Mwanzo 34 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 34:1-31

Dina Na Washekemu

134:1 Mwa 30:21Basi Dina, binti wa Yakobo aliyezaliwa na Lea, akatoka nje kuwatembelea wanawake wa nchi ile. 234:2 Mwa 33:19Ikawa Shekemu mwana wa Hamori Mhivi, mtawala wa eneo lile alipomwona, akamchukua na kumnajisi. 3Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza. 434:4 Mwa 21:21Shekemu akamwambia baba yake Hamori, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”

534:5 Mwa 34:2-3Yakobo aliposikia kwamba binti yake Dina amenajisiwa, wanawe walikuwa mashambani wakichunga mifugo yake, kwa hiyo akalinyamazia jambo hilo mpaka waliporudi nyumbani.

634:6 Amu 14:2-5Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo. 734:7 Kum 22:21; Amu 20:6Basi wana wa Yakobo walikuwa wamerudi kutoka mashambani mara tu waliposikia kilichotokea. Walikuwa wamejawa na huzuni na ghadhabu, kwa sababu Shekemu alikuwa amefanya jambo la aibu katika Israeli kwa kukutana kimwili na binti wa Yakobo, kitu ambacho hakingepasa kufanyika.

834:8 Mwa 21:21Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu. Tafadhali mpeni awe mke wake. 934:9 Kum 7:3Oaneni na sisi, tupeni binti zenu, nanyi mchukue binti zetu. 1034:10 Mwa 47:6, 27; 13:9Mwaweza kuishi katikati yetu, nchi ni wazi kwenu. Ishini ndani yake, fanyeni biashara humu na mjipatie mali.”

1134:11 Mwa 32:5Kisha Shekemu akamwambia baba yake Dina pamoja na ndugu zake, “Na nipate kibali machoni penu, nami nitawapa chochote mtakachosema. 1234:12 Kum 22:29; 1Sam 18:25Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”

1334:13 Mwa 27:36Kwa sababu ndugu yao Dina alikuwa amenajisiwa, wana wa Yakobo wakajibu kwa udanganyifu walipozungumza na Shekemu pamoja na baba yake Hamori. 1434:14 Mwa 17:14; Isa 31:4Wakawaambia, “Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezi kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye hakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu. 1534:15 1Sam 11:2; Kut 12:48Tutakuruhusu kwa sharti moja tu, kwamba mtakuwa kama sisi kwa kuwatahiri wanaume wenu wote. 1634:16 Mwa 33:19Kisha tutawapa binti zetu na sisi tutawachukua binti zenu. Tutaishi kwenu na tutakuwa watu wamoja nanyi. 17Lakini mkikataa kutahiriwa, tutamchukua ndugu yetu na kuondoka.”

18Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe. 19Kijana mdogo, ambaye alikuwa ameheshimiwa kati ya wote walioishi nyumbani mwa baba yake, hakupoteza muda kufanya waliyoyasema, kwa sababu alikuwa amependezwa sana na binti Yakobo. 2034:20 Mwa 18:1Kwa hiyo Hamori na Shekemu mwanawe walikwenda kwenye lango la mji kuzungumza na wenzao wa mjini. 2134:21 Mwa 33:19Wakasema, “Hawa watu ni marafiki kwetu, tuwaruhusu waishi katika nchi yetu na kufanya biashara ndani yake, nchi ina nafasi tele kwa ajili yao. Tunaweza kuoa binti zao. Nao wanaweza kuoa binti zetu. 2234:22 Mwa 34:15Lakini watu hao watakuwa tayari kukubali kuishi nasi kama watu wamoja nao kwa sharti kwamba wanaume wetu watahiriwe, kama wao. 2334:23 Mwa 34:28Je, si mifugo yao, mali zao na wanyama wao wengine wote watakuwa wetu? Basi na tuwape kibali, nao wataishi miongoni mwetu.”

2434:24 Mwa 18:1Wanaume wote waliotoka nje ya lango la mji walikubaliana na Hamori na Shekemu mwanawe na kila mwanaume katika mji ule akatahiriwa.

2534:25 Mwa 49:5; 49:7Baada ya siku tatu, wakati wote wakiwa wangali katika maumivu, wana wawili wa Yakobo, yaani Simeoni na Lawi, ndugu zake Dina, wakachukua panga zao na kuvamia mji ambao haukutazamia vita, wakaua kila mwanaume. 26Wakawaua Hamori na Shekemu mwanawe kwa upanga kisha wakamchukua Dina kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka. 27Wana wa Yakobo walipita juu ya maiti katika kuteka nyara mji ule ambamo dada yao alikuwa amenajisiwa. 28Wakachukua kondoo na mbuzi, ngʼombe, punda na kila kitu kilichokuwa chao ndani ya mji ule na mashambani. 29Walichukua utajiri wao wote pamoja na wanawake na watoto wao, wakachukua nyara kila kitu ndani ya nyumba zao.

