Mwanzo 17 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 17:1-27

Agano La Tohara

117:1 Mwa 5:22; 12:4-7; 20:5; 28:3; 35:11; 43:14; 48:3; 49:25; Kut 6:3; 18:13; Rut 1:20; Ay 5:17; 6:4, 14; 22:21; 33:19; 36:16; Isa 13:6; Yoe 1:15; Mik 6:9; 1Fal 3:6; 9:4; Za 15:2; 18:23; 78:72; 101:2Abramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, Bwana akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi;17:1 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu. 217:2 Mwa 12:2; 15:18; 22:16-18Nami nitafanya Agano langu kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.”

317:3 Mwa 18:2; 19:1; 33:3; Kut 18:7; Hes 14:5; Yos 5:14; 7:6; Amu 13:20; Eze 1:28; 3:23Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akamwambia, 417:4 Mwa 15:18; 12:2; 25:23“Kwa upande wangu, hili ndilo Agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi. 517:5 Mwa 32:28; 35:10; 37:3, 13; 43:6; 46:2; 1Fal 18:31; 2Fal 17:34; 1Nya 1:34; Neh 9:7; Isa 48:1; Yn 1:42; Rum 4:17Jina lako hutaitwa tena Abramu, bali jina lako litakuwa Abrahamu,17:5 Abrahamu maana yake Baba wa watu wengi. kwa maana nimekufanya wewe baba wa mataifa mengi. 617:6 Mwa 1:28; 18:10; 21:1; 22:17; 26:22; 28:3; 35:11; 36:31; 41:52; 47:27; 48:4; 49:22; Law 26:9; Mt 1:6; Kum 7:13; Isa 51:2Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, kwako yatatoka mataifa nao wafalme watatoka kwako. 717:7 Mwa 6:18; 9:16; 18:15; Kut 6:7; 20:2; 29:45-46; Law 11:44-45; 18:2; 22:33; 25:38; 26:9, 12, 15; Hes 15:41; Kum 4:20; 7:6, 21; 29:13; 2Sam 7:24; Ebr 13:20; Yer 14:9; Ufu 21:7; Rum 9:8; Gal 3:16Nitalithibitisha Agano langu kama Agano la milele kati yangu na wewe na wazao wako baada yako na vizazi vijavyo niwe Mungu wako na Mungu wa wazao wako. 817:8 Mwa 10:19; 12:7; 15:7; 23:4; 28:4; 35:27; 37:1; Kut 6:4; Yer 31:1; 1Nya 29:15Nchi yote ya Kanaani, unakoishi sasa kama mgeni, nitakupa kuwa milki yako milele, na uzao wako, nami nitakuwa Mungu wao.”

917:9 Mwa 18:19; 22:18; Kut 19:5; Kum 5:2Ndipo Mungu akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wako, lazima ushike Agano langu, wewe na wazao wako kwa ajili ya vizazi vijavyo. 1017:10 Mwa 21:4; Law 12:3; Yos 5:2-7; Rum 4:11; Yn 7:22; Mdo 7:8Hili ni Agano langu na wewe pamoja na wazao wako baada yako, Agano mtakalolishika: Kila mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa. 1117:11 Kut 12:48; Kum 10:16; Mwa 9:12; Rum 4:11Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi. 1217:12 Mwa 9:12; 21:4; Law 12:3; Yos 5:2; Lk 1:59; 2:21Kwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio watoto wako. 1317:13 Kut 12:44-48; Mwa 9:16Awe amezaliwa nyumbani mwako au amenunuliwa kwa fedha yako, ni lazima watahiriwe. Agano langu katika mwili wako litakuwa ni Agano la milele. 1417:14 Kut 4:24-26; 12:15, 19; 30:33; Eze 44:7; Yos 5:2-8; Law 7:20, 25; 17:4; 18:29; 19:8; 20:17; Hes 9:13; 15:30; 19:13; Kum 17:12; Ay 38:15; Za 37:28Kila mwanaume asiyetahiriwa, ambaye hajapata tohara ya mwilini, atatengwa na watu wake, amelivunja Agano langu.”

1517:15 Mwa 11:29Pia Bwana akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wa Sarai mkeo, hutamwita tena Sarai bali jina lake litakuwa Sara. 1617:16 Mwa 18:10; 24:60; Isa 29:22; Gal 4:31Nitambariki na hakika nitakupatia mwana kwake. Nitambariki na kwamba atakuwa mama wa mataifa, wafalme wa mataifa watatoka kwake.”

1717:17 Mwa 12:4; 18:11-13; 21:6, 7; 24:1, 36; Yer 20:15; Lk 1:18; Rum 4:19; Gal 4:23; Ebr 11:11Abrahamu akaanguka kifudifudi, akacheka na kusema moyoni mwake, “Je, mtu wa miaka mia moja aweza kuzaa mwana? Je, Sara atazaa mtoto katika umri wa miaka tisini?” 1817:18 Mwa 16:15; 21:11Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti Ishmaeli naye angeshiriki baraka yako!”

1917:19 Mwa 9:16; 16:11; 18:14; 21:2; 26:3; 50:24; Kut 13:11; Kum 1:8; Gal 3:16; 1Sam 1:20; Mt 1:21; Lk 1:13, 31Ndipo Mungu akasema, “Ndiyo, lakini mkeo Sara atakuzalia wewe mwana, nawe utamwita jina lake Isaki.17:19 Isaki maana yake Kucheka. Nitalithibitisha Agano langu naye kama Agano la milele kwa ajili yake na wazao wake baada yake. 2017:20 Mwa 13:16; 16:10; 25:12-18; 48:19Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa. 2117:21 Kut 34:10; Mwa 18:10-14; 21:2Lakini Agano langu nitalithibitisha kwa Isaki, ambaye Sara atakuzalia mwaka ujao majira kama haya.” 2217:22 Mwa 18:33; 35:13; Hes 12:9Wakati alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, Mungu akapanda juu akaondoka kwa Abrahamu.

