edomu

(1 Nyakati 1:43-54)

3136:31 Mwa 17:6Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:

32Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

3336:33 Isa 34:6Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

3436:34 Yer 49:7Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

3536:35 Rut 1:1, 6; Mwa 19:37Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

36Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

3736:37 Mwa 26:22Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

38Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

39Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.

4036:40 Mwa 36:15Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao:

Timna, Alva, Yethethi, 41Oholibama, Ela, Pinoni, 42Kenazi, Temani, Mibsari, 4336:43 Mwa 36:9Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki.

Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.

Священное Писание

Начало 36:1-43

Потомки Есава

(1 Лет. 1:35-42)

1Вот родословие Есава (он же Эдом).

2Есав взял себе жён из Ханаана: Аду, дочь хетта Елона, Оливему, дочь Анаха и внучку хивея Цивеона, 3а также Басемафу, дочь Исмаила, сестру Навайота.

4Ада родила Есаву Елифаза, Басемафа родила Рагуила, 5Оливема родила Иеуша, Иалама и Кораха. Это сыновья Есава, рождённые ему в Ханаане.

6Есав взял своих жён, сыновей, дочерей и всех домашних, взял стада, и скот и всё имущество, которое он приобрёл в Ханаане, и перебрался в другую землю, на некоторое расстояние от своего брата Якуба, 7потому что у них было слишком много добра, чтобы им оставаться вместе. У них было столько скота, что земля, где они жили пришельцами, не могла прокормить их обоих. 8Так Есав (он же Эдом) поселился в нагорьях Сеира.

9Вот родословие Есава, отца эдомитян, жившего в нагорьях Сеира.

10Вот имена сыновей Есава:

Елифаз, сын Есава от его жены Ады, Рагуил, сын Есава от его жены Басемафы.

11Сыновья Елифаза:

Теман, Омар, Цефо, Гатам и Кеназ.

12У сына Есава Елифаза была наложница по имени Тимна, которая родила ему Амалика. Это внуки жены Есава Ады.

13Сыновья Рагуила:

Нахат, Зерах, Шамма и Миза. Это внуки жены Есава Басемафы.

14Сыновья Есава от его жены Оливемы, дочери Анаха и внучки Цивеона, которых она родила Есаву:

Иеуш, Иалам и Корах.

15Вот вожди среди потомков Есава.

Сыновья Елифаза, первенца Есава:

вожди Теман, Омар, Цефо, Кеназ, 16Корах, Гатам и Амалик. Это вожди, произошедшие от Елифаза в Эдоме; они были внуками Ады.

17Сыновья Рагуила, сына Есава:

вожди Нахат, Зерах, Шамма и Миза. Это вожди, произошедшие от Рагуила в Эдоме; они были внуками жены Есава Басемафы.

18Сыновья Есава от его жены Оливемы:

вожди Иеуш, Иалам и Корах. Это вожди, произошедшие от жены Есава Оливемы, дочери Анаха.

19Вот сыновья Есава (он же Эдом) и вот их вожди.

20Вот сыновья Сеира хорреянина, жившие в той области:

Лотан, Шовал, Цивеон, Анах, 21Дишон, Ецер и Дишан. Эти сыновья Сеира в Эдоме были вождями хорреев.

22Сыновья Лотана:

Хори и Гомам. Тимна была сестрой Лотана.

23Сыновья Шовала:

Алван, Манахат, Евал, Шефо и Онам.

24Сыновья Цивеона:

Аях и Анах. Это тот Анах, который открыл в пустыне горячие ключи, когда пас ослов своего отца Цивеона.

25Дети Анаха:

Дишон и Оливема, дочь Анаха.

26Сыновья Дишона:

Хемдан, Эшбан, Ифран и Херан.

27Сыновья Ецера:

Билган, Зааван и Акан.

28Сыновья Дишана:

Уц и Аран.

29Вот вожди хорреев:

Лотан, Шовал, Цивеон, Анах, 30Дишон, Ецер и Дишан. Они были вождями хорреев по родам их в земле Сеир.

Правители Эдома

(1 Лет. 1:43-54)

31Вот цари, которые правили в Эдоме ещё до того, как цари появились в Исраиле:

32Бела, сын Беора, был царём в Эдоме. Его город назывался Динхава.

33После смерти Белы царём вместо него стал Иовав, сын Зераха, из Боцры.

34После смерти Иовава царём вместо него стал Хушам из земли теманитян.

35После смерти Хушама царём вместо него стал Хадад, сын Бедада, который разбил мадианитян в земле Моава. Его город назывался Авит.

36После смерти Хадада царём вместо него стал Самла из Масреки.

37После смерти Самлы царём вместо него стал Шаул из Реховота, что у реки36:37 Река – по-видимому, Евфрат..

38После смерти Шаула царём вместо него стал Баал-Ханан, сын Ахбора.

39После смерти Баал-Ханана, сына Ахбора, царём вместо него стал Хадад. Его город назывался Пау, а имя его жены было Мехетавиль; она была дочерью Матреды, внучкой Мезахава.

40Вот имена вождей – потомков Есава, по их кланам и землям:

Тимна, Алва, Иетет, 41Оливема, Ела, Пинон, 42Кеназ, Теман, Мивцар, 43Магдиил и Ирам.

Это вожди Эдома, по их поселениям в земле, которой они владеют.

Это был Есав – отец эдомитян.