Mwanzo 20 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 20:1-18

Abrahamu Na Abimeleki

120:1 Mwa 18:1; 12:9; 14:7; 16:7; 26:3Basi Abrahamu akaendelea mbele kutoka huko hadi nchi ya Negebu na akaishi kati ya Kadeshi na Shuri. Kwa muda mfupi alikaa Gerari kama mgeni, 220:2 Mwa 12:13, 15; 26:1huko Abrahamu akasema kuhusu Sara mkewe, “Huyu ni dada yangu.” Kisha Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma Sara aletwe, naye akamchukua.

320:3 Hes 12:6; 22:9, 20; Mwa 26:11; 28:12; 31:10, 24; 37:5-9; 40:5; 41:1; Kum 13:1; Kut 10:7; 12:33; Ay 33:15; Dan 2:1; 4:5; 1Nya 16:21; Za 105:14, 28Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto wakati wa usiku na kumwambia, “Wewe ni kama mfu kwa sababu ya huyu mwanamke uliyemchukua; yeye ni mke wa mtu.”

420:4 Mwa 18:25Wakati huo Abimeleki alikuwa bado hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia? 520:5 Mwa 12:19; 17:1; Za 7:8; 25:21; 26:6; 41:12Hakusema kwangu, ‘Huyu ni dada yangu,’ naye Sara pia hakusema, ‘Huyu ni kaka yangu’? Nimefanya haya kwa dhamiri njema na mikono safi.”

620:6 1Sam 25:26, 34; Mwa 13:13; Za 41:4; 51:4Kisha Mungu akamwambia katika ndoto, “Ndiyo, najua ya kwamba umefanya haya kwa dhamiri safi, kwa hiyo nimekuzuia usinitende dhambi. Ndiyo sababu sikukuacha umguse. 720:7 Kum 18:18; 34:10; 2Fal 3:11; 5:3; 1Nya 16:22; Za 105:15; Kut 8:8; Hes 11:2; 12:13; 1Sam 7:5; 1Fal 13:6; Ay 42:8; Yer 18:20; 37:3; 42:2; Za 9:5Sasa umrudishe huyo mke wa mtu, kwa maana ni nabii, naye atakuombea nawe utaishi. Lakini kama hutamrudisha, ujue kwa hakika kuwa wewe na watu wako wote mtakufa.”

8Kesho yake asubuhi na mapema Abimeleki akawaita maafisa wake wote, na baada ya kuwaambia yote yaliyotokea, waliogopa sana. 920:9 Mwa 12:18; 34:7Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na kumwambia, “Wewe umetufanyia nini? Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwa namna hii juu yangu na ufalme wangu? Umenifanyia mambo ambayo hayakupasa kufanyika.” 10Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?”

1120:11 Mwa 12:12; 31:31; 42:18; Neh 5:15; Ay 31:23; Za 36:1; Mit 16:6Abrahamu akajibu, “Niliwaza kwamba, ‘Hakika hakuna hofu ya Mungu mahali hapa, nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’ 1220:12 Mwa 12:13Pamoja na hayo, ni kweli kwamba yeye ni dada yangu, binti wa baba yangu ingawa si mtoto wa mama yangu; basi akawa mke wangu. 1320:13 Kum 26:5; 1Nya 16:20; Isa 30:28; 63:17; Mwa 12:1Wakati Bwana aliponifanya nisafiri mbali na nyumbani mwa baba yangu, nilimwambia, ‘Hivi ndivyo utakavyoonyesha pendo lako kwangu: Kila mahali tutakapokwenda, kuhusu mimi sema, “Huyu ni kaka yangu.” ’ ”

1420:14 Mwa 12:16Kisha Abimeleki akatwaa kondoo na ngʼombe, na watumwa wa kiume na wa kike akampa Abrahamu, akamrudisha Sara kwa mumewe. 1520:15 Mwa 13:9; 45:18Abimeleki akasema, “Nchi yangu iko mbele yako, ishi popote unapotaka.”

