Mwanzo 16 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 16:1-16

Hagari Na Ishmaeli

116:1 Mwa 11:29, 30; 24:61; 29:24-29; 31:33; 46:18; 21:14; 25:12; 30:2; Lk 1:7, 36; Gal 4:24-25Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari, 216:2 Mwa 19:31-32; 30:3-10hivyo Sarai akamwambia Abramu, “Bwana amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.”

Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema. 316:3 Mwa 12:4-5Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake. 416:4 Mwa 30:1; 1Sam 1:6Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba.

Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai. 516:5 Mwa 31:53; Kut 5:21; Amu 11:27; 1Sam 24:12-15; 26:10, 23; Za 50:6; 75:7Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. Bwana na aamue kati yako na mimi.”

616:6 Yos 9:25; Mwa 31:50Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.

716:7 Mwa 21:17; 22:11-15; 24:7, 40; 25:18; 31:11; 48:16; Kut 3:2; 14:19; 15:22; 23:20-23; 32:34; 33:2; Amu 2:1; 6:11; 13:3; Za 34:7; 2Sam 24:16; 21:19; 1Fal 19:5; 2Fal 1:3; 19:35; Zek 1:11; Mdo 5:19; 1Sam 15:7Malaika wa Bwana akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri. 816:8 Mwa 3:9Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?”

Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”

9Ndipo malaika wa Bwana akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.” 1016:10 Mwa 13:16; 17:20Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”

1116:11 Mdo 5:19; Mwa 3:15; 12:2-3; 18:19; 17:19; 21:3; 37:25-28; 29:32; 31:42; Neh 9:7; Isa 44:1; Amo 3:2; Mt 1:21; Lk 1:13, 31; Amu 8:24; Kut 2:24; 3:7, 9; 4:31; Hes 20:16; Kum 26:7; 1Sam 9:16Pia malaika wa Bwana akamwambia:

“Wewe sasa una mimba

nawe utamzaa mwana.

Utamwita jina lake Ishmaeli,16:11 Ishmaeli maana yake Mungu husikia.

kwa sababu Bwana amesikia juu ya huzuni yako.

1216:12 Ay 6:5; 11:12; 24:5; 39:5; Hos 8:9; Za 104:11; Yer 2:24; Mwa 25:18Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu,

mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu

na mkono wa kila mtu dhidi yake,

naye ataishi kwa uhasama

na ndugu zake wote.”

1316:13 Za 139:1-12; Mwa 32:30; 33:10; Kut 24:10; 33:20-23; Hes 12:8; Amu 6:22; 13:22; Isa 6:5Hagari akampa Bwana aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.” 1416:14 Mwa 24:62; 25:11; 14:7Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi,16:14 Beer-Lahai-Roi maana yake Yeye Aliye Hai Anionaye Mimi. ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.

1516:15 Mwa 21:9; 17:18; 25:12; 28:9; Gal 4:22Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli. 1616:16 Mwa 12:4Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.

La Bible du Semeur

Genèse 16:1-16

La naissance d’Ismaël

1Saraï, l’épouse d’Abram, ne lui avait pas donné d’enfant. Mais elle avait une esclave égyptienne nommée Agar. 2Elle dit à Abram : Tu vois que l’Eternel m’a empêchée d’avoir des enfants16.2 La stérilité d’une femme était souvent considérée comme une punition divine (25.21 ; Lv 20.20 ; Jr 22.30 ; Ps 127.3-4). La coutume (consignée dans le code d’Hammourabi, roi babylonien du IIe millénaire av. J.-C.) autorisait la femme stérile à choisir une épouse à son mari et à considérer comme siens les enfants que celle-ci lui donnerait.. Va donc vers ma servante : peut-être aurai-je un fils par son intermédiaire.

Abram suivit le conseil de sa femme. 3Saraï, femme d’Abram, prit donc sa servante Agar et la donna pour femme à Abram, son mari. Il y avait alors dix ans qu’Abram séjournait au pays de Canaan. 4Il s’unit à Agar et elle devint enceinte.

Quand elle vit qu’elle attendait un enfant, elle se mit à mépriser sa maîtresse. 5Alors Saraï dit à Abram : C’est toi qui es responsable de l’injure qui m’est faite. J’ai poussé ma servante dans tes bras et depuis qu’elle s’est vue enceinte, elle me méprise. Que l’Eternel soit juge entre nous.

6Abram lui répondit : Ta servante est en ton pouvoir. Agis envers elle comme bon te semblera.

Alors Saraï la traita si durement que celle-ci s’enfuit.

7L’ange de l’Eternel la rencontra près d’une source d’eau dans le désert, celle qui se trouve sur le chemin de Shour. 8Il lui demanda : Agar, servante de Saraï, d’où viens-tu et où vas-tu ?

Elle répondit : Je m’enfuis de chez Saraï, ma maîtresse.

9L’ange de l’Eternel lui dit : Retourne auprès de ta maîtresse et humilie-toi devant elle. 10Et il ajouta : Je te donnerai de très nombreux descendants ; ils seront si nombreux qu’on ne pourra pas les compter16.10 Voir 17.20 ; 25.13-16.. 11Puis il ajouta :

Tu attends un enfant :

ce sera un garçon.

Tu l’appelleras Ismaël (Dieu entend)

car l’Eternel t’a entendue ╵dans ta détresse.

12Ton fils sera comme un âne sauvage :

lui, il s’opposera à tous

et tous s’opposeront à lui,

mais il assurera sa place ╵en face de tous ses semblables.

13Agar se demanda : Ai-je réellement vu ici même celui qui me voit ?

Et elle appela l’Eternel qui lui avait parlé du nom de Atta-El-Roï (C’est toi le Dieu qui me voit). 14C’est pourquoi on appelle ce puits : Beer-Lachaï-Roï (le Puits du Vivant-qui-me-voit). Il se trouve entre Qadesh et Béred.

15Agar donna le jour à un fils que son père appela Ismaël. 16Abram avait quatre-vingt-six ans quand Agar lui donna ce fils.