30Kisha Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, “Mmeleta taabu kwangu kwa kunifanya ninuke kama uvundo kwa Wakanaani na Waperizi, watu waishio katika nchi hii. Sisi ni wachache, kama wakiunganisha nguvu zao dhidi yangu na kunishambulia, mimi na nyumba yangu tutaangamizwa.”

31Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

Священное Писание

Начало 34:1-31

Месть жителям Шехема за насилие над Диной

1Дина, дочь Лии от Якуба, пошла навестить местных женщин. 2Когда Шехем, сын хивея Еммора, правителя той области, увидел её, то схватил, лёг с ней и обесчестил её. 3Сердце его прилепилось к Дине, дочери Якуба, он полюбил её и говорил с ней нежно. 4И Шехем сказал своему отцу Еммору:

– Возьми мне эту девушку в жёны.

5Когда Якуб услышал, что его дочь Дина обесчещена, его сыновья были в поле со стадами, и он молчал об этом, пока они не вернулись домой.

6Еммор, отец Шехема, пришёл переговорить с Якубом. 7Сыновья Якуба вернулись с полей, как только услышали о том, что случилось. Они были полны горя и ярости, потому что Шехем сделал постыдное дело Исраилу, когда лёг с дочерью Якуба, а такое недопустимо.

8Еммор сказал им:

– Мой сын Шехем всем сердцем привязался к вашей дочери. Прошу вас, отдайте её ему в жёны. 9Заключайте с нами браки: отдавайте нам своих дочерей и берите за себя наших. 10Вы можете селиться среди нас, – земля наша перед вами: живите в ней, торгуйте и приобретайте имущество.

11Шехем сказал отцу и братьям Дины:

– Я дам вам всё, что вы скажете, да найду я расположение в ваших глазах! 12Назначьте за невесту любой выкуп и подарки, и я заплачу, только отдайте мне её в жёны.

13Тогда сыновья Якуба ответили Шехему и его отцу Еммору лживо, потому что он обесчестил их сестру Дину. 14Они сказали им:

– Мы не можем сделать такого: отдать нашу сестру необрезанному мужчине было бы для нас позором. 15Мы дадим своё согласие лишь при одном условии: если вы станете как мы, и сделаете всем вашим мужчинам обрезание. 16Тогда мы будем отдавать вам наших дочерей и брать за себя ваших. Мы поселимся среди вас и станем с вами одним народом. 17Но если вы не согласитесь сделать обрезание, мы заберём сестру и уйдём.

18Их слова пришлись по сердцу Еммору и его сыну Шехему. 19Молодой человек без промедления исполнил то, что они сказали, потому что очень любил дочь Якуба, – а он, Шехем, был самым уважаемым в доме своего отца. 20Еммор и его сын Шехем пришли к воротам города34:20 Ворота города были центром всей общественной жизни, около них проходили и судебные разбирательства. и обратились к жителям.

21– Эти люди дружелюбны к нам, – сказали они. – Пусть живут в нашей земле и торгуют в ней: на этой земле для них достаточно места. Мы будем жениться на их дочерях, и они пусть женятся на наших. 22Но лишь при одном условии согласятся эти люди жить с нами как один народ: если наши мужчины, как и они сами, будут обрезаны. 23Не станут ли тогда их стада, имущество и весь их скот нашими? Давайте же выполним их условие, и они поселятся среди нас.

24Все, кто собирались у городских ворот, согласились с Еммором и его сыном Шехемом, и все мужчины в городе были обрезаны.

25Три дня спустя, когда они ещё страдали от боли, двое сыновей Якуба – Шимон и Леви, братья Дины, – взяли мечи, неожиданно напали на город и убили всех мужчин. 26Они убили мечом Еммора и его сына Шехема, забрали Дину из дома Шехема и ушли. 27Сыновья Якуба вошли к убитым и разграбили город, где была обесчещена их сестра. 28Они захватили стада крупного и мелкого скота, ослов – всё, что было в городе и в полях; 29и всё их богатство, и детей, и женщин, и всё, что было в домах, они захватили себе и взяли в добычу.

30Тогда Якуб сказал Шимону и Леви:

– Вы навлекли на меня беду, сделали меня ненавистным для жителей этой земли, хананеев и перизеев. Нас не так уж и много, и если они объединят силы и нападут на меня, я и мой дом будем уничтожены.

31Но они ответили:

– Разве можно поступать с нашей сестрой, как с блудницей?