16Akamwambia Sara, “Ninampa kaka yako shekeli elfu moja za fedha. Hii ni kufidia kosa lililofanyika dhidi yako mbele ya wote walio pamoja nawe; haki yako imethibitishwa kabisa.”

1720:17 Ay 42:9Kisha Abrahamu akamwomba Mungu, naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wake, na watumwa wake wa kike kwamba waweze kupata watoto tena, 1820:18 Mwa 12:17kwa kuwa Bwana alikuwa ameyafunga matumbo ya wote katika nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.

La Bible du Semeur

Genèse 20:1-18

Abraham à Guérar

1Abraham quitta cette région pour aller dans le Néguev. Il s’installa entre Qadesh et Shour, puis il séjourna à Guérar20.1 Entre Gaza, sur la côte méditerranéenne, et Beer-Sheva, dans le nord du Néguev.. 2En parlant de sa femme Sara, il disait : « C’est ma sœur ! » de sorte qu’Abimélek, le roi de Guérar, la fit enlever. 3Mais Dieu visita Abimélek de nuit en songe et lui dit : Tu vas mourir, à cause de cette femme que tu as enlevée, car elle est mariée.

4Or Abimélek ne s’était pas approché d’elle. Il s’écria : Mon Seigneur, ferais-tu mourir des innocents ? 5Son mari ne m’a-t-il pas dit : « C’est ma sœur » ? D’ailleurs, elle-même me l’a confirmé en affirmant : « C’est mon frère. » C’est en toute bonne conscience et avec innocence que j’ai agi.

6Dieu lui répondit en songe : Je sais, moi aussi, que tu as agi en toute bonne conscience. C’est pourquoi je t’ai empêché de commettre un péché contre moi et je ne t’ai pas laissé la toucher. 7Maintenant, renvoie cette femme à son mari, car c’est un prophète20.7 C’est-à-dire porte-parole de Dieu. Abraham est le premier à porter ce titre, semble-t-il en tant qu’intercesseur.. Il priera pour toi et tu resteras en vie. Mais si tu ne la lui rends pas, sache que tu mourras, toi et tous les tiens.

8De bon matin, Abimélek convoqua tous ses familiers et leur raconta tout ce qui lui était arrivé. Ces gens en furent extrêmement troublés. 9Puis Abimélek fit venir Abraham et lui dit : Pourquoi nous as-tu fait cela ? Quel mal t’ai-je fait pour que tu nous aies exposés, moi et mon royaume, à commettre un si grand péché ? Tu as fait envers moi des choses qui ne se font pas. 10Puis il demanda à Abraham : Pour quelle raison as-tu agi de la sorte ?

11Abraham répondit : Je me suis dit : Certainement, on n’a aucune crainte de Dieu dans ce pays, et on me tuera à cause de ma femme. 12De plus, elle est réellement ma parente, puisqu’elle est fille de mon père, mais pas de ma mère20.12 Il s’agit peut-être du grand-père et de la grand-mère.. Et elle est devenue ma femme. 13Quand Dieu m’a fait quitter la maison de mon père et aller de lieu en lieu, j’ai dit à ma femme : « Aie la bonté de dire, partout où nous irons, que je suis ton frère. »

14Alors Abimélek prit des moutons, des chèvres et des bovins, des serviteurs et des servantes et en fit cadeau à Abraham. Il lui rendit aussi Sara, sa femme. 15Puis il ajouta : Mon pays est à ta disposition ; établis-toi où bon te semblera.

16Puis, se tournant vers Sara, il dit : Vois, je donne mille pièces d’argent à ton frère. C’est là un gage de ton innocence pour tous ceux qui sont avec toi et cela te justifiera devant tous.

17Abraham pria Dieu, et Dieu guérit Abimélek ainsi que sa femme et ses servantes, et elles purent de nouveau avoir des enfants. 18Car l’Eternel avait frappé de stérilité toutes les femmes dans la maison d’Abimélek à cause de l’enlèvement de Sara, femme d’Abraham.