2317:23 Mwa 12:5Siku ile ile, Abrahamu akamchukua Ishmaeli mwanawe na wote waliozaliwa nyumbani mwake pamoja na walionunuliwa kwa fedha zake, kila mwanaume wa nyumbani mwake, akawatahiri, kama Mungu alivyomwagiza. 2417:24 Mwa 12:4; Rum 4:11Abrahamu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa, 2517:25 Mwa 16:16naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu. 26Abrahamu na Ishmaeli mwanawe walitahiriwa siku ile ile, 2717:27 Mwa 14:14Kila mwanaume nyumbani mwa Abrahamu, pamoja na wote waliozaliwa nyumbani mwake au aliyenunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, alitahiriwa pamoja naye.

Korean Living Bible

창세기 17:1-27

계약의 표인 할례

1아브람이 99세가 되었을 때 여호와께서 그에게 나타나 말씀하셨다. “나 는 전능한 하나님이다. 너는 17:1 또는 ‘내 앞에서 행하여 완전하라’나에게 순종하며 내 앞에서 흠 없이 살아라.

2내가 너와 계약을 맺어 너를 크게 번성하게 하겠다.”

3그때 아브람이 얼굴을 땅에 대고 엎드리자 하나님이 다시 말씀하셨다.

4“이것이 내가 너와 맺는 계약이다: 너는 많은 민족의 조상이 될 것이며

5이제부터 네 이름은 아브람이 아니라 17:5 ‘많은 무리의 아버지’ 라는 뜻.‘아브라함’ 이 될 것이다. 나는 너를 많은 민족의 조상으로 세웠다.

6내가 너에게 많은 나라를 이룰 후손들을 주겠다. 네 후손 가운데서 많은 왕들이 나올 것이다.

7내가 너와 네 후손에게 내 약속을 영원한 계약으로 지키고 너와 네 후손의 하나님이 될 것이다.

8네가 지금 나그네 생활을 하고 있는 이 땅을 내가 너와 네 후손에게 줄 것이니 가나안 땅 전체가 네 후손들의 영원한 소유가 될 것이며 나는 그들의 하나님이 될 것이다.

9그러므로 너와 네 후손은 내 계약을 대대로 지켜라.

10너와 네 후손이 지켜야 할 내 계약은 너희 가운데 모든 남자가 다 할례를 받는 것이다.

11너희는 포피를 베어라. 이것이 나와 너희 사이에 계약의 표가 될 것이다.

12너희 모든 남자는 태어난 지 8일 만에 할례를 받아야 하며

13너희 집에서 태어난 종이나 외국에서 사온 종도 포피를 베어 할례를 받아야 한다. 17:13 또는 ‘내 언약이 너희 살에 있어 영 원한 언약이 되려니와’모든 남자가 다 할례를 받음으로써 너희는 내가 너희와 맺은 계약이 영원하다는 것을 보여 주는 표를 피부에 지니게 될 것이다.

14그러나 포피를 베어 할례를 받지 않는 남자는 나와 맺은 계약을 깨뜨리는 자이므로 그는 자기 백성 가운데서 제거당할 것이다.”

15그러고서 하나님은 덧붙여 아브라함에게 말씀하셨다. “이제부터 너는 네 아내를 사래라고 부르지 말고 그 이름을 17:15 ‘왕후’ 라는 뜻.‘사라’ 라고 불러라.

16내가 그녀를 축복하여 그녀를 통해 너에게 아들을 주겠다. 내가 그녀에게 복을 주어 모든 나라의 어머니가 되게 할 것이니 그녀의 후손 가운데서 많은 왕들이 나올 것이다.”

17아브라함은 얼굴을 땅에 대고 엎드렸으나 속으로 웃으며 “100세가 된 사람이 어떻게 자식을 낳을 수 있을까? 사라는 90세나 되었는데 어떻게 자식을 낳을 수 있겠는가?” 하고 중얼거리다가

18하나님께 말하였다. “이스마엘이나 17:18 또는 ‘하나님앞에’주의 축복 가운데서 살았으면 좋겠습니다.”

19그러나 하나님은 이렇게 말씀하셨다. “아니다. 네 아내 사라가 너에게 아들을 낳아 줄 것이다. 너는 그 이름을 17:19 ‘웃는다’ 는뜻.‘이삭’ 이라고 하라. 내가 그와 계약을 맺을 것이니 그의 후손들에게 영원한 계약이 될 것이다.

20나는 네가 이스마엘에 대해서 하는 말을 들었다. 내가 그를 축복하여 그에게 많은 자녀와 후손을 주어 그를 크게 번성하게 하겠다. 그는 열두 통치자를 낳을 것이다. 내가 그를 통해 큰 나라가 서게 하겠다.

21그러나 내 계약은 내년 이맘때에 사라가 너에게 낳아 줄 이삭과 맺을 것이다.”

22그러고서 하나님은 아브라함과 하시던 말씀을 마치시고 그를 떠나셨다.

23바로 그 날 아브라함은 하나님이 자기에게 말씀하신 대로 그의 아들 이스마엘과 그리고 자기 집에서 태어난 종과 돈으로 사온 종을 포함하여 집안의 모든 남자들을 데려다가 포피를 베었다.

24그때 아브라함은 99세였고

25그의 아들 이스마엘은 13세였다.

26-27이와 같이 한날에 아브라함과 그의 아 들 이스마엘이 그 집안의 다른 모든 남자들과 함께 할례를 받았다.