Mwanzo 13 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 13:1-18

Abramu Na Loti Watengana

113:1 Mwa 45:25; 12:9; 11:27Hivyo Abramu akakwea kutoka Misri kwenda Negebu, yeye na mkewe na kila kitu alichokuwa nacho, pia Loti akaenda pamoja naye. 213:2 Mwa 12:5; 26:13; 32:15; Mit 10:22; Ay 1:3; 42:12Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.

313:3 Mwa 12:8-9Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai 413:4 Mwa 12:7; 4:26hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la Bwana.

513:5 Mwa 11:27Basi Loti, ambaye alikuwa anafuatana na Abramu, alikuwa pia na makundi ya mbuzi, kondoo, ngʼombe na mahema. 613:6 Mwa 12:5; 33:9; 36:7Lakini nchi haikuwatosha kukaa pamoja kwa ajili ya wingi wa mali zao. 713:7 Mwa 26:20-21; 10:18; 15:20; 12:6; 34:30; Hes 20:3; Kut 3:8; Amu 1:4Ukazuka ugomvi kati ya wachunga mifugo wa Abramu na wale wa Loti. Wakati huo, Wakanaani na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo.

813:8 Mwa 11:27; 19:9; Mit 15:18; 20:3; Kut 2:14; Hes 16:13; Za 133:1Hivyo Abramu akamwambia Loti, “Pasiwe na ugomvi wowote kati yangu na wewe, wala kati ya wachungaji wangu na wako, kwa kuwa sisi ni ndugu. 913:9 Mwa 20:15; 34:10; 47:6; Yer 40:4Je, nchi yote haiko mbele yako? Tutengane. Kama ukielekea kushoto, nitakwenda kulia; kama ukielekea kulia, mimi nitakwenda kushoto.”

1013:10 1Fal 7:47; 2Nya 4:17; Hes 13:29; 33:48; Mwa 19:22; 2:8-10; 46:7; 14:2, 8Loti akatazama akaona lile bonde lote la Yordani kuwa lilikuwa na maji tele, kama bustani ya Bwana, kama nchi ya Misri, kuelekea Soari. (Hii ilikuwa kabla Bwana hajaharibu Sodoma na Gomora.) 11Hivyo Loti akajichagulia bonde lote la Yordani, akaelekea upande wa mashariki. Watu hao wawili wakatengana: 1213:12 Mwa 10:19; 11:27; 19:17-29; 14:12Abramu akaishi katika nchi ya Kanaani, wakati Loti aliishi miongoni mwa miji ya lile bonde na kupiga mahema yake karibu na Sodoma. 1313:13 Mwa 18:20; 19:4; 19:5; 20:6; 39:9; Isa 1:10; 3:9; Hes 32:23; 1Sam 12:23; 2Sam 12:13; Za 51:4; Eze 16:49-50; 2Pet 2:8Basi watu wa Sodoma walikuwa waovu, wakifanya sana dhambi dhidi ya Bwana.

1413:14 Mwa 28:14; 32:12; 48:16; Kum 3:27; 13:17; Isa 54:3Baada ya Loti kuondoka Bwana akamwambia Abramu, “Ukiwa hapo ulipo, inua macho yako utazame kaskazini na kusini, mashariki na magharibi. 1513:15 Mwa 12:7; Gal 3:16Nchi yote unayoiona nitakupa wewe na uzao wako hata milele. 1613:16 Mwa 12:2; 16:10; 17:20; 21:13-18; 25:16; Hes 23:10Nitaufanya uzao wako uwe mwingi kama mavumbi ya nchi, hivyo kama kuna yeyote awezaye kuhesabu mavumbi, basi uzao wako utahesabika. 1713:17 Mwa 12:7; 15:7; Hes 13:17-25Ondoka, tembea katika marefu na mapana ya nchi, kwa maana ninakupa wewe.”

1813:18 Mwa 8:20; 14:13; 18:1; 23:2, 17, 19; 25:9; 49:30; 50:13; 35:27; Hes 13:22; Yos 10:3, 36; Amu 1:10; 1Sam 30:31; 2Sam 2:1-11; 1Nya 11:1Basi Abramu akaondoa mahema yake, akaenda kuishi karibu na mialoni ya Mamre huko Hebroni, huko akamjengea Bwana madhabahu.

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Начало 13:1-18

Разделение Иброма и Лута

1Ибром с женой и всем имуществом отправился из Египта в Негев, и Лут пошёл с ним. 2У Иброма теперь было много скота, серебра и золота. 3Из Негева он продолжил путь, пока не пришёл в Вефиль, к тому месту, где некогда стоял его шатёр, между Вефилем и Гаем, 4к тому месту, где он прежде построил жертвенник. Там Ибром призвал имя Вечного.

5У Лута, который кочевал с Ибромом, тоже были стада мелкого и крупного скота и шатры, 6и земля не могла прокормить их обоих: у них было так много всего, что они не могли селиться вместе. 7Между пастухами Иброма и пастухами Лута случился раздор. (В той земле тогда жили ханонеи и перизеи.)

8Тогда Ибром сказал Луту:

– Пусть не будет раздора ни между тобой и мной, ни между твоими пастухами и моими, потому что мы родственники. 9Не вся ли земля перед тобою? Давай разделимся: если ты пойдёшь налево, то я поверну направо, а если ты пойдёшь направо, то я поверну налево.

10Лут посмотрел и увидел, что вся Иорданская долина до самого Цоара хорошо орошается, как сад Вечного13:10 Сад Вечного – т. е. сад Эдем., как земля египетская. (Это было ещё до того, как Вечный разрушил Содом и Гоморру.) 11Лут выбрал себе всю долину Иордана и отправился на восток. Они разделились: 12Ибром жил в земле Ханонской, а Лут жил среди городов долины, поставив шатры невдалеке от Содома. 13Жители Содома были нечестивы и тяжко грешили против Вечного.

14Вечный сказал Иброму после того, как Лут отделился от него:

– Оглядись вокруг с того места, где ты сейчас; посмотри на север и на юг, на восток и на запад. 15Всю землю, которую ты видишь, Я дам тебе и твоему потомству13:15 Букв.: «твоему семени»; также в ст. 16. навеки. 16Я сделаю твоё потомство многочисленным, как земную пыль, так что если кто сможет пересчитать пылинки, то и твоё потомство будет пересчитано. 17Иди, пройди по этой земле вдоль и поперёк, потому что Я дам её тебе.

18Ибром свернул шатры и направился жить невдалеке от великих деревьев Мамре в Хевроне. Он построил там жертвенник Вечному.