Kifo Cha Abrahamu
1Abrahamu alioa mke mwingine, ambaye jina lake aliitwa Ketura. 225:2 Yer 25:25; Mwa 36:35; 37:28, 36; Kut 2:15; Hes 22:4; 25:6; Amu 6:1-3; 8:22-24; 9:17; Za 83:9; Isa 9:4; 10:26; Hab 3:7; Ay 2:11Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. 3Yokshani alikuwa baba wa Sheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwa Waashuri, Waletushi na Waleumi. 425:4 Isa 60:6Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.
525:5 Mwa 24:36Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu alichokuwa nacho. 625:6 Mwa 22:24; 21:10; Amu 6:3, 33; 1Fal 4:30; Eze 25:4Lakini Abrahamu alipokuwa bado hai, akawapa watoto wa masuria wake zawadi, kisha akawaondoa waende kuishi pande za mashariki mbali na mwanawe Isaki.
725:7 Mwa 12:4; 35:28; 47:9, 28; 50:22; Ay 42:16Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka 175. 825:8 Mwa 35:29; 49:29; Hes 20:24; 31:2; Kum 31:14; 32:50; 34:5Ndipo Abrahamu akapumua pumzi ya mwisho na akafa akiwa mwenye umri mzuri, mzee aliyeshiba siku, naye akakusanywa pamoja na watu wake. 925:9 Mwa 35:29; 47:30; 49:31; 23:9; 13:18; 50:13Watoto wake Isaki na Ishmaeli wakamzika katika pango la Makpela karibu na Mamre, katika shamba lililokuwa la Efroni mwana wa Sohari Mhiti, 1025:10 Mwa 10:15Shamba ambalo Abrahamu alilinunua kwa Wahiti. Hapo ndipo Abrahamu alipozikwa pamoja na mkewe Sara. 1125:11 Mwa 12:2; 16:14Baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu akambariki mwanawe Isaki, ambaye baadaye aliishi karibu na Beer-Lahai-Roi.
Wana Wa Ishmaeli
1225:12 Mwa 2:4; 17:20; 21:18Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli mtoto wa Abrahamu, ambaye mjakazi wake Sara, Hagari Mmisri, alimzalia Abrahamu.
1325:13 Mwa 28:9; 36:3; Za 120:5; Isa 21:16; 42:11; 60:7; Yer 2:10; 49:28; Eze 27:21Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, yaliyoorodheshwa kulingana na jinsi walivyozaliwa: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli ni Nebayothi, akafuatia Kedari, Adbeeli, Mibsamu, 1425:14 Yos 15:25; Oba 1:1; Isa 21:11Mishma, Duma, Masa, 1525:15 Ay 6:19; Isa 21:14; Yer 25:23; 1Nya 5:19Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema. 1625:16 Mwa 17:20; 13:16; Za 83:9Hawa walikuwa wana wa Ishmaeli na haya ni majina ya viongozi wa makabila kumi na mawili kulingana na makao yao na kambi zao. 17Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka 137. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye akakusanywa pamoja na watu wake. 1825:18 Mwa 17:20; 21:18; 16:7, 12Wazao wa Ishmaeli waliishi kuanzia nchi ya Havila hadi Shuri, karibu na mpaka wa Misri, unapoelekea Ashuru. Hao waliishi kwa uhasama na ndugu zao wote.
Yakobo Na Esau
19Hivi ndivyo vizazi vya Isaki mwana wa Abrahamu.
Abrahamu akamzaa Isaki, 2025:20 Mwa 26:34; 48:7; 35:28; 24:67; 22:22; 28:2-6; 30:20; 31:18; 33:18; 46:15; 24:29; Kum 26:5Isaki alikuwa na umri wa miaka arobaini alipomwoa Rebeka binti Bethueli Mwaramu kutoka Padan-Aramu, nduguye Labani Mwaramu.
2125:21 Mwa 30:17, 22; 11:30; Ezr 8:23; 1Sam 1:17, 23; 1Nya 5:20; 2Nya 33:13; Za 127:3Isaki akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, kwa sababu alikuwa tasa. Bwana akajibu maombi yake na Rebeka mkewe akapata mimba. 2225:22 Kut 18:15; 28:30; 33:7; Law 24:12; Hes 9:6-8; 27:5; Kum 17:9; 2Fal 3:11; 22:13; Isa 30:2; Yer 21:2; 37:7; Eze 14:7; 2Watoto wakashindana tumboni mwake, akasema, “Kwa nini haya yanatokea kwangu?” Kwa hiyo akaenda kumuuliza Bwana.
23Bwana akamjibu,
“Mataifa mawili yamo tumboni mwako,
na mataifa hayo mawili
kutoka ndani yako watatenganishwa.
Mmoja atakuwa na nguvu zaidi kuliko mwingine,
na yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
24Wakati wake wa kujifungua ulipotimia, walikuwepo mapacha wa kiume tumboni mwake. 25Wa kwanza kuzaliwa alikuwa mwekundu, mwili wake wote ulikuwa kama mtu aliyevaa vazi lenye nywele; wakamwita jina lake Esau.25:25 Esau maana yake Mwenye nywele nyingi. 26Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino; akaitwa jina lake Yakobo.25:26 Yakobo maana yake Ashikaye kisigino, au Atwaaye mahali pa mwingine, au Mdanganyaji, au Mwenye hila, au Mlaghai, au Mjanja. Isaki alikuwa mwenye miaka sitini Rebeka alipowazaa.
27Watoto wakakua, naye Esau akakuwa mwindaji hodari, mtu wa mbugani, wakati Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa nyumbani. 28Isaki, ambaye alikuwa anapendelea zaidi nyama za porini, alimpenda Esau, bali Rebeka alimpenda Yakobo.
29Siku moja Yakobo alipika mchuzi wa dengu, Esau akarudi kutoka porini akiwa na njaa kali. 30Esau akamwambia Yakobo, “Haraka, nipe huo mchuzi mwekundu! Nina njaa kali sana!” (Hii ndiyo sababu pia aliitwa Edomu.)25:30 Edomu maana yake Mwekundu.
31Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
32Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu ya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”
33Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Hivyo Esau akamwapia, akamuuzia Yakobo haki yake ya kuzaliwa.
34Ndipo Yakobo akampa Esau mkate na ule mchuzi wa dengu. Akala na kunywa, kisha akainuka akaenda zake.
Kwa hiyo Esau alidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.
Abrahams efterkommere gennem Ketura
1Abraham havde taget25,1 Eller: „tog”. Det er uvist, om det skete før eller efter, at Sara døde. sig endnu en kone. Hun hed Ketura, 2og sammen fik de følgende sønner: Zimran, Jokshan, Medan, Midjan, Jishbak og Shua. 3Jokshan blev far til Saba og Dedan; Dedan blev stamfar til ashuritterne, letushitterne og leumitterne. 4Midjan blev far til Efa, Efer, Hanok, Abida og Elda’a. De var alle sammen efterkommere af Ketura.
5Abraham indsatte Isak som arving til alt, hvad han ejede. 6De sønner, han havde med sine andre koner, gav han gaver og sendte dem derefter bort fra Isak, østpå til landet øst for Jordanfloden.
Abrahams død og begravelse
7Abraham blev 175 år gammel. 8Han døde i en høj alder, gammel og mæt af dage. 9-10Isak og Ishmael begravede ham i Makpela-klippehulen ved Mamres lund på den mark, som Abraham havde købt af hittitten Efron, Sohars søn, og hvor hans kone Sara allerede lå begravet.
11Efter Abrahams død velsignede Gud hans søn Isak. Isak boede i Be’er-Lahaj-Roi i Negev.
Ishmaels slægt
12-13Det følgende er en liste over Ishmaels25,12-13 Abrahams søn med Hagar. efterkommere: Nebajot, den førstefødte, Kedar, Adbe’el, Mibsam, 14Mishma, Duma, Massa, 15Hadad, Tema, Jetur, Nafish og Kedma. 16Disse 12 sønner blev stamfædre til de 12 stammer, som er opkaldt efter dem. 17Ishmael var 137 år gammel, da han døde. 18Hans efterkommere slog sig ned i området fra Havila til Shur nordøst for Egyptens grænse ved vejen til Assyrien. De lå konstant i krig med hinanden.
Jakob køber førstefødselsretten
19Det følgende er Isaks slægtshistorie: Isak var søn af Abraham. 20Da han var 40 år gammel, giftede han sig med Rebekka, en datter af aramæeren Betuel fra Paddan-Aram, og søster til Laban. 21Isak bad til Herren for Rebekka, for hun kunne ikke blive gravid. Og Herren hørte Isaks bøn: Rebekka blev gravid 22med tvillinger, og hun følte det, som om drengene sloges inde i hende. „Hvorfor sker sådan noget for mig?” klagede hun. Så gik hun hen og spurgte Herren.
23Herrens svar lød: „Sønnerne i dit moderliv bliver stamfædre til to rivaliserende folkeslag. Den ene bliver stærkere end den anden, og den ældste kommer til at tjene den yngste.”
24Da tiden kom, hvor Rebekka skulle føde, var det ganske rigtigt tvillinger. 25Den første, der kom ud, var rødlig og lodden som en skindkappe med hår over hele kroppen. Ham kaldte de Esau. 26Den anden tvilling blev født med hånden om Esaus hæl, og derfor kaldte de ham Jakob.25,26 Det minder om det hebraiske ord for „hæl”, men det minder også om ordet for „den, der udnytter andre”. Isak var 60 år gammel, da tvillingerne blev født.
27Som drengene voksede op, blev Esau en dygtig jæger og færdedes meget ude i de øde områder, hvorimod Jakob var en stille natur og blev hjemme ved teltene. 28Isak holdt mest af Esau, fordi han elskede kødet fra de vildtlevende dyr. Men Rebekka holdt mest af Jakob.
29En dag, da Jakob var ved at lave mad, kom Esau træt og sulten hjem fra en jagttur. Esau udbrød:
30„Giv mig noget af det røde der. Jeg er ved at dø af sult!” Derfor fik han også navnet Edom.25,30 Det betyder: „rød”.
31„Du må først sælge mig din førstefødselsret,” svarede Jakob.
32„Hvad bryder jeg mig om min førstefødselsret, når jeg er ved at dø af sult?” sagde Esau.
33„Sværg så på, at førstefødselsretten er min!” vedblev Jakob. Så svor Esau og solgte dermed sine rettigheder som ældste søn til sin yngre bror Jakob. 34Jakob serverede nu brød og stuvede, røde linser for Esau, og da han havde spist og drukket, rejste han sig og gik sin vej. Sådan ringeagtede Esau sin førstefødselsret.